Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waondoke CUF masikini wawe CDM? Akili ya kuvukia barabara hiimaskini ukawa!!!!!!!!!!!!
maskini chadema!!!!!!!!
Ye nani asisaliti??Hata mwenyekiti wa bavicha kawasaliti?
Nchi inaviongozi wa ajabu snUkiangalia yanayotokea katika siasa za Tanzania utadhani yanayofanyika ni comedy. Hii nchi inaweza kuwa ni yakwanza Duniani kwa haya yanayotokea
Chadema kufa sio leo wala kesho chadema ni taasisi nyuma yake tuko wengi ZAIDI ya asilimia 70% ya wa Tanzania.
Sajilini mkimaliza mseme.
Kamuulize kama alikuwa anaaminika na kupewa mamlaka kamili. Intelejensia ya Chadema iko umbali mrefu sana ukilinganisha na CCM na mawakala wake!Hata mwenyekiti wa bavicha kawasaliti?
Kwenye bandiko hili Chadema kimeingiaje? Bila kuigusa Chadema hawakukumbuki zile buku tatu?CHADEMA na washirika wake wanakufa. [emoji23][emoji23]
Ana enjoy kuliko maekezo mkuu.