Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Mnafurahia kugawa rushwa waziwazi !? Watu wa ajabu sana nyieCHADEMA na washirika wake wanakufa. [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnafurahia kugawa rushwa waziwazi !? Watu wa ajabu sana nyieCHADEMA na washirika wake wanakufa. [emoji23][emoji23]
upinzani upo njiapanda
Ujamaa vipi mkuu!Safiiii ccm haijawahi shindwa kitu toka enzi za chama kimoja.
Hiyo nayo akili?Nliwambia watu UKUTA akili zenu mkichanganya zote hazifiki kwa akili ya magufuli
Mkuu ni zetuHivi hela zinazotumika ni zetu au za CCM?
Mkuu unakumbuka Zanzibar kwa maalim seif?Nashauri kama kweli upinzani wana Sera ya kuzuia ufujaji wa pesa ya taifa,tofauti na watawala,basi wasusie chaguzi zinazotokana ha mchezo huu ili wapite bila kupingwa hivyo gharama za campaign kuokolewa,pia muda wa kufanya siasa utaepukika.
Hii pia itasababisha watawala kutojisifia kuwa wamefungulia majukwaa ya siasa kwa gharama ya upinzani kupoteza viti vya uwakilishi.
Nchi ya wajinga na wapumbavu, wategemea nini zaidi ya haya tuyaonayo?Ukiangalia yanayotokea katika siasa za Tanzania utadhani yanayofanyika ni comedy. Hii nchi inaweza kuwa ni yakwanza Duniani kwa haya yanayotokea
Sijawahi sikia nyingine ya jinsi hii!Ukiangalia yanayotokea katika siasa za Tanzania utadhani yanayofanyika ni comedy. Hii nchi inaweza kuwa ni yakwanza Duniani kwa haya yanayotokea
Na yeye wakifika dau si anatimkia huko kuunga mkono juhudi za raisi! Labda atapewa na 'vitu' maalumu!Mamluki wa Lipumba wanaisha na yupo kimya wala hasemi chochote.
Miaka yote CCM imekuwa ndio fisadi namba moja taja kashifa zote unazozijua mnufaika mkuu amekuwa chama na ndio maana watuhumiwa huwa hawafikishwi mahakamani wanajua wazi siri zitakuwa open wazi, amini nawaambia iko siku mtagundua kashifa kubwa kuwahi kutokea.Hela zenu Kwao zimefuata nini??
Acha kulia njoo CDM.Hapa ndo CHADEMA inabidi iwe makini, siku zote mnafikiri waTanzania wako Kaskazini tu.
Hela zenu Ccm zimefuata nini??Miaka yote CCM imekuwa ndio fisadi namba moja taja kashifa zote unazozijua mnufaika mkuu amekuwa chama na ndio maana watuhumiwa huwa hawafikishwi mahakamani wanajua wazi siri zitakuwa open wazi, amini nawaambia iko siku mtagundua kashifa kubwa kuwahi kutokea.
CCM haina hela ya kugharamia mradi mkubwa kama huu wa manunuzi toka kwenye ruzuku yake! Hii itakuwa inatokana na kodi zetu mtaniambia.
Hili in wazo zuri sana! Natumaini viongozi wa vyama vya upinzani wamekusoma!Nashauri kama kweli upinzani wana Sera ya kuzuia ufujaji wa pesa ya taifa,tofauti na watawala,basi wasusie chaguzi zinazotokana ha mchezo huu ili wapite bila kupingwa hivyo gharama za campaign kuokolewa,pia muda wa kufanya siasa utaepukika.
Hii pia itasababisha watawala kutojisifia kuwa wamefungulia majukwaa ya siasa kwa gharama ya upinzani kupoteza viti vya uwakilishi.
Mussa Mbaruku, mbunge wa Tanga mjiniNa mbunge wa Tanga mjini inasemekana kesho atabwaga manyanga, stay tuned!