Tetesi: Wakati wowote mbunge wa Mtwara Mjini (CUF) atazungumza na waandishi wa habari

Tetesi: Wakati wowote mbunge wa Mtwara Mjini (CUF) atazungumza na waandishi wa habari

Status
Not open for further replies.
Nliwambia watu UKUTA akili zenu mkichanganya zote hazifiki kwa akili ya magufuli
Kwa hiyo unamaana magu ana akili sanae! Kwa taarifa yako hujui kitu na yawezekana kinyume chake ndo UKWELI!
 
Ni kweli, CCM wameshawagonga Cuf, Chadema wakifanikiwa kukwepa dhoruba hii basi wataibuka wakiwa wapya na wenye nguvu zaidi.

Any way, upinzani ukidhoofika nchi itakuwa na hali mbaya sana. Hizi hujuma wanazofanya CCM dhidi ya Chadema sio za kufurahia kabisa kwa watu wenye akili timamu.

Vv

Kwani Chadema nao hawafanyi Hujuma dhidi ya CCM?
Haya ni Mapambano Hakuna cha kuoneana huruma
 
Hivi hakuna "mafundi" wa kuwafanya watu wa jinsi hii wakawekewa ubongo wa kuku? Najaribu kuwaza kwa sauti ya chiiiniii!
 
Haya majitu ni hopeless kabisa kwani huwezi kumuunga rais ukiwa ndani ya chama cha CUF . Ama wanaajenda ya siri ambayo haipo wazi kwetu wanannchi.
Hili ndo swali ambalo halijapata majibu. In fact sitarajii majibu ya kuwaridhisha wananchi waliowapigia kura!
 
Kwani Chadema nao hawafanyi Hujuma dhidi ya CCM?
Haya ni Mapambano Hakuna cha kuoneana huruma
Wenzao wanapiga kotekote, kutumia nguvu za dola na nguvu za fedha. Sidhani kama Chadema wana nguvu hizo.

Vv
 
Nashauri kama kweli upinzani wana Sera ya kuzuia ufujaji wa pesa ya taifa,tofauti na watawala,basi wasusie chaguzi zinazotokana ha mchezo huu ili wapite bila kupingwa hivyo gharama za campaign kuokolewa,pia muda wa kufanya siasa utaepukika.

Hii pia itasababisha watawala kutojisifia kuwa wamefungulia majukwaa ya siasa kwa gharama ya upinzani kupoteza viti vya uwakilishi.
Waliacha posho za bunge maalum la katiba nani alijali?! Watawala wana michezo mibaya kwa kama una roho ya hovyo unauza hata utu wako [emoji85] [emoji40]
 
Acha kujifariji wewe
Huwezi kuingia kwa ari kubwa uchaguzi wa 2020 mkiwa na wabunge 10
Ni heri muingie kwenye Uchaguzi wa 2020 mkiwa na Wabunge 10 ambao ni makamanda wa ukweli kuliko lundo la Wabunge lenye wachumia tumbo na wasaliti humohumo ndani
 
Timu Maalim iungane na MACHADEMA ili kupambana na CCM. ..
 
Nachofurahi ni kua wasaliti wanazidi kujipambanua na kujiweka wazi,
Hapo mwanzo ingetuwia vigumu kuwagundua lakini sasa wameamua kujipambanua wenyewe ili tuwajue,
Ahsante Mungu kwa kuwapa akili hiyo ya kujiweka wazi.
Hahaha huku roho inauma unawaza ingekua vice versa
 
ukifuatilia mienendo ya vyama vya upinzani utagundua kuwa kila chama cha upinzani kikifika kwenye peak hushuka kwa kasi ya ajabu mfano
Nccr
cuf
TLP
CDM japo inangangania kuto kufa lakini sioni jinsi kitavyo pona ukituo hiyo ruzuku ya 300 inayoliwa na wachache kwa sasa hivyo ambapo 2020 haitakuwepo na na ndicho kitakachohitimisha kifo cha CDM maana hawa watu wakipata hata wabunge 5 mwaka huo washukuru sana mungu
Do you also take into account the unfair political landscape?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom