Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,819
- 7,638
Kwa hiyo unamaana magu ana akili sanae! Kwa taarifa yako hujui kitu na yawezekana kinyume chake ndo UKWELI!Nliwambia watu UKUTA akili zenu mkichanganya zote hazifiki kwa akili ya magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unamaana magu ana akili sanae! Kwa taarifa yako hujui kitu na yawezekana kinyume chake ndo UKWELI!Nliwambia watu UKUTA akili zenu mkichanganya zote hazifiki kwa akili ya magufuli
Ni kweli, CCM wameshawagonga Cuf, Chadema wakifanikiwa kukwepa dhoruba hii basi wataibuka wakiwa wapya na wenye nguvu zaidi.
Any way, upinzani ukidhoofika nchi itakuwa na hali mbaya sana. Hizi hujuma wanazofanya CCM dhidi ya Chadema sio za kufurahia kabisa kwa watu wenye akili timamu.
Vv
Naona wameamua wamuige muanzilishi NyalanduIshakuwa fashion hyo
Ova
Hili ndo swali ambalo halijapata majibu. In fact sitarajii majibu ya kuwaridhisha wananchi waliowapigia kura!Haya majitu ni hopeless kabisa kwani huwezi kumuunga rais ukiwa ndani ya chama cha CUF . Ama wanaajenda ya siri ambayo haipo wazi kwetu wanannchi.
Mmm zaidi ya 70% na uchaguzi hamshindi! Aisee CCM wana chuma ulete siyo bure.Chadema kufa sio leo wala kesho chadema ni taasisi nyuma yake tuko wengi ZAIDI ya asilimia 70% ya wa Tanzania.
Sajilini mkimaliza mseme.
Wenzao wanapiga kotekote, kutumia nguvu za dola na nguvu za fedha. Sidhani kama Chadema wana nguvu hizo.Kwani Chadema nao hawafanyi Hujuma dhidi ya CCM?
Haya ni Mapambano Hakuna cha kuoneana huruma
Waliacha posho za bunge maalum la katiba nani alijali?! Watawala wana michezo mibaya kwa kama una roho ya hovyo unauza hata utu wako [emoji85] [emoji40]Nashauri kama kweli upinzani wana Sera ya kuzuia ufujaji wa pesa ya taifa,tofauti na watawala,basi wasusie chaguzi zinazotokana ha mchezo huu ili wapite bila kupingwa hivyo gharama za campaign kuokolewa,pia muda wa kufanya siasa utaepukika.
Hii pia itasababisha watawala kutojisifia kuwa wamefungulia majukwaa ya siasa kwa gharama ya upinzani kupoteza viti vya uwakilishi.
Ni heri muingie kwenye Uchaguzi wa 2020 mkiwa na Wabunge 10 ambao ni makamanda wa ukweli kuliko lundo la Wabunge lenye wachumia tumbo na wasaliti humohumo ndaniAcha kujifariji wewe
Huwezi kuingia kwa ari kubwa uchaguzi wa 2020 mkiwa na wabunge 10
Kwa hiyo alikuwa sahihi.mlimfanya karai. Amechoka.Kamuulize kama alikuwa anaaminika na kupewa mamlaka kamili. Intelejensia ya Chadema iko umbali mrefu sana ukilinganisha na CCM na mawakala wake!
Na nyie tafteni chuma uleteMmm zaidi ya 70% na uchaguzi hamshindi! Aisee CCM wana chuma ulete siyo bure.
Na makarai hatuyataki kweli! Tunataka wanaoweza kubeba makarai!Kwa hiyo alikuwa sahihi.mlimfanya karai. Amechoka.
Hahaha huku roho inauma unawaza ingekua vice versaNachofurahi ni kua wasaliti wanazidi kujipambanua na kujiweka wazi,
Hapo mwanzo ingetuwia vigumu kuwagundua lakini sasa wameamua kujipambanua wenyewe ili tuwajue,
Ahsante Mungu kwa kuwapa akili hiyo ya kujiweka wazi.
Ndiyo tuko bagamoyo hapa,tunatafuta hiyo tekinolojia.Na nyie tafteni chuma ulete
Do you also take into account the unfair political landscape?ukifuatilia mienendo ya vyama vya upinzani utagundua kuwa kila chama cha upinzani kikifika kwenye peak hushuka kwa kasi ya ajabu mfano
Nccr
cuf
TLP
CDM japo inangangania kuto kufa lakini sioni jinsi kitavyo pona ukituo hiyo ruzuku ya 300 inayoliwa na wachache kwa sasa hivyo ambapo 2020 haitakuwepo na na ndicho kitakachohitimisha kifo cha CDM maana hawa watu wakipata hata wabunge 5 mwaka huo washukuru sana mungu