Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinaisha vipi sasa??Kalieni hayo ya usaliti chama kinaisha.
DuuNliwambia watu UKUTA akili zenu mkichanganya zote hazifiki kwa akili ya magufuli
na wengine wanaingia....Hali yenu na CUF na ACT zote moja wanachama wanawakimbia.
Mngaliweka tume huru na kutotumia vyombo vya dola kupiga risasi kuwauwa wapinzani tungaliwaaminiChadema kufa sio leo wala kesho chadema ni taasisi nyuma yake tuko wengi ZAIDI ya asilimia 70% ya wa Tanzania.
Sajilini mkimaliza mseme.
Umemaliza kuota utumboTaarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.
Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.
Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.
Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.
Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli
View attachment 643078
Ahhaaah ahhUnajua nimecheka bila kutarajia.
1. nimeisikitikia UKAWA kwa maana ya vyama vyote vilivyokuwa vinaunda hiyo kitu.....kufa ukawa ni kufa kwa vyama shiriki.Waondoke CUF masikini wawe CDM? Akili ya kuvukia barabara hii
Ukute na wewe ulipewa mkopo
Hawa viongozi wetu wamepatwa na nini?Taarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.
Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.
Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.
Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.
Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli
View attachment 643078
Acha kupayuka weye..!!CHADEMA na washirika wake wanakufa. [emoji23][emoji23]
Magu anacheza uwanja wa nyumbani. Marefa wa kati ni wake, wa pembeni ni wake, kamisaa ni wake. Hapo unategemea asishinde? Hata bao la mkono litakubaliwa tu. Mpira wa kona refa anaweza kuamua ipigwe penalti na ukibisha unapewa red card.Vita ya wenyeviti Magufuli 7- Mbowe 0,Zitto anakaribia kushuka daraja wakat ndio kwanza ligi inaanza
Unaisema Yanga na goli la mkono la Tambwe....[emoji1] [emoji1] [emoji1]Magu anacheza uwanja wa nyumbani. Marefa wa kati ni wake, wa pembeni ni wake, kamisaa ni wake. Hapo unategemea asishinde? Hata bao la mkono litakubaliwa tu. Mpira wa kona refa anaweza kuamua ipigwe penalti na ukibisha unapewa red card?
Mngaliweka tume huru na kutotumia vyombo vya dola kupiga risasi kuwauwa wapinzani tungaliwaamini
Mmm zaidi ya 70% na uchaguzi hamshindi! Aisee CCM wana chuma ulete siyo bure.
Definitely, you don't really trust your statement for fairly sure.
ukifuatilia mienendo ya vyama vya upinzani utagundua kuwa kila chama cha upinzani kikifika kwenye peak hushuka kwa kasi ya ajabu mfano
Nccr
cuf
TLP
CDM japo inangangania kuto kufa lakini sioni jinsi kitavyo pona ukituo hiyo ruzuku ya 300 inayoliwa na wachache kwa sasa hivyo ambapo 2020 haitakuwepo na na ndicho kitakachohitimisha kifo cha CDM maana hawa watu wakipata hata wabunge 5 mwaka huo washukuru sana mungu
..hivi ukiwa nyuma ya keyboard ya computer yako zile nobs za keyboard nazo huwa unaziona kuwa ni wananchama wenzako? Pole wajameni.