Tetesi: Wakati wowote mbunge wa Mtwara Mjini (CUF) atazungumza na waandishi wa habari

Tetesi: Wakati wowote mbunge wa Mtwara Mjini (CUF) atazungumza na waandishi wa habari

Status
Not open for further replies.
Hivi umoja wa mataifa hauwezi kuingia kati hii biashara ya kununua watu nchi tanzania?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Chadema kufa sio leo wala kesho chadema ni taasisi nyuma yake tuko wengi ZAIDI ya asilimia 70% ya wa Tanzania.

Sajilini mkimaliza mseme.
Mngaliweka tume huru na kutotumia vyombo vya dola kupiga risasi kuwauwa wapinzani tungaliwaamini
 
Taarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.

Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.

Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.

Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.

Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli

View attachment 643078
Umemaliza kuota utumbo
 
Kwaiyo uchaguzi tena?pesa za walipa kodi kutumika?stupid
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Waondoke CUF masikini wawe CDM? Akili ya kuvukia barabara hii

Ukute na wewe ulipewa mkopo
1. nimeisikitikia UKAWA kwa maana ya vyama vyote vilivyokuwa vinaunda hiyo kitu.....kufa ukawa ni kufa kwa vyama shiriki.
2. nimeisikitikia chadema kwa maana ndiye baba (kinara) katika huo ukawa....kulegalega ukawa ni kulegalega kwa chadema. laikini pia sikuishia hapo tu, niliangalia sura pana ya yanayoendelea katika hii hamahama ambapo kwa chadema imekuwa wengi mno kuliko hiyo cuf....hivyo nililiangalia kwa ujumla wake katika mustakabali wa upinzani na siyo yaliyo ndani ya thread hii tu!!!!!

kumbe wewe na hao wawili waliokulike hamna hata hizo akili za kuvukia barabara....too sad!
 
Taarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.

Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.

Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.

Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.

Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli

View attachment 643078
Hawa viongozi wetu wamepatwa na nini?
Walipewa mamlaka na wananchi kwa imani kubwa waliyokuwa nayo kwao.Miaka miwili hakuna walilolifanya la maana sasa wanabadilisha gia angani.
Kama tetesi hizi zina ukweli, pia taarifa ya jimbo la Kinondoni n.k yanaashiria usaliti wa wanasiasa kwa wapiga kura wao.Heri ya Nyalandu ambaye alilenga kujihami kabla hawajamvua uanachama wa CCM.Kwangu mimi,yeye alikuwa na hoja na sababu ya msingi ya kuchukua mwelekeo mpya kisiasa kwa dhana ya hali ilivyokuwa.Kwa hawa wengine,napata mashaka.
Tusubiri,tutaona mengi.
Time will tell...!
 
CHADEMA na washirika wake wanakufa. [emoji23][emoji23]
Acha kupayuka weye..!!
Taja Mbunge wa CHADEMA aliyejiiuzulu ukiiacha na wale madiwani wenye njaa waliionunuliwa kama WATUMWA...!!
Najua CUF Liipumbu wote wanarudi CCM very soon......!!!
Ni watu mazezeta na machizi hasa toka Lumumba ndo wanafurahia huu UHUNI......!
Kwanini CCM wanalazimiishaa kupendwa na Watz wote na kuliiingiza Taifa kwenye gharama za kijinga za kurudia Uchaguzi usio wa lazima.....!!!
CCM pumbaf kabisa...!!!
 
Vita ya wenyeviti Magufuli 7- Mbowe 0,Zitto anakaribia kushuka daraja wakat ndio kwanza ligi inaanza
Magu anacheza uwanja wa nyumbani. Marefa wa kati ni wake, wa pembeni ni wake, kamisaa ni wake. Hapo unategemea asishinde? Hata bao la mkono litakubaliwa tu. Mpira wa kona refa anaweza kuamua ipigwe penalti na ukibisha unapewa red card.
 
Magu anacheza uwanja wa nyumbani. Marefa wa kati ni wake, wa pembeni ni wake, kamisaa ni wake. Hapo unategemea asishinde? Hata bao la mkono litakubaliwa tu. Mpira wa kona refa anaweza kuamua ipigwe penalti na ukibisha unapewa red card?
Unaisema Yanga na goli la mkono la Tambwe....[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
ukifuatilia mienendo ya vyama vya upinzani utagundua kuwa kila chama cha upinzani kikifika kwenye peak hushuka kwa kasi ya ajabu mfano
Nccr
cuf
TLP
CDM japo inangangania kuto kufa lakini sioni jinsi kitavyo pona ukituo hiyo ruzuku ya 300 inayoliwa na wachache kwa sasa hivyo ambapo 2020 haitakuwepo na na ndicho kitakachohitimisha kifo cha CDM maana hawa watu wakipata hata wabunge 5 mwaka huo washukuru sana mungu



Hujui chochote kuusu siasa tulia usubiri Mr time aongee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom