Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndiyo maana yupo kimyaNa yeye wakifika dau si anatimkia huko kuunga mkono juhudi za raisi! Labda atapewa na 'vitu' maalumu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana yupo kimyaNa yeye wakifika dau si anatimkia huko kuunga mkono juhudi za raisi! Labda atapewa na 'vitu' maalumu!
Wa kuhurumia ni watanzania wanaoipigia kura CCM!! Licha ya uwizi wanaoufanya maCCM, kiukweli, CCM haikupaswa ipate hata kura 100 kwenye uchaguzi wowote ule!Me nawahurumia tu wananchi watakaomchagua tena huyo shetani
Kazi ya serikali hiyo! Serikali inakusanya kodi za nini kama unataka mbunge afanye majukumu ya serikali?Husikii aibu KUB,mbunge na mwenyekiti unatakiwa uwapiganie uwatengenezee madawati na majengo au ndio kazi ni kutunga sheria tu!
Kalieni hayo ya usaliti chama kinaisha.Nachofurahi ni kua wasaliti wanazidi kujipambanua na kujiweka wazi,
Hapo mwanzo ingetuwia vigumu kuwagundua lakini sasa wameamua kujipambanua wenyewe ili tuwajue,
Ahsante Mungu kwa kuwapa akili hiyo ya kujiweka wazi.
Kalieni hayo ya usaliti chama kinaisha.Nachofurahi ni kua wasaliti wanazidi kujipambanua na kujiweka wazi,
Hapo mwanzo ingetuwia vigumu kuwagundua lakini sasa wameamua kujipambanua wenyewe ili tuwajue,
Ahsante Mungu kwa kuwapa akili hiyo ya kujiweka wazi.
tunaongelea cuf hapa wewe gambaMpaka 2020 chadema watakua wanapokea ruzuku ya buku 3 kitakua kama CHAUMA au PPT maendeleo
Hawa ndio wahujumu uchumi.Kule kwetu Ulaya tungewafungulia mashtaka ya uhujumu uchumiTaarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.
Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.
Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.
Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.
Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli
View attachment 643078
Hawa ndio wahujumu uchumi.Kule kwetu Ulaya tungewafungulia mashtaka ya uhujumu uchumiTaarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.
Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.
Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.
Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.
Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli
View attachment 643078
Hali yenu na CUF na ACT zote moja wanachama wanawakimbia.tunaongelea cuf hapa wewe gamba
Ruhusuni mikutano ya siasa....mbona nyie mnafanyaMpaka 2020 chadema watakua wanapokea ruzuku ya buku 3 kitakua kama CHAUMA au PPT maendeleo
Hawa ndio wahujumu uchumi.Kule kwetu Ulaya tungewafungulia mashtaka ya uhujumu uchumi.Taarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.
Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.
Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.
Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.
Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli
View attachment 643078