Tetesi: Wakati wowote mbunge wa Mtwara Mjini (CUF) atazungumza na waandishi wa habari

Tetesi: Wakati wowote mbunge wa Mtwara Mjini (CUF) atazungumza na waandishi wa habari

Status
Not open for further replies.
Kuna Ufalme unatengenezwa hapa
Hela ilimuuza Yesu
 
Me nawahurumia tu wananchi watakaomchagua tena huyo shetani
Wa kuhurumia ni watanzania wanaoipigia kura CCM!! Licha ya uwizi wanaoufanya maCCM, kiukweli, CCM haikupaswa ipate hata kura 100 kwenye uchaguzi wowote ule!
 
Husikii aibu KUB,mbunge na mwenyekiti unatakiwa uwapiganie uwatengenezee madawati na majengo au ndio kazi ni kutunga sheria tu!
Kazi ya serikali hiyo! Serikali inakusanya kodi za nini kama unataka mbunge afanye majukumu ya serikali?
 
Watanzania tusipende kutolewa ktk mstari,hii hamahama ya wabunge si hoja yetu ya msingi,bali hoja yetu ni uchumi mbaya,kulegalega kwa usalama wa raia na mengine mengi.
 
Mpaka 2020 chadema watakua wanapokea ruzuku ya buku 3 kitakua kama CHAUMA au PPT maendeleo
 
Nachofurahi ni kua wasaliti wanazidi kujipambanua na kujiweka wazi,
Hapo mwanzo ingetuwia vigumu kuwagundua lakini sasa wameamua kujipambanua wenyewe ili tuwajue,
Ahsante Mungu kwa kuwapa akili hiyo ya kujiweka wazi.
Kalieni hayo ya usaliti chama kinaisha.
 
Nachofurahi ni kua wasaliti wanazidi kujipambanua na kujiweka wazi,
Hapo mwanzo ingetuwia vigumu kuwagundua lakini sasa wameamua kujipambanua wenyewe ili tuwajue,
Ahsante Mungu kwa kuwapa akili hiyo ya kujiweka wazi.
Kalieni hayo ya usaliti chama kinaisha.
 
Taarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.

Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.

Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.

Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.

Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli

View attachment 643078
Hawa ndio wahujumu uchumi.Kule kwetu Ulaya tungewafungulia mashtaka ya uhujumu uchumi
 
Taarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.

Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.

Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.

Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.

Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli

View attachment 643078
Hawa ndio wahujumu uchumi.Kule kwetu Ulaya tungewafungulia mashtaka ya uhujumu uchumi
 
Ipo cku ccm itasambaratka kwa aibu kubwa sana we waache waendelee na biashara haram
 
Taarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.

Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.

Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.

Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.

Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli

View attachment 643078
Hawa ndio wahujumu uchumi.Kule kwetu Ulaya tungewafungulia mashtaka ya uhujumu uchumi.
 
Kudadadeki, yaani kijana Mbowe asipogeuka kuwa shoga mwaka huu basi. Si Chadema, CUF, wala kile chama cha mazombie cha Zitto (jina limenitoka kidogo) watu wanahama tu na kurudi nyumbani. Kweli Uncle Magufuli karudisha heshima ndani ya nchi....!
 
Wapinzani waache Siasa za ukombozi katika nchi huru. Wakiendelea hv come 2020 siwaoni katika politcal rally! Tunataka Siasa za maendeleo sio hzi sarakasi zao za malalamiko na harakati za ukombozi.!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom