Wakati yanga wana screen protector(Diarra) simba mkaleta tapeli na kulipa jina spider.

Wakati yanga wana screen protector(Diarra) simba mkaleta tapeli na kulipa jina spider.

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you kinsmen.
Inabidi tu tukubali kuwa diarra ndio role model wa makipa wote nchini kwa sasa na baadaye.

Kama ilivyo kwa mchezaji fundi kuwahi kutokea Tanzania laudack Chasambi kukubali max ni role model wake why huyo tapeli camara asikubali kuwa diarra ni role model wake?

Ifike muda sio kila kipa ajifanye sweeper kama diarra mtakuja kuchomesha muaibike

Sasa camara aliomba pasi na akapewa ilimshinda nini kutuliza? Hapo ndiyo tunarudi kwenye hoja yetu ya utapeli wanaofanya simba kuleta vibaka waje kudaka!

Kimsingi chasambi yeye anawaamini wachezaji wa yanga tu pale simba hakuna anayemuamini ndiyo maana ikawa ngumu kumpa mtu pasi basi akajua labda huyo kibaka GOLINI naye mtu sana labda atafanya kama diarra kumbe naye hakuna kitu pazia tupu!
Binafsi kama shabiki wa Simba nimeumia sana na utapeli huu mnaotufanyia kutuletea matapeli na vibaka wa simu

Utapeli mwengine ni ule wa Baunsa Ateba na jenzie refu kuliko goli walichofanya pale wakakosa goli!
Yaani unaona wazi kabisa kuwa wale sio wachezaji ni wanywa wanzuki tu waliopewa jezi wacheze!

Hata kocha mwenyewe "Falu joni"naye kakaa kitapeli tapeli sana tusimwamini wanasimba wenzangu tutajutia

Yanga ndiyo kakaa kileleni tumeharibu wenyewe kwa kupanga vibaka wacheze kwa mantiki sisi mashabiki wa Simba ni matahira, mbumbumbu, majuha na vilaza kuwaamini hawa matapeli

Its Pancho
20250207_152524.jpg

1738866052675.jpg
 
Akili sio ubongo ni macho, kama macho yasipoona ubongo utachambua nini? Watanzania ni wachawi, ungekuwa Camara ungefanyaje. Huyo unaemwita bora ni Jana yake tu kapasiwa pasi Kati Kati ya uwanja.A KAJAMBA KWENYE MAJI BILA KUJUA MGONGONI PATATOKOTA. tutumie bongo zetu nyakati nyingine.
 
Akili sio ubongo ni macho,kama macho yasipoona ubongo utachambua nini?watanzania ni wachawi,ungekuwa Camara ungefanyaje.Huyo unaemwita bora ni Jana yake tu kapasiwa pasi Kati Kati ya uwanja.AKAJAMBA KWENYE MAJI BILA KUJUA MGONGONI PATATOKOTA.tutumie bongo zetu nyakati nyingine.
Yaani shut late lile alilopigiwa diarra tena tisini juu

Halafu ka pasi kale alikopiga chasambi na huyo kibaka kashindwa kutuliza ndio unafananisha?

Hivi mbona simbilisi mnapenda kugeneralize sana upumbavu? Sasa pale alishindwa nini kutuliza kama sio kujifanya diarra?

Hakuna kipa mule kibaka kwani Malonga wa coastal alipiga wapi? Si huko huko mbali? Kwahiyo kibaka kashafungwa mawili ya mbali tayari
 
Akili sio ubongo ni macho,kama macho yasipoona ubongo utachambua nini?watanzania ni wachawi,ungekuwa Camara ungefanyaje.Huyo unaemwita bora ni Jana yake tu kapasiwa pasi Kati Kati ya uwanja.AKAJAMBA KWENYE MAJI BILA KUJUA MGONGONI PATATOKOTA.tutumie bongo zetu nyakati nyingine.
Diarra kapigwa moja la mbali

Kibaka kapigwa hizi✌️✌️
 
Yaani shut late lile alilopigiwa diarra tena tisini juu

Halafu ka pasi kale alikopiga chasambi na huyo kibaka kashindwa kutuliza ndio unafananisha?

Hivi mbona simbilisi mnapenda kugeneralize sana upumbavu? Sasa pale alishindwa nini kutuliza kama sio kujifanya diarra?

Hakuna kipa mule kibaka kwani Malonga wa coastal alipiga wapi? Si huko huko mbali? Kwahiyo kibaka kashafungwa mawili ya mbali tayari
Uliwahi kucheza mpira hata shule ya msingi mkuu?
 
Uliwahi kucheza mpira hata shule ya msingi mkuu?
Unadhani mimi mwenzio? Nilicheza mpaka copa coca cola shuleni na mpaka sasa veteran nacheza ila wewe najua hata danadana mbili hufiki

Camara aliomba pasi mwenyewe na hakukaa kwenye position nzuri ni uzembe sasa ule mpira wa chasambi ni shut kweli au ndiyo sababu hujawahi hata kucheza soka ndiyo unaona shut?

Muulize Tate Mkuu atakwambia moto wangu
 
Unadhani mimi mwenzio? Nilicheza mpaka copa coca cola shuleni na mpaka sasa veteran nacheza ila wewe najua hata danadana mbili hufiki

Camara aliomba pasi mwenyewe na hakukaa kwenye position nzuri ni uzembe sasa ule mpira wa chasambi ni shut kweli au ndiyo sababu hujawahi hata kucheza soka ndiyo unaona shut?

Muulize Tate Mkuu atakwambia moto wangu
Ha ha ha nisije kuwa najadiliana na mtangazaji.
 
Ha ha ha nisije kuwa najadiliana na mtangazaji.
Wewe njoo ground nipigie mpira kama ule uone ninavyo ureceive ndio utajua hapa mguuni mazungumzo yapo

Yassin Mustapha huku Dodoma nilicheza naye ananijua vizuri sana shughuli yangu
 
Back
Top Bottom