Wakatisha Ticket za Treni TRC kwenda Moshi Arusha, Muache kutengeneza Mazingira ya kupokea Rushwa.

Wakatisha Ticket za Treni TRC kwenda Moshi Arusha, Muache kutengeneza Mazingira ya kupokea Rushwa.

Abby The Rider

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
462
Reaction score
733
Wakuu Kwema

Hii nchi tunakoelekea Sasa hivi hali sio nzuri kwa watumishi wetu wa uma. Kila mtu Kwenye nafasi yake anafanya anachojisikia. Bora nchi iuzwe tugawane

Nimefika kituo Cha Treni, kukata ticket kwenda Moshi safari ya ijumaa, ticket zimeanza kukatwa saa2 Cha Ajabu saa2 hiyo hiyo unaambiwa treni imejaa zimebaki sehemu za kusimama. Watu zaid ya 1000 wajaze siti ndani ya dakika 20 kweli? Hao wakata ticket wanaspidi kiasi Gani? Ajabu zaidi ticket za kusimama ni nyingi sana, Sasa sijui Kuna behewa halina Viti ndo watasima humo,??? Ngumu kumeza
Hii haileti Afya kwa watanzania waliostaarabika.

Hata kama ndo kula kazini kwako ndo ule Kila mtu ajue unakula.?
Mamlaka zimelala usingizi wa pono, wameshiba hawatujali sisi walala hoi.
 
kuna kamtandao hapo trc tickets haziweki online mpaka uende hapo halafu utaambiwa zipo za kusimama ukitaka siti ungeza 5,000/= kuna mtu kahairisha safari..
 
Sijaelewa yaani usimame kwenye treni linalotembea masaa 24 Dar to Arusha? ingekuwa sgr inaenda masaa mawili sawa
 
Sijaelewa yaani usimame kwenye treni linalotembea masaa 24 Dar to Arusha? ingekuwa sgr inaenda masaa mawili sawa
Umeshaelewa, labda niongezee tu, unapewa ticket haina namba ya siti, so popote penye nafas unasimama mwanzo Hadi mwisho wa safari
 
Hii haiwezi,Dar to Arusha hiyo distance yote mtu anasimama vipi,kama wana mabehewa ya watu kusimama si wayaweke viti.
Mkuu ahirisha safari.
 
Umeshaelewa, labda niongezee tu, unapewa ticket haina namba ya siti, so popote penye nafas unasimama mwanzo Hadi mwisho wa safari
Kwanini watengeneze tiketi zisizo na sea namba wakati sheria za usafir haziruhusu kusimama kwenye chombo chavusafiri?
 
Wakuu Kwema

Hii nchi tunakoelekea Sasa hivi hali sio nzuri kwa watumishi wetu wa uma. Kila mtu Kwenye nafasi yake anafanya anachojisikia. Bora nchi iuzwe tugawane

Nimefika kituo Cha Treni, kukata ticket kwenda Moshi safari ya ijumaa, ticket zimeanza kukatwa saa2 Cha Ajabu saa2 hiyo hiyo unaambiwa treni imejaa zimebaki sehemu za kusimama. Watu zaid ya 1000 wajaze siti ndani ya dakika 20 kweli? Hao wakata ticket wanaspidi kiasi Gani? Ajabu zaidi ticket za kusimama ni nyingi sana, Sasa sijui Kuna behewa halina Viti ndo watasima humo,??? Ngumu kumeza
Hii haileti Afya kwa watanzania waliostaarabika.

Hata kama ndo kula kazini kwako ndo ule Kila mtu ajue unakula.?
Mamlaka zimelala usingizi wa pono, wameshiba hawatujali sisi walala hoi.
Hii nchi kila mtu kwenye idara ni winga kimkakati🤣🤣
 
Back
Top Bottom