Wakatoliki: Bikra Maria utuombee kwa mwanao Yesu. Je, bado yu hai?

Injili zipo nne tuu
Izo zingine hazikukidhi uhaliisia wa maisha ya Yesu kristo
 
Mungu hana mama hana baba
Hana mshirika.
Hakuna alie nanafasi ya upendeleo mbele ya Mungu
Mariamu alifunga na kuomba moaka siku aliposhukiwa na roho mtakatifu na alionekana kama kichaa
Hayupo sehem nyingine isipokuwa walipo manabii na mitume
 
 
Biblia haikueleza chochote kuhusu kifo cha Mariam. Na Yesu mwenyewe alisema watu wote wakifa wanaenda kaburi/ mavumbini. Yohana 5;28-29. Na pia Yesu kabla hajafa msalani aliaga kwamba atarudi kutuchukua mbinguni. Ukweli wa maandiko, ni makosa kudhani, Mariam yuko mbinguni. Kila mtu siku ya mwisho atafufuka.
 
Injili zipo nne tuu
Izo zingine hazikukidhi uhaliisia wa maisha ya Yesu kristo
Ulikuwepo wakati wanaziweka hizo nne au ndio unasikiliza kazi ya wakatoliki ambayo iliagizwa na Papa Damasus I
 
Unataka kufunguka macho ya nini kwa imani isiyo yako?
 
Hii ni sehemu ya utamaduni na mafundisho ya Kanisa Katoliki
Hapa nimekuelewa vema sana mkuu. Kumbe hili jambo ni utamaduni tu wa kanisa katoliki kama wadau wengine walivyochangia hapo juu? Ni kama vile wakatoliki walipotuletea suala la Krismas, eti kwamba Yesu alizaliwa tarehe 25 Desemba! Mambo mengi ya wakatoliki ni ya kimapokeo zaidi kuliko ya kiroho. Kwa mfano, hili la Krismas limekaa kipagani zaidi.
 
Hii ni fumbo la imani Maana yake , Kristo alikufa, Kristo,alifufuka na Tena atarudi Duniani, kuwahukumu wazima na wafu
 
K

Kwani biblia ni nini kaka??
Naona kama unadhani ni iko kitabu chenye rangi nyekundu ya karatasi
Biblia ni uo muunganiko
Na ulianza kama scrollings
Moaka tulipofikia sasa kwenye softcopies
Huo muunganiko nani aliunganisha na ni nani aliamua kitabu flani kiwepo au kisiwepo? Mnadhani imetokea angani? Waprotestanti mmepotoka sana na hamjijui kama mmefeli.
 
Mimi kwenye bible yangu hakuna Mathayo bali Mathew.Sijajua kama Maria si Mariamu/Mariam/Maryamu/Maria/Mary au vinginevyo.Je,nimeuziwa "baibl" fekero?
Kwa hiyo shida hapa ni nini mkuu? Hebu rejea kwenye mada.
 
Mbali na Bikira Maria, kuna wale watakatifu, je na wenyewe wapo hai?! Ili kupata uhondo wa ngoma ingia ucheze!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…