Wakatoliki huwa wanapenyezaje watu wao kuwa Marais wa Tanzania?

Kwan statistics hazibadiliki??
Mfano lini kanisa la Gwajima limeanza na uchaguzi mkuu umefanyika mara ngapi likiwepo ili litoe mgombea.
TAG ilianza lini, EAGT ilianza lini, Efatha je. Na hizo zote zina waamini wangapi. Dar yenyewe kuna majimbo unakuta kanisa la EAGT ni mawili jimbo zima na kuna wilaya hakuna kanisa kabisa. Sasa hao ndio unasema statistics imekua, na kumbuka ni marais wanne tu tumepata. Unategemea chama kisimamishe mgombea anasali Efatha wanakijiji wa Ikungulyabashashi wajue ni dini gani, si watajua ni ya shetani
 
Kuna uzi humu kwamba Katoliki ndo walianzisha uislamu kuwadhibiti Wayahudi. Katoliki na Waislamu lao ni moja.
Acha tabia ya kuamini maneno ya vijiweni Ukatoriki na Uislam wapi na wapi?

Yaani hilo ndo tatizo lenu warokore yaani huwa hamtaki kushughulisha akili zenu chochote mnacho kisikia huwa mnameza tu.
Na ndio maana hata wachungaji wenu huwa wanawaaminisha mambo ya ajabu na mnayaamini.
 
Ndiyo waliomsaidia na kumsomesha Nyerere, Kwaiyo Wakulungwa wengine wanapita mulemule.
Ukiwa Muislamu basi sharti uwe vuguvugu na sio design ya kina Sheikh Ponda!
Nchi nyingi zinaongozwa na moderate muslims hata za Kiislamu. Mtu yeyote anayezingatia sana dini hana uwezo wa kuongoza nchi kwa ufasaha labda iwe ni ya dini yake tu. Egypt waliipiga marufuku Muslim Brotherhood na Morsi ndio alikuwa kiongozi wa kwanza chama hicho kuwa Rais katika nchi za Kiarabu, Saudia Arabia nako ni marufuku. Kwanini hizo ni nchi za Kiislamu sizikubaliane na hicho chama.
Radical islam ndio ile ya Taliban ya kuzuia watoto wa kike kwenda shule na kutandika viboko watu wasioswali azana ikilia. Hao ni Sheikh Ponda and co.

Na Nyerere alisomeshwa na Waingereza ambao dini ya serikali ni Anglicans. Kama ingekuwa ni kusaidiwa basi tungekuwa tunaongozwa na Anglikana kama Uingereza ilivyo.

Kwanza kwanini tutumie statistics ya watu watano kwa miaka zaidi ya 60. Haileti mantiki labda tungekuwa na marais 10 na kuendelea. Hata tutazame makanisa makuu kila jimbo tuyalinganishe kila dhehebu na tulinganishe misikiti mikuu. Wenye namba kubwa ndio wanaonekana kwenye vitu vingi
 
Alaa? Ndio maana ilivunjwa EAMWS kwa kisingizio cha Mlezi Aga khan ni Shia, Mohamed Said hawa wanafunzi wako wako hapa uwedurusishe kunako uga wa siasa wa nchi hii, huwa unatukosha

The East African Muslim Welfare Society

Mawlana Hazar Imam, His Highness the Aga Khan, receives an address of welcome from leaders representing the East African Muslim Welfare Society during his ceremonial installation at Nairobi as the 49th Imam of the Shia Imami Ismaili Muslims; October 22, 1957. Photo: Special 21st Birthday Souvenir.

I will give you the help that should satisfy everybody here. I shall double whatever you will collect for the cause of Islam; that is if you will contribute £1 for the erection of mosques and schools and for Tabligh, I will give you a personal donation of £1 from myself and make the sum of £2!!”

Thus declared the late Highness Sir Sultan Mohamed Shah Agakhan Ill, when in that historic year 1945, His late Highness laid the foundation of the East African Muslim Welfare Society, which has done so much since then for the uplift and general welfare of the African Muslims, in the East African Territories. Speaking at the Annual General meeting of the Society in Mombasa on Saturday 16th November, 1957, which was attended by His Highness Karim Aga Khan, Mr. Abdulkarim Y. A. Karimjee, the President of the Society said:

“As your Highness is aware, this unique and unparalleled institution was conceived as far back as 1937 in a conference of Muslim leaders of Nairobi and was reorganised with vim and vigour in the subsequent Muslim Conference at Mombasa 1945 under the chairmanship of His late Highness Sir Sultan Mohamed Shah Aga Khan.

“The stirring, inspiring and eloquent words of our noble Founder, the late Sir Sultan Mohamed Shah, are still ringing in our ears and his generosity in offering pound for pound in doubling its funds is responsible for the wonderful and far-reaching work the society has been able to do since that time to this date.

“In all, we have so far collected 9,000,000/- of which 4,000,000/- has been so generously donated by our kind-hearted late Founder. We have been able to build 150 mosques, including the magnificent mosques of Kibuli, Kisumu, Tanga and Zanzibar, and 150 schools including three secondary schools and a teachers’ training college

“The ideals we have been pursuing are not only to help Muslims in their religious sphere but to see that we produce enlightened, capable, devout and progressive Muslims who can start shoulder to shoulder with other communities and conspicuously play their part in the development of these East African territories in all fields — religious, social, economic, industrial, cultural and above all humanitarian. We hope to carry out our above aims with Your Highness’s lead, direction and advice.”

READ more : His Highness the Aga Khan: The 49th Ismaili Imam’s Historic Installation Ceremonies from an Extremely Rare East African Ismaili Souvenir
 
Wakatoliki hawajaanza leo kufanya siasa. Miaka hiyo hadi mapapa walipigana vita.
 
Vipi kuhusu Joe Biden sio mkatoliki?
 
Anglican ni kama wamejifia kiaina,Lutheran ni wabaguzi wao kwa wao wanatwangana kanisani hawafai.
 
Sio kupenyeza Iko wazi Raisi lazima awe mkatoliki, ni mashart ambayo yapo wazi na hakuna wa kupinga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii nchi kila mtu aendelee kula useful wa kamba yake mama anaupiga mwingiiii.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Wakatoliki Wana maekari kwa malefu ya maekari.

Hivyo lazima wale top mmoja wao atoke kwao ili kulinda maslahi yao.

Marekani kwa kipindi cha zaidi ya miaka 200 Biden ndio Rais wa kwanza mkatoliki kumaliza muda wake. Baada yaa JFK. Kuwa terminated...
Akili za kipuuzi hizi na marais waislam wanalinda maslahi ya nani?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 

Mbona yule Mkatoliki wa Chatle alikuwa Mbaguzi sana?au alijipachika ukatoliki?
 
Vipi kuhusu Joe Biden sio mkatoliki?
Biden ni mkatoliki wa pili Baada ya JFK , na imepita miaka 50 plus ! Na bado hajamaliza utawala wake .
Kuna uwezekana pia CIA hawaoni tena threat ya kanisa katoliki
 
Tanzania ingekua imeshafikisha hata marais 30 na wote wakawa wakatoliti hoja yako ingekua na mashiko.sasa marais wenyewe 6 tu wakati safari bado ndefu sana.hii hoja imekuja mapema kwahiyo ni ngumu kupata majibu sahihi.kwasababu wakristo wote waliogombea ndio wakiopitishwa na Ccm kugombea nandio waliokua na afadhali kuliko wagombea wengine uko kwenye chama chao.Kwa sasa mimi nadhani ni incidence tu.Tuupe muda nafasi utatupa majibu sahihi.
 
Hapa yawezekana umesema ukkwl haya madhehebu ni ya kibaguzi mnooo!! Ebu fikiria msabato apate urais
Kwani wasabato wako tanzania tu.Au tanzania tu ndo kuna rais?.Marais wako dunia nzima na wako wa madini mbalimbali hadi wasio na dini wapo.kwahiyo mapungufu yetu ya ndani tusiyajumuishe kwenye mambo yanayohusu dunia nzima.
 
Kumbe Biden ashamaliza muda wake!? Nilikuwa sijui!!!
 
Uje na Uzi wa ukatoliki na TISS Usalama wa Taifa maana wengi wanatakaga wakatoliki au bakwata
 
Kwa hiyo hata KKKT,ANGLICAN nao ni hivyo hivyo? Mbona nchi nyingi tu za Afrika zinaongozwa na wasio wakatoliki na zina viongozi wenye uwezo mzuri tu.
 
Ndio umeandika nini? Tabularasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…