Wakatoliki huwa wanapenyezaje watu wao kuwa Marais wa Tanzania?

Wakatoliki huwa wanapenyezaje watu wao kuwa Marais wa Tanzania?

Hujui usemalo. Hao wanamaombi wanayemuomba ndiye Founder wa Catholic Church. Upende usipende hiyo ndio fact inawezekana hadi unafariki hutoiamini ila ukifika mbinguni utakuwa surprised (kama utakufa ktk Kristo).
Kuna madhehebu kadhaa yaliyoanzishwa kwa lengo mahsusi la kuushambulia ukatoliki.
 
Wakatoliki this wakatoliki that tumechoka. Somesheni watu wenu , jengeni taasisi imara sio kukaa kugombania sadaka na madaraka mtabaki wasindikizaji.
 
Kuna mtumishi moja aliwahi niambia kuwa kutokana na kanisa kumiliki taasisi muhimu kama za elimu na afya mapema watu wengi amabao ni elites na powerful wamepita kwao hivyo ni ngumu sana kulitenga kanisa na dola.Hata kukiwa na za ndani namna gani wanazipata tu cause wana watu.
Hakika. Hata wasomi wengi wa kwanza wa nchi hii walikua Catholic
 
Wakatoliki Wana maekari kwa malefu ya maekari.

Hivyo lazima wale top mmoja wao atoke kwao ili kulinda maslahi yao.

Marekani kwa kipindi cha zaidi ya miaka 200 Biden ndio Rais wa kwanza mkatoliki kumaliza muda wake. Baada yaa JFK. Kuwa terminated...
Sijui hapa umeshutumu? umelalamika? Umekubali au umepinga au unasimulia?
 
Kuna madhehebu kadhaa yaliyoanzishwa kwa lengo mahsusi la kuushambulia ukatoliki.
Marekani walibuni ulokole na kuchomeka liberation gospel na matunda tunayaona ya kila mwenye biblia anafungua Kanisa. Lengo ni kuua au kupunguza nguvu ya Kanisa Katoliki baada ya kuona the so called "church reformation" ( BTW ni Church deformation) kushindwa kuua nguvu ya Kanisa.

Kama hili Kanisa lingekuwa ni nguvu ya mtu au taasisi ingeshabomoka! Lakini kwavile hawajui Founder ni nani ndio maana wanapambana na wasichojua.
 
Nani alikwambia Wakatoliki ni Wakristo? Ndio maana Waislamu na Wakatoliki hawatofautiani. Mkatoliki hana madhara kwa Muislamu na kinyume chake. Hii pia ni MAAGANO ya wale Wachawi 5 (wakiiongozwa na Forojo Ganzel Master) waliotumwa na yule babu wa 1 wa hii nchi kule Bagamoyo waliokubaliana hizo dini 2 tu ndio ziongoze TZ. Lakini wanamaombi wanashughulika nazo punde itabadilika
We jamaa bana😅.
umesababisha hata nilichokiandika nikifute, ngoja niliache tu😀.
Nisije nikaonekana nanyanyapaa bure
 
vile Rais na makamu wa rais lazime wawe Young African.
pia Waziri mkuu na speaker wa bunge anatokea simba.
 
Wanatazama uwiano wa kura sababu linawafuasi wengi ila imetosha zamu ya KKKT ama Anglican sasa

Marais wakatoliki wamekuwa wanalibeba sana dhehebu lao
Wanalipa maeneo makubwa ya ardhi kwa lazima
Ukiwa waziri wa ardhi wewe bishana nao kwenye ardhi huchukui muda utatoka

Pia wamekuwa wanawasapoti kwa vitu vingi mfano kwanini roma shule zake za seminari na vyuo aliachiwa?
Makanisa mengine mpaka leo hayajarudishiwa?
anglican walihangaika wee wakajikuta wanaambulia tu mazengo ambayo sasa ni St johns university
Ila chuo cha ualimu korogwe hosptal ya muhimbili msalato navingne serikali imegoma
hospital ya muhimbiri ilikuwa ya kanisa? acha kupotosha.
 
09 July 2023
Alberta, Canada

Jumuiya ya Ismailia ya Diaspora ya Tanzania nayo inafanya mengi, hawa ni mabalozi wetu na pia wanaweza kutia ushawishi mahusiano ya serikali ya Canada na Tanzania



This year’s Stampede Breakfast in Calgary highlighted 50 years of the Ismaili Muslim community’s significant presence in the country, as well as their subsequent contributions to the economic and social fabric of the country
 
Moja kwa moja kwenye mada. Tangu tupate Uhuru linapokuja suala la Rais kutoka ukristoni basi atakuwa mkatoliki. Je, Kanisa katoliki wanatumia mbinu gani kuwapenyeza?

Najiuliza kuna mpango wa Siri kati ya kanisa na dola? Au ni bahati tu inatokea! Au kuna Nini!? Nina Imani kwa ule mtiti wa Lowasa 2015 angekuwa mkatoliki angechukua nchi.

Karibuni wajuzi na wachambuzi.
Kuna siri kubwa sana kati ya Serikali(dola) na ukatoliki,
 
Kuna siri kubwa sana kati ya Serikali(dola) na ukatoliki,
Speculations tu nadhani na kama ni kweli basi hiyo ni kazi inafanywa individualy baina ya watu ambao wao kuwepo Serikalini ni advantage !

Wakuu wa Nchi wameshakuwepo wa Dini na madhehebu tofauti tofauti !
Na hata watumishi wengine Serikalini ni vivyo hivyo!
Je wote hao wameshindwa kuijua hiyo siri. ??!! Na hiyo siri itakuwa imetunzwa wapi pasipofikika ??!!

Na je hao wasio wakatoliki wameikubali hiyo siri au nao ni kama sisi hata hawaijui hiyo siri pamoja na kuwa wana nyadhifa za juu kabisa katika Nchi ??!! 😅😅😅. Vichekesho hivi 😂😂 !
Hakuna kitu kama hicho Bro !!
 
Back
Top Bottom