Hata wewe umechemka. 1970 alishafariki.Umechemka vibaya mnoo
Martin Luther king😀😀😀
Huyo Luther King Jr dogo tu ameish miaka ya 1970's juzi tu apo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe umechemka. 1970 alishafariki.Umechemka vibaya mnoo
Martin Luther king😀😀😀
Huyo Luther King Jr dogo tu ameish miaka ya 1970's juzi tu apo
Atakuja lini?Ajaye ana IMANI ktk YESU kristo lakini hatokuwa catolicano.
Kuna madhehebu kadhaa yaliyoanzishwa kwa lengo mahsusi la kuushambulia ukatoliki.Hujui usemalo. Hao wanamaombi wanayemuomba ndiye Founder wa Catholic Church. Upende usipende hiyo ndio fact inawezekana hadi unafariki hutoiamini ila ukifika mbinguni utakuwa surprised (kama utakufa ktk Kristo).
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Sasa uje umpe uraisi muumini wa wa makanisa kama ya akina Makenzie na akina geo si ataipeleka nchi kusikojulikana?
Ninajua vzr sanaFanya utafiti kuhusu chimbuko la Lutheran Church! [emoji28]
Hakika. Hata wasomi wengi wa kwanza wa nchi hii walikua CatholicKuna mtumishi moja aliwahi niambia kuwa kutokana na kanisa kumiliki taasisi muhimu kama za elimu na afya mapema watu wengi amabao ni elites na powerful wamepita kwao hivyo ni ngumu sana kulitenga kanisa na dola.Hata kukiwa na za ndani namna gani wanazipata tu cause wana watu.
Sijui hapa umeshutumu? umelalamika? Umekubali au umepinga au unasimulia?Wakatoliki Wana maekari kwa malefu ya maekari.
Hivyo lazima wale top mmoja wao atoke kwao ili kulinda maslahi yao.
Marekani kwa kipindi cha zaidi ya miaka 200 Biden ndio Rais wa kwanza mkatoliki kumaliza muda wake. Baada yaa JFK. Kuwa terminated...
Marekani walibuni ulokole na kuchomeka liberation gospel na matunda tunayaona ya kila mwenye biblia anafungua Kanisa. Lengo ni kuua au kupunguza nguvu ya Kanisa Katoliki baada ya kuona the so called "church reformation" ( BTW ni Church deformation) kushindwa kuua nguvu ya Kanisa.Kuna madhehebu kadhaa yaliyoanzishwa kwa lengo mahsusi la kuushambulia ukatoliki.
We jamaa bana😅.Nani alikwambia Wakatoliki ni Wakristo? Ndio maana Waislamu na Wakatoliki hawatofautiani. Mkatoliki hana madhara kwa Muislamu na kinyume chake. Hii pia ni MAAGANO ya wale Wachawi 5 (wakiiongozwa na Forojo Ganzel Master) waliotumwa na yule babu wa 1 wa hii nchi kule Bagamoyo waliokubaliana hizo dini 2 tu ndio ziongoze TZ. Lakini wanamaombi wanashughulika nazo punde itabadilika
hospital ya muhimbiri ilikuwa ya kanisa? acha kupotosha.Wanatazama uwiano wa kura sababu linawafuasi wengi ila imetosha zamu ya KKKT ama Anglican sasa
Marais wakatoliki wamekuwa wanalibeba sana dhehebu lao
Wanalipa maeneo makubwa ya ardhi kwa lazima
Ukiwa waziri wa ardhi wewe bishana nao kwenye ardhi huchukui muda utatoka
Pia wamekuwa wanawasapoti kwa vitu vingi mfano kwanini roma shule zake za seminari na vyuo aliachiwa?
Makanisa mengine mpaka leo hayajarudishiwa?
anglican walihangaika wee wakajikuta wanaambulia tu mazengo ambayo sasa ni St johns university
Ila chuo cha ualimu korogwe hosptal ya muhimbili msalato navingne serikali imegoma
Dah umeongea pointHapa yawezekana umesema ukkwl haya madhehebu ni ya kibaguzi mnooo!! Ebu fikiria msabato apate urais
Kuna siri kubwa sana kati ya Serikali(dola) na ukatoliki,Moja kwa moja kwenye mada. Tangu tupate Uhuru linapokuja suala la Rais kutoka ukristoni basi atakuwa mkatoliki. Je, Kanisa katoliki wanatumia mbinu gani kuwapenyeza?
Najiuliza kuna mpango wa Siri kati ya kanisa na dola? Au ni bahati tu inatokea! Au kuna Nini!? Nina Imani kwa ule mtiti wa Lowasa 2015 angekuwa mkatoliki angechukua nchi.
Karibuni wajuzi na wachambuzi.
Speculations tu nadhani na kama ni kweli basi hiyo ni kazi inafanywa individualy baina ya watu ambao wao kuwepo Serikalini ni advantage !Kuna siri kubwa sana kati ya Serikali(dola) na ukatoliki,
Nani amekuambiaNani kasema kwamba protestants hawana ushawishi duniani??
Nchi nyingi za Europe protestants ni wengi sana.