Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 1,115
- 2,464
7/10 inahusika kabla ya sauti ya Nature kuingia.lengo ni kinanda mzee baba, sikiliza keys kisha nambia unaipa ngapi chini ya 10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
7/10 inahusika kabla ya sauti ya Nature kuingia.lengo ni kinanda mzee baba, sikiliza keys kisha nambia unaipa ngapi chini ya 10
Mhhh, mkuu kwaya ya parokia gani hiyo? Kwa kweli wimbo umetulia. Kama ipo karibu, kesho natinga ibada ya kwanza!Hawa wakatoliki kwaya na ufundi wa upigaji vinanda kwao ni sawa na samaki na maji ni ngumu kuwatenganisha.
Kwa kweli RC ni mafundi haswa katika upande huu wa uburudishaji kwa nyimbo zao za gospel ukichanganya na vinanda vyao.
Ukikutana na mpiga kinanda fundi wa RC mpaka kichwa anatikisa huwa nafurahi sana😁
Nyimbo zao zimetulia sauti zimepangika kuanzia ya kwanza mpaka ya nne ukichanganya na ufundi wa vinanda ni mwendo wa kuburudika tu.
R.C mnatisha balaa
View attachment 2743834
Tahadhari: Huu uzi sio wa mashindano ya kidini
🥰 🥰 🥰 hatari sana7/10 inahusika kabla ya sauti ya Nature kuingia.
Bikira Maria Mama wa Mungu yombo vituka dsmMhhh, mkuu kwaya ya parokia gani hiyo? Kwa kweli wimbo umetulia. Kama ipo karibu, kesho natinga ibada ya kwanza!
Wamesheheni mafundi haswa kwenye kukanyaga vinandaKanisa Katoliki limejaliwa hazina ya watunzi bora kabisa wa nyimbo za Kanisa, na pia wapiga kinanda mahiri kabisa!!
Siku hizi kuna vijana wadogo kabisa kama akina Ray Ufunguo, Tumaini Swai, Credo Mbogoye, Thomas Mashibe (huyu kinanda kinamheshimu sana), Mushobozi (huyu anatumia miguu yote miwili kwenye pedal) na wengineo wengi wakali!! Wanafanya vizuri sana.
Miaka hiyo wakali wa kinanda walikuwa ni akina John Mgandu, Mkude Sekulu, John Maja, nk.
NAIOMBA 'APA'APA MKUU!Dah nyimbo ya kwaresima hii mama alikuwa anaicheza sana inaweza kukufanya ukawa saint kwa muda ukaacha vurugu zote za kidunia.Ipo nyingine ya nirudieni mimi
Ngoja niicheki chapNAIOMBA 'APA'APA MKUU!
🙏🙏🙏❣️
NAIOMBA 'APA'APA MKUU!
🙏🙏🙏❣️
DOWNLOAD COMPLETED!View attachment 2743864 hiyo hapo mkuu
sawa kaka kila kheriDOWNLOAD COMPLETED!
🙏🙏🙏❣️
Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote. daaah😁View attachment 2743864 hiyo hapo mkuu
Ukitaka safari yako ya mafunzo iwe nyepesi, hakikisha pia una uelewa wa elimu ya muziki!Hapa nimepata mwalimu wa Catholic ananifundisha kinanda.
Karibuni.
Years is just a numbers,
They're good.
Nyimbo nyingi za RC nzuri sema za kwaresima huwa nazipenda ukisikiliza unapata utulivu kidogo unahisi sasa ni wakati wakurudi katika njia sahihiNirudieni mimi kwa mioyo yenu yote. daaah😁
Dah,eti mama wa Mungu!!..halafu walokole wakisema yesu Mungu wakatoliki mnapinga,yaani hamna uhakika mnaabudu niniBikira Maria Mama wa Mungu yombo vituka dsm
Not a Catholic but a good follower of Saint Francis of Assisi ... and I love inspirational songs!Hawa Wakatoliki kwaya na ufundi wa upigaji vinanda kwao ni sawa na samaki na maji ni ngumu kuwatenganisha.
Kwa kweli RC ni mafundi haswa katika upande huu wa uburudishaji kwa nyimbo zao za gospel ukichanganya na vinanda vyao.
Ukikutana na mpiga kinanda fundi wa RC mpaka kichwa anatikisa huwa nafurahi sana😁
Nyimbo zao zimetulia sauti zimepangika kuanzia ya kwanza mpaka ya nne ukichanganya na ufundi wa vinanda ni mwendo wa kuburudika tu.
R.C mnatisha balaa.
View attachment 2743834
Tahadhari: Huu uzi sio wa mashindano ya kidini.
Tahadhari: Huu uzi sio wa mashindano ya kidini.Dah,eti mama wa Mungu!!..halafu walokole wakisema yesu Mungu wakatoliki mnapinga,yaani hamna uhakika mnaabudu nini