Wakatoliki kwa kwaya na ufundi wa vinanda ni sawa na samaki na maji

Mhhh, mkuu kwaya ya parokia gani hiyo? Kwa kweli wimbo umetulia. Kama ipo karibu, kesho natinga ibada ya kwanza!
 
Wamesheheni mafundi haswa kwenye kukanyaga vinanda
 
Kwaya Kuu Mt.Cesilia Arusha "Mshipi"
 
Hapa nimepata mwalimu wa Catholic ananifundisha kinanda.

Karibuni.

Years is just a numbers,

They're good.
Ukitaka safari yako ya mafunzo iwe nyepesi, hakikisha pia una uelewa wa elimu ya muziki!

Yaani uwe na uwezo wa kuzichambua zile nota za do re mi fa so la si dooo!! Do si la so fa mi re dooo!! Do mi fa re do mi so so, do mi fa re so soo doo!!!
 
Not a Catholic but a good follower of Saint Francis of Assisi ... and I love inspirational songs!
πŸ™πŸ™πŸ™β£οΈ
 
Dah,eti mama wa Mungu!!..halafu walokole wakisema yesu Mungu wakatoliki mnapinga,yaani hamna uhakika mnaabudu nini
Tahadhari: Huu uzi sio wa mashindano ya kidini.

Ungezingatia hilo katazo toka mwanzo wa huu uzi usingefikia hii level ya ujinga uliyo onesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…