Wakatoliki sasa wanaelewa kwa nini Padre Martin Luther alimpinga Papa na kuanzisha dhehebu la Lutheran

Wakatoliki sasa wanaelewa kwa nini Padre Martin Luther alimpinga Papa na kuanzisha dhehebu la Lutheran

Suala la kumzuia Mwanaume rijali tena anayekula vizuri kuoa ndio kunazalisha Mashoga
Hii ni hatari Ila tu nikusahihishe kidogo mapadri hawaoi ndio Ila sio kwamba hawazalishi wanazalisha wana watoto wale wana wajukuu wale usiwaone vile, hivi ushasikia mara ngapi padri fulani imetokea hivi nyumba ya wageni hata hapa juzi umesikia kuna padri amefia huko eeh Ila tu wanachoweza kufanya ni kwa uSiri mkubwa mno ni ngumu kuwagundua kua wanawatafuna baadhi ya kondoo na baadhi ya kondoo wakianza kushtukia mchezo utaona anahamishwa na kuhamishiwa kwingine na huko akifika ni suala la muda tu anaanza kuwatafuna kondoo kwa uSiri wa hali ya juu

Pole
 
Martin Luther alikuwa Padri,

Baadae akaachana na Upadri kutokana na sheria na taratibu za Kikatoliki ambazo hazikufaa na hata leo hazifai,wakataka kumuua na wakati wanamtafuta ndio akatunga ule wimbo

"Mwamba wangu wa kale, kwako nitajificha" sikuhizi wanaita "Mwamba wenye imara"

Miongoni mwa sababu 95 za Martin Luther kuhama katoliki ni pamoja na

1) Ibada ya kusujudia sanamu

2) Kukataza au kuwazuia Watumishi wa Mungu marijali (Mapadri) kuoa

3) Muumini kutubu dhambi kwa Padri na kumtajia dhambi zako na si bure padri mwenyewe ametoka kufanya ufuska badala ya kutubu kwa Mungu na kusamehewa kwa Neema na inabaki kuwa siri

4) Kulipia msamaha wa Dhambi, zamani ilikuwa ili usamehewe dhambi ni lazima kuilipia kulingana na uzito wa dhambi

5) Kumtumia Bikira Maria kama Channel ya kuwasiliana na Mungu ilihali Yesu ndie njia ya KWELI NA UZIMA na Mariam alikuwa na umuhimu wa kumzaa Yesu TU.

Martin Luther alikuwa sahihi KABISA.
Tayari nimeshaanza taratibu za kijiunga Lutheran.
 
The fact remain, hata uwe dhehebu lipi issue ya LGBTQ sio ya kuiendea hivi hivi, inahitaji umakini mkubwa hasa kwa mataifa yetu yanayoendelea ambao wengi wetu ni wafuasi wa madhehebu yaliyokuja kwa merikebu.

Ila bado nina shaka juu ya maana halisi ya dhana ya Papa ya kuwabariki hao watu vs tafsiri tunayoletewa huku.

Ni jukumu la Kanisa husika kuhakikisha tafsiri halisi ieleweke, kuna subjectivity nyingi zinajiibua hata kupotosha maana halisi ya Mkuuwa kanisa alichomaanisha.
Kwahiyo mpaka Askofu Ruwaichi hajaelewa papa alichokisema!.?
 
Lengi la LGBTQ ni kugeuza ulimwengu kuwa wa kike hiyo movement ilianzishwa na feminists movement kuhakikisha mfumo dume unakufa na nfumo jike una dominate
Wanaume wawe kikekike na watamani kuwa wa8nawake kuolewa nk wamefanikiwa sasa wamefika hadi Vatican Papa karuhusu baraka za wapenzi jinsia moja ruksa
Huo ufimenist umeanzia huko huko Vatican...
Msichokijua na kukataa PApA ndiye mpinga kristo yaani roman Catholic ndio mratibu wa laana zote za dunia hii tunaojua siku nyingi tunafurahishwa na muda
 
Huo ufimenist umeanzia huko huko Vatican...
Msichokijua na kukataa PApA ndiye mpinga kristo yaani roman Catholic ndio mratibu wa laana zote za dunia hii tunaojua siku nyingi tunafurahishwa na muda
Imani za mapokeo bila kuchunguza Biblia kiukweli huingiza Watu chaka sana, cha ajabu Watu wana macho hawaoni, wana masikio hawasikii kabisa ili kumkimbia Ke Kahaba (Kanisa la uwongo).

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Imani za mapokeo bila kuchunguza Maandiko Matakatifu kiukweli yanawaingiza Watu chaka sana, cha ajabu Watu wana macho hawaoni, wana masikio hawasikii kabisa ili kumkimbia Ke Kahaba (Kabisa la uwongo).

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Na kanisa lenyewe halijaficha uongo wake ila waumini ni kama mazombi
 
Martin Luther alikuwa Padri,

Baadae akaachana na Upadri kutokana na sheria na taratibu za Kikatoliki ambazo hazikufaa na hata leo hazifai,wakataka kumuua na wakati wanamtafuta ndio akatunga ule wimbo

"Mwamba wangu wa kale, kwako nitajificha" sikuhizi wanaita "Mwamba wenye imara"

Miongoni mwa sababu 95 za Martin Luther kuhama katoliki ni pamoja na

1) Ibada ya kusujudia sanamu

2) Kukataza au kuwazuia Watumishi wa Mungu marijali (Mapadri) kuoa

3) Muumini kutubu dhambi kwa Padri na kumtajia dhambi zako na si bure padri mwenyewe ametoka kufanya ufuska badala ya kutubu kwa Mungu na kusamehewa kwa Neema na inabaki kuwa siri

4) Kulipia msamaha wa Dhambi, zamani ilikuwa ili usamehewe dhambi ni lazima kuilipia kulingana na uzito wa dhambi

5) Kumtumia Bikira Maria kama Channel ya kuwasiliana na Mungu ilihali Yesu ndie njia ya KWELI NA UZIMA na Mariam alikuwa na umuhimu wa kumzaa Yesu TU.

Martin Luther alikuwa sahihi KABISA.
Yani unaandika kabisa Martin Luther alikuwa sahihi wakati ameruhusu wachungaji kufunga ndoa, uliona wapi wanafunzi wa Yesu Kristu waliambatana na wake zao kutangaza injili?

Huko Lutheran siku hizi naona mna mpaka wachungaji wanawake, sijui mmeyatoa kwenye biblia ipi haya mambo?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Huko nyuma watu waliojitenga na Kanisa katoliki kwa kumpinga Papa na maamuzi yake wakikuwa wanawaona wakaidi wenye shetani la uasi na waliopotoka

Baada ya yamko la Papa kuruhusu kubariki wapenzi wa Jinsia moja Papa kapingwa na mabaraza ya Maaskofu nchi nyingi tu

Moto unafukuta waumini wengi wako tayari kwa lolote kujiengua ukatoliki na kwenda madhehebu mengine yaliyopo au kumfuata padre yeyote atakayeanzisha dhehebu jipya la katoliki lisilokubaliana na tamko la Papa

Zile kelele za kuita wengine waliojiitenga na katoliki kupinga maagizo ya Papa zimepungua wameanza kuelewa logic ya waliojitenga kuwa kuwa ni kweli Papa aweza Kosea na kuudhi kanisa
 
Wakatoliki huwa wanakuja sana kusali lutheran wanakuja kimya kimya tunawapokea.
 
Ulutheri ni mafundisho ya wanadamu hakuna kabisa la Mungu hapo! Miulize huyo Martin Luther aliwekwa wakfu na nani?
Hahaha, unashangaza sana na inaelekea hujui chochote

Ukatoliki haufuati maagizo ya Biblia, unafuata maagizo ya viongozi wa kirumi na ndio maana ya Liturgia

Na kwa hapo both RC na Lutheran hakuna wa kumshangaa mwenzie kwsbb wote wanafuata Liturgia na Katekisimo na ratiba mwongozo wa kanisa kwa mwaka mzima

Roman ilianza kwenda kinyume na Biblia kuanzia kwenye habari ya "Amri kumi za Mungu" Emperors wa kirumi walibadilisha

Unataka nikuoneshe ushahidi?
 
Yani unaandika kabisa Martin Luther alikuwa sahihi wakati ameruhusu wachungaji kufunga ndoa, uliona wapi wanafunzi wa Yesu Kristu waliambatana na wake zao kutangaza injili?

Huko Lutheran siku hizi naona mna mpaka wachungaji wanawake, sijui mmeyatoa kwenye biblia ipi haya mambo?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Acha Uongo, Uongo haufuti Ukweli

Mkibanwa mnatapatapa

Cha kukusaidia tu, pitia sababu 95 za Martin Luther alizobandika mlangoni na kuacha upadri, sababu zote zina mashiko

Ulitaka Wachungaji wasiruhusiwe kuoa ili wawe mashoga au wawe na michepuko kila kona kama Mapadri?

Hamsujudu sanamu?

Hamuungami dhambi kwa padri (Binadamu mwenzio) na yeye ndio anakutangazia msamaha wa dhambi [emoji1787]

Hamsali kwa kumpitia Bikira mariam badala ya Yesu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wee unaumia nn, yeye akiwa shemale?
Nawajibika kwa athari atakazoleta kwenye jamii yangu hasa watoto wangu wa kiume.

Maana mtu kama huyo amechanganyikiwa kabisa hata jinsia yake haijui,nachelea kusema hata kwenye jamii atapata shida kujua majukumu yake ni yapi, akae mbali na wanangu.

shemale? really!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wee unaumia nn, yeye akiwa shemale?
Afu ujue wanawake ndo mnapush ushoga, ukienda tiktok kila comedian anajifanya jike na madem wanapenda kinomaaa. Kwanini mnapenda mashost mashoga?

Huwa najiuliza inashindikana kufanya comed kwa jinsia yako halisi ili na wale wa jinsia jirani watumie nafasi yao?

Wanawake mkionyesha kutopemdezwa na hizo pigo hata wao wataacha, ujue maisha ni mtazamo mfano tangu wanaume tuwaonyeshe wanawake kua tunapenda matako basi akili zenu zimehamia uko matakoni.
 
Naona Catholic na Anglican wanaenda kuwa kitu kimoja.
Ni kheri Lutheran walioruhusu makasisi wao (wachungaji) kuoa na wanawake kuolewa.
kwani anglican nao mbona makasisi wao nao wanaoa.
Halafu kutokuoa ama useja inahusiana vipi na hilo tangazo?
Vile iwavyo katoliki ni kanisa kongwe na lisiloruhusu kupelekwa na upepo wa mabadiliko ya dunia yasokuwa na mantiki ama msingi wa imani. Hili la ushoga halitaweza kupenyeza kanisani. Kanisa lipo imara. Mawakala wa ushoga wa magharibi ndani ya kanisa watafurukuta sana kuupenyeza ila hawataweza.
 
Martin Luther alikuwa Padri,

Baadae akaachana na Upadri kutokana na sheria na taratibu za Kikatoliki ambazo hazikufaa na hata leo hazifai,wakataka kumuua na wakati wanamtafuta ndio akatunga ule wimbo

"Mwamba wangu wa kale, kwako nitajificha" sikuhizi wanaita "Mwamba wenye imara"

Miongoni mwa sababu 95 za Martin Luther kuhama katoliki ni pamoja na

1) Ibada ya kusujudia sanamu

2) Kukataza au kuwazuia Watumishi wa Mungu marijali (Mapadri) kuoa

3) Muumini kutubu dhambi kwa Padri na kumtajia dhambi zako na si bure padri mwenyewe ametoka kufanya ufuska badala ya kutubu kwa Mungu na kusamehewa kwa Neema na inabaki kuwa siri

4) Kulipia msamaha wa Dhambi, zamani ilikuwa ili usamehewe dhambi ni lazima kuilipia kulingana na uzito wa dhambi

5) Kumtumia Bikira Maria kama Channel ya kuwasiliana na Mungu ilihali Yesu ndie njia ya KWELI NA UZIMA na Mariam alikuwa na umuhimu wa kumzaa Yesu TU.

Martin Luther alikuwa sahihi KABISA.
Uko sahihi japo huo wimbo hakutunga yeye
 
Afu ujue wanawake ndo mnapush ushoga, ukienda tiktok kila comedian anajifanya jike na madem wanapenda kinomaaa. Kwanini mnapenda mashost mashoga?

Huwa najiuliza inashindikana kufanya comed kwa jinsia yako halisi ili na wale wa jinsia jirani watumie nafasi yao?

Wanawake mkionyesha kutopemdezwa na hizo pigo hata wao wataacha, ujue maisha ni mtazamo mfano tangu wanaume tuwaonyeshe wanawake kua tunapenda matako basi akili zenu zimehamia uko matakoni.
Wewe ni mgeni humu mkuu? Huyo sio mwanamke,huyo ni mpunga! Uliza vizuri
 
Back
Top Bottom