Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Hii ni hatari Ila tu nikusahihishe kidogo mapadri hawaoi ndio Ila sio kwamba hawazalishi wanazalisha wana watoto wale wana wajukuu wale usiwaone vile, hivi ushasikia mara ngapi padri fulani imetokea hivi nyumba ya wageni hata hapa juzi umesikia kuna padri amefia huko eeh Ila tu wanachoweza kufanya ni kwa uSiri mkubwa mno ni ngumu kuwagundua kua wanawatafuna baadhi ya kondoo na baadhi ya kondoo wakianza kushtukia mchezo utaona anahamishwa na kuhamishiwa kwingine na huko akifika ni suala la muda tu anaanza kuwatafuna kondoo kwa uSiri wa hali ya juuSuala la kumzuia Mwanaume rijali tena anayekula vizuri kuoa ndio kunazalisha Mashoga
Pole