James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Kikubwa ni kuhubiri kama inavyotakiwa. Ktk biblia kulikuwa na viongozi wanawake na manabii wanawake pia. Ingawa jamii ilikuwa na mfumo dume hivyo vingi vilivyoandikwa vilitawaliwa na wanaume.Yani unaandika kabisa Martin Luther alikuwa sahihi wakati ameruhusu wachungaji kufunga ndoa, uliona wapi wanafunzi wa Yesu Kristu waliambatana na wake zao kutangaza injili?
Huko Lutheran siku hizi naona mna mpaka wachungaji wanawake, sijui mmeyatoa kwenye biblia ipi haya mambo?
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ukristo tu ndio wenye usalama wa kiroho,huko kwingine Shetani kaweka kambi kitambo!kwani anglican nao mbona makasisi wao nao wanaoa.
Halafu kutokuoa ama useja inahusiana vipi na hilo tangazo?
Vile iwavyo katoliki ni kanisa kongwe na lisiloruhusu kupelekwa na upepo wa mabadiliko ya dunia yasokuwa na mantiki ama msingi wa imani. Hili la ushoga halitaweza kupenyeza kanisani. Kanisa lipo imara. Mawakala wa ushoga wa magharibi ndani ya kanisa watafurukuta sana kuupenyeza ila hawataweza.
Aisee watu wanapenda Kujifarijia mambo ya hovyo!Kuzikwa kikatoliki kuna faida gani.?
Lengo ni kumpinga Mungu na mambo yake. Hakuna mfumo Jike na Hautaweza tawala Dunia. Hii nadhani ndo Wakristo wanasema Mpinga Kristo. Wanampinga Mungu na KUWAFARAKANISHA WATU NA MUNGU. yaani kuasi.Lengi la LGBTQ ni kugeuza ulimwengu kuwa wa kike hiyo movement ilianzishwa na feminists movement kuhakikisha mfumo dume unakufa na nfumo jike una dominate
Wanaume wawe kikekike na watamani kuwa wa8nawake kuolewa nk wamefanikiwa sasa wamefika hadi Vatican Papa karuhusu baraka za wapenzi jinsia moja ruksa
Litanikuta, nalisubiri!We endelea kukaza fuvu tuu..kuna kubwa zaidi linakuja huko kwenye ukatoliki wako
Unamfahamu Papa wa kwanza lakini? Labda tuanzie hapo!Samahani lakini, nami naomba kujua papa wa kwanza aliwekwa wakfu na nani
Wewe mtu tu akiweka profile picture ya kike basi ni mwanamke!!!Ayaaa..Afu ujue wanawake ndo mnapush ushoga, ukienda tiktok kila comedian anajifanya jike na madem wanapenda kinomaaa. Kwanini mnapenda mashost mashoga?
Huwa najiuliza inashindikana kufanya comed kwa jinsia yako halisi ili na wale wa jinsia jirani watumie nafasi yao?
Wanawake mkionyesha kutopemdezwa na hizo pigo hata wao wataacha, ujue maisha ni mtazamo mfano tangu wanaume tuwaonyeshe wanawake kua tunapenda matako basi akili zenu zimehamia uko matakoni.
Kina PungaSeseWewe mtu tu akiweka profile picture ya kike basi ni mwanamke!!!Ayaaa..
Huyu uliyem reply pengine ni walewale kwa jinsi nilivyofuatilia mienendo yake humu jamvini
Mkuu sidhani kama wanaelewa.Wakatoliki ni watu wagumu sana wa kukubali ukweli.Ila in principle sio wao tu madhehebu yote yana tabia hiyo.Lakinii, hata Protestants waliotoka Roma mbona wamesha sign mikataba ya kurudi Roma,it was wasted effort and time on the part of Martin Luther,very sad indeed.Waliobaki ku-sign mkataba ni Pentecostals,ambao nao mazungumzo hata hivyo yapo kwenye very advanced stages ili waweze kurudi.Huko nyuma watu waliojitenga na Kanisa katoliki kwa kumpinga Papa na maamuzi yake wakikuwa wanawaona wakaidi wenye shetani la uasi na waliopotoka
Baada ya yamko la Papa kuruhusu kubariki wapenzi wa Jinsia moja Papa kapingwa na mabaraza ya Maaskofu nchi nyingi tu
Moto unafukuta waumini wengi wako tayari kwa lolote kujiengua ukatoliki na kwenda madhehebu mengine yaliyopo au kumfuata padre yeyote atakayeanzisha dhehebu jipya la katoliki lisilokubaliana na tamko la Papa
Zile kelele za kuita wengine waliojiitenga na katoliki kupinga maagizo ya Papa zimepungua wameanza kuelewa logic ya waliojitenga kuwa kuwa ni kweli Papa aweza Kosea na kuudhi kanisa
Wanaweza kuendelea kua wakatoliki ila sio chini ya uongozi wa papa kama walivyofanya Anglican wa africaHuko nyuma watu waliojitenga na Kanisa katoliki kwa kumpinga Papa na maamuzi yake wakikuwa wanawaona wakaidi wenye shetani la uasi na waliopotoka
Baada ya yamko la Papa kuruhusu kubariki wapenzi wa Jinsia moja Papa kapingwa na mabaraza ya Maaskofu nchi nyingi tu
Moto unafukuta waumini wengi wako tayari kwa lolote kujiengua ukatoliki na kwenda madhehebu mengine yaliyopo au kumfuata padre yeyote atakayeanzisha dhehebu jipya la katoliki lisilokubaliana na tamko la Papa
Zile kelele za kuita wengine waliojiitenga na katoliki kupinga maagizo ya Papa zimepungua wameanza kuelewa logic ya waliojitenga kuwa kuwa ni kweli Papa aweza Kosea na kuudhi kanisa