Wakatoliki walifanikiwaje kuweka utaratibu wa kiibada unaofatwa karibu ilimwenguni kote?

Wakatoliki walifanikiwaje kuweka utaratibu wa kiibada unaofatwa karibu ilimwenguni kote?

Kyenyabasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2023
Posts
247
Reaction score
715
Utashangaa ukihudhuria ibada ya kikatoliki labda mwanza masomo yatakayosomwa hapo Mwanza ni sawa na somo litakalosomwa Bukoba, Mbeya, Shinyanga, Lindi, Mtwara, Tanga nk yaani nchi nzima ujumbe utakaotolewa ni uleule bila kupungua au kuongezeka.

Hiki kitu sijakishuhudia katika makanisa mengine. Inakuwaje wakatoliki wakafanikiwa katika hili na hakuna ubishani!?

Karibu wajuvi.
 
Utashangaa ukihudhuria ibada ya kikatoliki labda mwanza masomo yatakayosomwa hapo Mwanza ni sawa na somo litakalosomwa Bukoba,Mbeya,Shinyanga,Lindi,Mtwara,Tanga nk yaani nchi nzima ujumbe utakaotolewa ni uleule bila kupungua au kuongezeka!!! Hiki kitu sijakishuhudia katika makanisa mengine,,,Inakuwaje wakatoliki wakafanikiwa katika hili na hakuna ubishani!??? Karibu wajuvi.
Nasadiki kwa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume", period

Na ndiyo dini ya ukweli ya Ukristu ambayo ilianzishwa na Mtume Petro alipokabidhiwa kondoo awachunge na Bwana Yesu Kristu (Mathayo 16:18). Wengine wote ni waprotestanti na wapinga kristo.

Wasabato siyo DHEHEBU LA KIKRISTU bali ni CULT iliyoanza baada ya Nabii wa Uwongo kushindwa utabiri wake juu ya mwisho wa Dunia kuwa ni mwaka 1844
 
Ni kwasababu Biblia nzima imegawanywa katika mafungu mafungu ambayo yanasomwa kila jumapili (Dominika). Hivyo kila mwaka masomo yanarudiwa. Pia yamegawanywa katika miaka ya kabisa tofauti na miaka ya kidunia mfano mwaka A, mwaka B na C. Hivyo inafanana kwa sababu masomo yamegawanywa na kujirudia kila mwaka, lakn pia kutokana na kuwa na makao yake makuu Roma ambapo ndio muhimili mkuu wa kanisa ulipo ukiwa na majukumu mbalimbali ikiwemo kuandaa hayo masomo katika vipindi mbalimbali.
 
Nasadiki kwa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume", period

Na ndiyo dini ya ukweli ya Ukristu ambayo ilianzishwa na Mtume Petro alipokabidhiwa kondoo awachunge na Bwana Yesu Kristu (Mathayo 16:18). Wengine wote ni waprotestanti na wapinga kristo.

Wasabato siyo DHEHEBU LA KIKRISTU bali ni CULT iliyoanza baada ya Nabii wa Uwongo kushindwa utabiri wake juu ya mwisho wa Dunia kuwa ni mwaka 1844
hivi hii period maana yake hua nini ?
 
Ni wataalam na waanzilishi wa propaganda... Walijua ni namna gani crowd inafikiri na kuunda hisia pia ni Namna gani wanaweza ikwapua ridhaa Yao bila wao kujua hasa katika public opinion formulation.

Control mawazo Yao kisha wape Elimu yako.
 
Nasadiki kwa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume", period

Na ndiyo dini ya ukweli ya Ukristu ambayo ilianzishwa na Mtume Petro alipokabidhiwa kondoo awachunge na Bwana Yesu Kristu (Mathayo 16:18). Wengine wote ni waprotestanti na wapinga kristo.

Wasabato siyo DHEHEBU LA KIKRISTU bali ni CULT iliyoanza baada ya Nabii wa Uwongo kushindwa utabiri wake juu ya mwisho wa Dunia kuwa ni mwaka 1844
Hapo nakuunga mkono
 
Mbona ni kawaida mzee mfano wake ni kama mtu anaeimba nyimbo ya Rkelly "sign of a victory"
Anaeimba akiwa marekan na anaeimba akiwa Tz wanaimba vilevile tofauti lafudhi kwakua muandaaji wa wimbo ni mtu mmoja
 
Utashangaa ukihudhuria ibada ya kikatoliki labda mwanza masomo yatakayosomwa hapo Mwanza ni sawa na somo litakalosomwa Bukoba, Mbeya, Shinyanga, Lindi, Mtwara, Tanga nk yaani nchi nzima ujumbe utakaotolewa ni uleule bila kupungua au kuongezeka.

Hiki kitu sijakishuhudia katika makanisa mengine. Inakuwaje wakatoliki wakafanikiwa katika hili na hakuna ubishani!?

Karibu wajuvi.
Yani hpa umeongelea nchi tu tena baadhi ya mikoa

Ila sisi waislamu ibada zetu ni dunia nzima kila sehemu utakayoenda dunia hii ukakuta msikiti basi wanaswali kma ulipotoka
 
Nasadiki kwa kanisa moja, Takatifu,katoriki,la mitume.
Uwakika gan katoric n kanisa la mitume? Hilo kanisa limeanzishwa mwaka 325 A.D baadae sana baada ya yesu kuondoka dunian pia mitume wote kuondoka dunia kwa mujibu wa historia, sasa una ushahidi wowote wa mtume yeyote aliyejihusha na ukatoric?

Kwa ushahidi upi kimaandiko na kihistoria? Achen kudanganywa bana
 
Iyo mbona simple tu wanatumia kalenda na vitabu vyao vya miongozo kwa makanisa yao yote ulimwenguni,

Wanafanya hivi kuhakikisha hakuna kanisa litakalo kwenda kinyume na misingi ya waanzilishi wa kanisa.

Mfano, kuhubiri nje ya misingi ya ukatoric na imani yao, mfano mahubiri yanayokataza ibada za sanamu, ulevi, uchawi wa kuabudu mizimu ya kizungu hiyo wanayotuaminisha ni watakatifu.

Pia hofu yao ni pale makanisa yatakapoanza kujiendesha kwa elimu binafsi nje ya box inayohoji historia ya ukatoric na uhuni ilioufanya hapo zamani kwa kuua mamilion ya watu sababu ya udini na utofaut wa kiimani, pia kuhoji uhalali wa ukatoric kujiunganisha na Siasa.

Kuna mengi nyuma ya pazia viongozi wa hili kanisa wameweka misingi ili kucontrol akili za makondoo ama wafuasi wapumbavu wa hilo kanisa wasifikiri nje ya box zaid ya kuenenda vile sheria za kihuni zinavyotaka waende.

Kanisa la kweli ni wewe mtu/mwanadamu, na sio jengo wala mkusanyiko, someni biblia zenu, Kanisa aliloacha kristo sio majengo bali mtu na sio dhehebu maana wakati wa kristo haukuwepo ukristo bali imani ya uyahudi ambayo sio ukristo na wala haihusiani na ukatoric, wakatoric wameibuka juzi tu na dini yao baada ya kuisoma vzr elimu ya uyahudi na kuamua kuigawa kwa kuunda dini kuu 2 nje ya uyahudi ambazo ni uislam na huo ukristo kwa faida yao ya kuicontroll dunia kisiasa&kiuchumi.

Haya yote yamefanyika juzi tu hapo baada ya mitume na manabii kuondoka dunian zamani sana kabla ya uwepo wa hizi dini za kizushi.

Tuamke jamani tujitahidi kuisoma Elimu dunia vzr ndipo hizo dini za mchongo tutazielewa vizuri sana.
 
Back
Top Bottom