Wakatoliki walifanikiwaje kuweka utaratibu wa kiibada unaofatwa karibu ilimwenguni kote?

Wakatoliki walifanikiwaje kuweka utaratibu wa kiibada unaofatwa karibu ilimwenguni kote?

TUNAANGAMIZA KWA KUTOSOMA MAANDIKO.

Mtafuteni Mzee wa siku kwenye Biblia MJUE.
Daniel 4 :7
Nikatazama hata viti vya enzi vikawekwa, na mmoja aliye mzee wa siku ameketi; mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji, na nywele za kichwa chake kama sufu safi; kiti chake cha enzi kilikuwa miali ya moto, na gurudumu zake moto uwakao.

Danieli 7 :22
hata akaja huyo mzee wa siku, nao watakatifu wake Aliye juu wakapewa hukumu; na majira yakawadia watakatifu waumiliki ufalme.

MZEE WA SIKU NI PAPA AKIPOKEA HUKUMU KWA MUNGU.
MOTO UMEKWISHA ANDALIWA KWAAAJILI YAKE AMKENI JAMANI.
 
2. Wameanzisha ibada za Sanamu katekisim Yao imefuta AMRI za Mungu AMRI ya pili.

Katekisim Yao imeruhusu kunywa pombe na KIVITA sigara.
 
3. Wameamua KUBADIRI majira na nyakati Kutoka siku ya Jumamosi na kuhamia siku ya jumapili, WAMEBADILI ikawa jioni ikawa Asubuhi. Wao wakaweza saa sita usiku kuwa siku mpya Baada ya saa kumi na mbili.
 
4. Wameruhisu na wanafungisha ndoa za Jinsia Moja, wanawalawiti WATOTO vatkan.

Papa shetani ameruhisu USHOGA.
 
5. KIBAYA zaidi VATCAN imeamua kuanzisha UISLAMU. SHETANI Mbaya sana SHETANI MBAYA MNO.

HILO NI KANISA LA MASHETANI
 
WARUMI, WAZEE WA KIYAHUDI NDIO WALIOMUUA YESU.
UTAWALA WA KIRUMI NDIO ULIO MSURUBISHA YESU.


Warumi ndio waliomsulibisha (Mathayo 27:27-37). Kusulubiwa ilikuwa njia ya Kirumi ya kunyonga, iliyoidhinishwa na kutekelezwa na Warumi chini ya mamlaka ya Pointio Pilato, gavana wa Kirumi ambaye alimhukumu Yesu. Askari wa Kirumi waligongerea msumari kwa mikono yake na miguu, kikosi cha Kirumi kilisimamisha msalaba na askari wa Kirumi alimdunga mkuki upavuni mwake (Mathayo 27:27-35)

Watu wa Israeli pia waliridhika na kifo cha Yesu. Wao ndio wapasa sauti, "Asulubiwe! Asulubiwe!" aliposimama mbele ya Pilato (Luka 23:21). Pia waliomba mwizi Baraba afunguliwe badala ya Yesu (Mathayo 27:21). Petro anadhibitisha hili katika Matendo 2:22-23 wakati aliwaambia wanaume wa Israeli, "nanyi mkamuua kwa kuwaachia watu wabaya wamsulubishe." Hakika kuuwawa kwake Yesu ilikuwa ni njama iliyowahuzisha Rumi, Herode, na viongozi wa Kiyahudi na watu wa Israeli, makundi tofauti ambayo hayakuwai fanya kazi pamoja tangu mwanzo, lakini wakaja pamoja wakati huu mmoja kufanya njama na kutekeleza lile lisilofikirika: mauaji ya Mwana wa Mungu.

Mwoshowe, na pengine kiajabu, ilikuw ni Mungu aliyemfanya Yesu kufa. Hili lilikuwa tendo la juu sana la haki ya kiungu liliwai fanyika "Kufuatana na mpango wake mwenyewe Mungu" (Matendo 2:23) na kwa kusudi kuu. Kifo cha Yesu msalabani kulituhifadhia wokovu mara milioni isiyohesabika na kupeana njia pekee ambayo Mungu angeweza kusamehe dhambi bila kuaibisha utakatifu Wake na haki Yake kamilifu. Kifo cha Yesu ulikuwa mpango kamilifu wa Mungu wa ukombozi wa milele wa walio wake. Mbali na kuwa ushindi kwa Shetani, vile wengine wamekisia, au mkasa usiostahili, lilikuwa tendo kuu la neema ya wema na huruma ya Mungu, dhihirisho la juu la upendo wa Baba kwa wenye dhambi. Mungu alimfanya Yesu afe kwa sababu ya dhambi zetu ili tuweze kuishi bila dhambi na haki mbele zake, haki iwezekanayo pekee kupitia kwa msalaba. "Kristo hakuwa na dhambi, lakini Mungu alimfanya ahusike na dhambi kwa ajili yetu, ili sisi kwa kuungana naye, tupate kuushiriki uadilifu wake Mungu" (2 Wakorintho 5:21).

Kwa hivyo sisi ambao tumekuja kwa Kristo kwa imani tuna hatia ya damu yake iliyomwagika msalabani kwa ajili yetu. Alikufa ili alipe adhabu ya dhambi zetu (Warumi 5:8; 6:23)
 
6. Kanisa limeamua KUMUABUDU bikra maria .

Kuabudu Rozali...

Hakuna kitu kama hicho kwenye bibilia Muombezi wetu ni Yesu tu

UKITAKA KUPOTEZA NI KUMUABUDU MNYAMA Mwanamke aliyeketi juu ya mnyama mwenye kikombe Cha Machukizo.
 
Uwakika gan katoric n kanisa la mitume? Hilo kanisa limeanzishwa mwaka 325 A.D baadae sana baada ya yesu kuondoka dunian pia mitume wote kuondoka dunia kwa mujibu wa historia, sasa una ushahidi wowote wa mtume yeyote aliyejihusha na ukatoric?

Kwa ushahidi upi kimaandiko na kihistoria? Achen kudanganywa bana
Umeandika UWONGO.
Kanisa limeanza siku ya Pentecoste (Siku 50 baada ya Yesu Kristu Kufa/Kufufuka). Ile siku waliyonena kwa lugha wakati akipaa mbinguni ndipo Kanisa lilianza chini ya Mtume Petro kama Kiongozi/Pope wa kwanza.

Mwaka 325 ni mwaka ambao Mfalme Constantine wa aliruhusu Dola ya Urumi (Roman Empire) kutambua kanisa. Kati ya Karne ya 1 na ya 3 Kabla ya Mfalme Constantine Roman Empire ilikuwa inawatesa wafia dini (crusaders).
 
VIJANA MSIPOTEE SOMENI SANA MAANDIKO SOMENI UFUNUO NA DANIEL SIRI ZOTE ZA DUNIA ZIMEFICHWA HUMO MATUKIO YOTE YAMEWEKA HUKO HADI MIAKA.

KANISA KATOLIKA HALIKUANZISHWA NA PETRO BAADALA YAKE ROMAN EMPIRE ILIKUWA NI ADUI MKUBWA SANA WA KRISTO NA KANISA LAKE.

KANISA LILIANZISHWA NA YESU MWENYEWE akamkabidhi Funguo Petro NA wanafunzi wa WENZIE.

Ila walikiona Cha Moto kutoka kwa WARUMI Roman Empire.

Wakina Petro waliuwawa na WARUMI kwa kusurubishwa msalabani Kichwa chini Miguu juu.

Akina YOHANA waliwekwa Hadi kwenye mapipa ya Mafuta kuchomwa moto.
Wakakimbilia kisiwa Cha Patmo.

Akina Stefano waliuwawa na Dola ya kirumi. Roman empire.

ASOMAYE NA AFAHAMU.
ROMAN SI KANISA LA MUNGU.
 
IMG_7822.jpg


IMG_7823.jpg



Huwa kila baada ya miaka mingi huwa tunafanya mikutano mikubwa na mirefu, mikutano hiyo inaitwa MTAGUSO.
Wakiwa humo, wanazuoni wa kanisa hujadili mambo mengi sana hadi kufikia muafaka.

Kanuni ya imani ni miongoni mwa mazao ya mtaguso wa Nicea.

IMG_7824.jpg


Ni noma.
 
Yani hpa umeongelea nchi tu tena baadhi ya mikoa

Ila sisi waislamu ibada zetu ni dunia nzima kila sehemu utakayoenda dunia hii ukakuta msikiti basi wanaswali kma ulipotoka
Ni mfumo wa Dunia nzima. Lugha inaweza kutofautiana lakini maandiko yanayosomwa Kwa siku ni yaleyale na mzunguko huo wa miaka ABC unahakikisha Biblia yote inasomwa. Mimi nikiwa Ujerumani nasikia liturjia Ile Ile kama ya mtu aliye Tanzania. Tofauti ni lugha tu
 
JE WAKATOLIKI TUNAABUDU SANAMU?
Kabla sijajibu swali la Msingi naomba nitoe utangulizi kidogo

Kwa hulka yake binadamu ni kiumbe ambaye ana tabia ya ku imagine karibu kila kitu ambacho anakiwaza au kukisikia na huwa anajaribu kutengeneza picha Fulani ya kitu hicho, kwa mfano mtu anaposikia jina la mtu Fulani ambaye hajawahi kumuona…… kwanza kabisa atatengeneza picha Fulani labda huyo jamaa ni mrefu, Mnene na kadhalika, na siku akimuona utamsikia akisema ‘aaaaa kumbe yupo hivi mimi nilifikiri yupo vile’

Hii ni hulka ya binadamu yeyote yule na hata kuhusu Mungu tunayehubiriwa na kwa kuwa hatujawahi kumona , nina hakika kila mmoja wetu anayeamini kwamba Mungu yupo anapata picha Fulani ya Jinsi Mungu alivyo, na hiyo picha ni Tofauti kwa kila binadamu, picha hapa simaanishi uwezo wa Mungu kwa kuwa uwezo wa Mungu tunaweeza kuu feel ( hisi)kutokana na mambo ambayo anayatenda kwenye Maisha yetu ya kila siku.

Au pia mtu akisikia jina au habari za mji fulani kwa mfano SONGEA, kwa yule ambaye hajawahi kufika songea ni lazima atapata picha Fulani kichwani mwake, Kwmba ni Lazima kutakuwa na barabara za Vumbi kila sehemu, kuna wanaume weupe tu kama Mapunda N.K sasa siku akifika songea na kukuta kuna Rami barabara na mitaa yote ‘’ aaaaa Kumbe ndiyo kulivyo’Mimi nilifikiri papo vile.aaa kumbe kuna wanaume Weusi N.K

Sasa hizo picha zote kwa namna yoyote ile hazichukui Nafasi ya hivyo vitu kwa uhalisia wake, Miji, au watu husika, Ingawa zinawakilisha vitu hivyo kwa binadamu husika. Na hata picha za mnato kwa mfano hazichukui Nafasi ya mtu husika, kwani mtu husika anabaki kama alivyo na picha yake inabakia kama kiwakilishi tu cha muhusika.

Leo hii hatuwezi kuchukua picha ya mchazeji kama Fiston Mayele na kusema huyu ndiyo Mayele halisi.

SASA NAENDELEA NA SWALI NA MAJIBU YA MSINGI.
Jibu la Msingi ni HAPANA. Nitaeleza ni kwanini nasema wakatoliki hatuabuu sanamu, na labda tujiulize kwanza maswali yafuatayo ;
1.Je Mungu anachukia Kila sanamu ?
Jibu lake ni kwamba HAPANA, Mungu hachukii kila sanamu kwani hata yeye mwenyewe katika nafasi mbalimbali aliwahi kuagiza matumizi ya sanamu, nitakupeni mifano michache katika mingi, Katika agano la Kale tunaona kwamba Mungu alimuagiza Musa akatengeneze sanamu na kuziweka mahali ambapo Mungu atakuwa anazungumza naye na kumpa maagizo mbalimbali, tunasoma hilo katika kitabu cha kutoka 25 :10-22.

Pia kama mnakumbuka wakati wana waisrael walipokuwa Jangwani na baada ya kumnung ‘unikia Mungu,naye aliwaadhibu kwa kuwaletea nyoka wenye sumu waliwauma na watu wengi walikufa. Lakini baada ya Musa kuwaombea mshamaha kwa Mungu Naye Mungu alimuagiza atengeneze Nyoka wa shaba na kumtundika juu ya mti, na kila aliyeng’atwa na wale nyoka wenye sumu alipokwenda kumtazama yule nyoka wa shaba alipona baada ya kufanya hivyo( Hesabu 21 :4-9) sasa hapo tunaweza kujifunza kwamba aliyekuwa anaponya watu siyo ile Sanamu ya nyoka badala yake ni Mungu mwenyewe alikuwa anawaponya.

2.Je ni sanamu gani /zipi zinamchukiza Mungu
Mungu anachukia kila aina ya Sanamu ambayo inachukua nafasi yake, hapo namaanisha kila aina ya sanamu inayoabudiwa kama ndiyo Mungu mwenyewe , hiyo inamchukiza Mungu, Kwani Mungu yupo peke yake na kila kitu kinachochukua nafasi yake kuwa ndio Mungu anakichukia,kama mnakumbuka katika kitabu cha kutoka tunasoma kwamba wakati Musa alipokuwa mlimani sinai kupokea Amri za Mungu, alikaa huko kwa muda mrefu sana na waisrael imani ikawatoka, kiasi kwamba wakaamua kujitengenezea sanamu na kusema kwamba hiyo sanamu ya Ngo’mbe ndiyo Mungu wao aliyewatoa Misri na ndiye atakayewaongoza huko waendako.

Hivyo hii sanamu ni Lazima imchukize Mungu kwa kuwa inachukua nafasi ya Mungu, na siyo kwamba anawakilisha uwepo wa Mungu wa Kweli.Nenda kasome kitabu cha kutoka sur aya 32, isome yote.

3.Pia Mungu anakataza sanamu na kuziabudu na kuzitumikia, hapo ni sawa na kusema sanamu zimechukua nafasi ya Mungu. Hivyo sanamu zinakatazwa kama zinaabudiwa na kutukuzwa na kutumikiwa kama walivyofanya waisrael kama yule ndama, walimfanya kuwa ndiyo Mungu wao na walikuwa tayari kumuabudu na kumtumikia. Kwa kushindilia hoja hii soma kitabu cha kumbukumbu la Torati 4 :15 – 20)

4.Wakatoliki hatifanyi nini ?

Wakatoliki hatuabudu sanamu na kwa kuwa hakuna siku wala mahala ambapo tumewahi kufanya wala kusema hizi sanamu ndiyo Mungu wetu na kwamba tunaziabudu au tutaziabudu na kuzitii na kuzitumikia, hatujawahi kufanya hivyo na sidhani kama itatokea.

Tunaamini kwa Mungu Mmoja kama tunavyosali katika kanuni ya Imani yetu, na hakuna sanamu hata moja iliyowahi kupewa heshima kama hiyo.
NARUDIA TENA KWAMBA HATUFANYI KAMA WALIVYOFANYA WAISRAEL KULE JANGWANI KWA ILE SANAMU YA NDAMA.NDIYO KUSEMA HATUABUDU SANAMU.

5.Ijumaa kuu wakatoliki tunafanya nini ?
Katika Ibada ya ijumaa kuu kuna kipengele kinaitwa cha kuheshimu Msalaba.Mara nyingi huwa unatumika msamiati kuabudu msalaba.Lakini je kinachofanyika pale ni kitu gani hasa ? kwa mtu anayefuatilia vyema ibada hiyo atakumbuka kwamba kabla ya zoezi la kubusu msalaba halijaanza kiongozi wa ibada husema mara tatu maneno yafuatayo ‘’ HUU NI MTI WA MSALABA, AMBAO WOKOVU WA ULIMWENGU UMETUNDIKWA JUU YAKE’ na watu wote tunaitikia/ tunajibu ‘’ NJOONI, NJOONI, NJOOONI TUUABUDU’.
Sasa hapo kama kweli umeelewa tunachoabudu ninini ? mti wa msalaba au uokovu uliotundikwa juu yake ? Sasa wataalamu wa theologia wanatueleza kuwa tunaabudu wokovu juu ya msalaba, kwani kwa kufanya hivyo siyo kwa sababu ya ule msalaba, kwani kama kufa msalabani hata wakosaji wote katika jamii ya kiyahudi waliuawa kwa kutundikwa msalabani.

Hivyo basi tuna alikwa kuabudu wokovu uliotundikwa juu ya msalaba, na huo wokovu ninini basi ? Jibu ni YESU KRISTU na huyu Yesu Kristu ni nani ? katika katekisimu katoliki tunaambiwa kwamba Yesu Kristu ni Nafsi ya pili ya Mungu na ni Mungu sawa na Baba, hivyo kusema Yesu ni Mungu, na wokovu wetu ni Mungu ndiyo kusema TUNAMUABUDU MUNGU.

Na kwa wale ambao hawajawahi kuwa makini sehemu hii ya ibada ya ijumaa kuu nawaalika kuwa makini katika ibada ya mwaka huu na wale ambao wanasema kwamba ijumaa tunaabudu sanamu nao nawaalika wakafuatilie kipengele hiki vizuri. Ni hapo tu watapata majibu ya maswali yao na mashaka yao yatakwisha.

Na kuna wakati watani zetu huwa wanasema kwanini sisi wakatoliki tunaweka picha ya mtu katika misalaba yetu. Sisi huwa tunaweka picha ya Yesu katika misalaba yetu. Hao wanaouliza hivyo nao pia wanatumia misalaba lakini haina hiyo picha kwakuwa wanasema kwa kufanya hivyo watakuwa wanaabudu sanamu, lakini picha ya msalaba kwao siyo tatizo.

Hapo napenda kuwaeleza kwamba kuwa sisi wakatoliki tumeona kuwa na picha ya msalaba haitoshi kwani kitu muhimu ni kupata picha halisi ya Jinsi Yesu alivyokufa Msalabani, ndiyo maana tunaongeza na mtu pale msalabani.Kitu cha muhimu hapo ni msalaba wa Yesu na siyo tu msalaba PEKE YAKE .

Kwani msalaba ulioleta wokovu ni msalaba wa Yesu tu,kama suala lingekuwa ni msalaba tu kwani hata wale wanyanganyi waliuawa msalabani, na misalaba yao haikuleta wokovu kwa dunia.Ndiyo maana tunajazia na hiyo kitu ili kutoa picha halisi ya Yesu msalabani kusudi tunapoutazama msalaba wa Yesu tupate picha halisi ya kifo chake msalabani.

Bada ya kusema hayo basi naamini utakuwa ume imarika kiimani na hakuna mtu atakubabaisha juu ya hili suala la msalaba na masakramenti yote na tuwaeleweshe wale ambao hawaelewi kwa upendo na utulivu mantiki na liturujia nzima ya uwapo wa sanamu kwa wakatoliki
HIMARS soma hiyo makala juu ya kuabudu sanamu
 
JE WAKATOLIKI TUNAABUDU SANAMU?
Kabla sijajibu swali la Msingi naomba nitoe utangulizi kidogo

Kwa hulka yake binadamu ni kiumbe ambaye ana tabia ya ku imagine karibu kila kitu ambacho anakiwaza au kukisikia na huwa anajaribu kutengeneza picha Fulani ya kitu hicho, kwa mfano mtu anaposikia jina la mtu Fulani ambaye hajawahi kumuona…… kwanza kabisa atatengeneza picha Fulani labda huyo jamaa ni mrefu, Mnene na kadhalika, na siku akimuona utamsikia akisema ‘aaaaa kumbe yupo hivi mimi nilifikiri yupo vile’

Hii ni hulka ya binadamu yeyote yule na hata kuhusu Mungu tunayehubiriwa na kwa kuwa hatujawahi kumona , nina hakika kila mmoja wetu anayeamini kwamba Mungu yupo anapata picha Fulani ya Jinsi Mungu alivyo, na hiyo picha ni Tofauti kwa kila binadamu, picha hapa simaanishi uwezo wa Mungu kwa kuwa uwezo wa Mungu tunaweeza kuu feel ( hisi)kutokana na mambo ambayo anayatenda kwenye Maisha yetu ya kila siku.

Au pia mtu akisikia jina au habari za mji fulani kwa mfano SONGEA, kwa yule ambaye hajawahi kufika songea ni lazima atapata picha Fulani kichwani mwake, Kwmba ni Lazima kutakuwa na barabara za Vumbi kila sehemu, kuna wanaume weupe tu kama Mapunda N.K sasa siku akifika songea na kukuta kuna Rami barabara na mitaa yote ‘’ aaaaa Kumbe ndiyo kulivyo’Mimi nilifikiri papo vile.aaa kumbe kuna wanaume Weusi N.K

Sasa hizo picha zote kwa namna yoyote ile hazichukui Nafasi ya hivyo vitu kwa uhalisia wake, Miji, au watu husika, Ingawa zinawakilisha vitu hivyo kwa binadamu husika. Na hata picha za mnato kwa mfano hazichukui Nafasi ya mtu husika, kwani mtu husika anabaki kama alivyo na picha yake inabakia kama kiwakilishi tu cha muhusika.

Leo hii hatuwezi kuchukua picha ya mchazeji kama Fiston Mayele na kusema huyu ndiyo Mayele halisi.

SASA NAENDELEA NA SWALI NA MAJIBU YA MSINGI.
Jibu la Msingi ni HAPANA. Nitaeleza ni kwanini nasema wakatoliki hatuabuu sanamu, na labda tujiulize kwanza maswali yafuatayo ;
1.Je Mungu anachukia Kila sanamu ?
Jibu lake ni kwamba HAPANA, Mungu hachukii kila sanamu kwani hata yeye mwenyewe katika nafasi mbalimbali aliwahi kuagiza matumizi ya sanamu, nitakupeni mifano michache katika mingi, Katika agano la Kale tunaona kwamba Mungu alimuagiza Musa akatengeneze sanamu na kuziweka mahali ambapo Mungu atakuwa anazungumza naye na kumpa maagizo mbalimbali, tunasoma hilo katika kitabu cha kutoka 25 :10-22.

Pia kama mnakumbuka wakati wana waisrael walipokuwa Jangwani na baada ya kumnung ‘unikia Mungu,naye aliwaadhibu kwa kuwaletea nyoka wenye sumu waliwauma na watu wengi walikufa. Lakini baada ya Musa kuwaombea mshamaha kwa Mungu Naye Mungu alimuagiza atengeneze Nyoka wa shaba na kumtundika juu ya mti, na kila aliyeng’atwa na wale nyoka wenye sumu alipokwenda kumtazama yule nyoka wa shaba alipona baada ya kufanya hivyo( Hesabu 21 :4-9) sasa hapo tunaweza kujifunza kwamba aliyekuwa anaponya watu siyo ile Sanamu ya nyoka badala yake ni Mungu mwenyewe alikuwa anawaponya.

2.Je ni sanamu gani /zipi zinamchukiza Mungu
Mungu anachukia kila aina ya Sanamu ambayo inachukua nafasi yake, hapo namaanisha kila aina ya sanamu inayoabudiwa kama ndiyo Mungu mwenyewe , hiyo inamchukiza Mungu, Kwani Mungu yupo peke yake na kila kitu kinachochukua nafasi yake kuwa ndio Mungu anakichukia,kama mnakumbuka katika kitabu cha kutoka tunasoma kwamba wakati Musa alipokuwa mlimani sinai kupokea Amri za Mungu, alikaa huko kwa muda mrefu sana na waisrael imani ikawatoka, kiasi kwamba wakaamua kujitengenezea sanamu na kusema kwamba hiyo sanamu ya Ngo’mbe ndiyo Mungu wao aliyewatoa Misri na ndiye atakayewaongoza huko waendako.

Hivyo hii sanamu ni Lazima imchukize Mungu kwa kuwa inachukua nafasi ya Mungu, na siyo kwamba anawakilisha uwepo wa Mungu wa Kweli.Nenda kasome kitabu cha kutoka sur aya 32, isome yote.

3.Pia Mungu anakataza sanamu na kuziabudu na kuzitumikia, hapo ni sawa na kusema sanamu zimechukua nafasi ya Mungu. Hivyo sanamu zinakatazwa kama zinaabudiwa na kutukuzwa na kutumikiwa kama walivyofanya waisrael kama yule ndama, walimfanya kuwa ndiyo Mungu wao na walikuwa tayari kumuabudu na kumtumikia. Kwa kushindilia hoja hii soma kitabu cha kumbukumbu la Torati 4 :15 – 20)

4.Wakatoliki hatifanyi nini ?

Wakatoliki hatuabudu sanamu na kwa kuwa hakuna siku wala mahala ambapo tumewahi kufanya wala kusema hizi sanamu ndiyo Mungu wetu na kwamba tunaziabudu au tutaziabudu na kuzitii na kuzitumikia, hatujawahi kufanya hivyo na sidhani kama itatokea.

Tunaamini kwa Mungu Mmoja kama tunavyosali katika kanuni ya Imani yetu, na hakuna sanamu hata moja iliyowahi kupewa heshima kama hiyo.
NARUDIA TENA KWAMBA HATUFANYI KAMA WALIVYOFANYA WAISRAEL KULE JANGWANI KWA ILE SANAMU YA NDAMA.NDIYO KUSEMA HATUABUDU SANAMU.

5.Ijumaa kuu wakatoliki tunafanya nini ?
Katika Ibada ya ijumaa kuu kuna kipengele kinaitwa cha kuheshimu Msalaba.Mara nyingi huwa unatumika msamiati kuabudu msalaba.Lakini je kinachofanyika pale ni kitu gani hasa ? kwa mtu anayefuatilia vyema ibada hiyo atakumbuka kwamba kabla ya zoezi la kubusu msalaba halijaanza kiongozi wa ibada husema mara tatu maneno yafuatayo ‘’ HUU NI MTI WA MSALABA, AMBAO WOKOVU WA ULIMWENGU UMETUNDIKWA JUU YAKE’ na watu wote tunaitikia/ tunajibu ‘’ NJOONI, NJOONI, NJOOONI TUUABUDU’.
Sasa hapo kama kweli umeelewa tunachoabudu ninini ? mti wa msalaba au uokovu uliotundikwa juu yake ? Sasa wataalamu wa theologia wanatueleza kuwa tunaabudu wokovu juu ya msalaba, kwani kwa kufanya hivyo siyo kwa sababu ya ule msalaba, kwani kama kufa msalabani hata wakosaji wote katika jamii ya kiyahudi waliuawa kwa kutundikwa msalabani.

Hivyo basi tuna alikwa kuabudu wokovu uliotundikwa juu ya msalaba, na huo wokovu ninini basi ? Jibu ni YESU KRISTU na huyu Yesu Kristu ni nani ? katika katekisimu katoliki tunaambiwa kwamba Yesu Kristu ni Nafsi ya pili ya Mungu na ni Mungu sawa na Baba, hivyo kusema Yesu ni Mungu, na wokovu wetu ni Mungu ndiyo kusema TUNAMUABUDU MUNGU.

Na kwa wale ambao hawajawahi kuwa makini sehemu hii ya ibada ya ijumaa kuu nawaalika kuwa makini katika ibada ya mwaka huu na wale ambao wanasema kwamba ijumaa tunaabudu sanamu nao nawaalika wakafuatilie kipengele hiki vizuri. Ni hapo tu watapata majibu ya maswali yao na mashaka yao yatakwisha.

Na kuna wakati watani zetu huwa wanasema kwanini sisi wakatoliki tunaweka picha ya mtu katika misalaba yetu. Sisi huwa tunaweka picha ya Yesu katika misalaba yetu. Hao wanaouliza hivyo nao pia wanatumia misalaba lakini haina hiyo picha kwakuwa wanasema kwa kufanya hivyo watakuwa wanaabudu sanamu, lakini picha ya msalaba kwao siyo tatizo.

Hapo napenda kuwaeleza kwamba kuwa sisi wakatoliki tumeona kuwa na picha ya msalaba haitoshi kwani kitu muhimu ni kupata picha halisi ya Jinsi Yesu alivyokufa Msalabani, ndiyo maana tunaongeza na mtu pale msalabani.Kitu cha muhimu hapo ni msalaba wa Yesu na siyo tu msalaba PEKE YAKE .

Kwani msalaba ulioleta wokovu ni msalaba wa Yesu tu,kama suala lingekuwa ni msalaba tu kwani hata wale wanyanganyi waliuawa msalabani, na misalaba yao haikuleta wokovu kwa dunia.Ndiyo maana tunajazia na hiyo kitu ili kutoa picha halisi ya Yesu msalabani kusudi tunapoutazama msalaba wa Yesu tupate picha halisi ya kifo chake msalabani.

Bada ya kusema hayo basi naamini utakuwa ume imarika kiimani na hakuna mtu atakubabaisha juu ya hili suala la msalaba na masakramenti yote na tuwaeleweshe wale ambao hawaelewi kwa upendo na utulivu mantiki na liturujia nzima ya uwapo wa sanamu kwa wakatoliki
Kristu...
 
Kwa kuwa ni kanisa Yesu alilomwaxhia Petro, na ushahidi upo wazi. Anayebisha na abishe.
Hayo mengine yalianzishwa baada ya kushindwa Kwa kutaka maslahi binafsi. Ndio maana mpaka kesho yanazidi kugawanyika haya kuwa na matapeli kama waliojazana mijini
 
Utashangaa ukihudhuria ibada ya kikatoliki labda mwanza masomo yatakayosomwa hapo Mwanza ni sawa na somo litakalosomwa Bukoba, Mbeya, Shinyanga, Lindi, Mtwara, Tanga nk yaani nchi nzima ujumbe utakaotolewa ni uleule bila kupungua au kuongezeka.

Hiki kitu sijakishuhudia katika makanisa mengine. Inakuwaje wakatoliki wakafanikiwa katika hili na hakuna ubishani!?

Karibu wajuvi.
Sio kweli ss kagera ibada inaendeshwa kwa lugha ya kihaya
 
Utashangaa ukihudhuria ibada ya kikatoliki labda mwanza masomo yatakayosomwa hapo Mwanza ni sawa na somo litakalosomwa Bukoba, Mbeya, Shinyanga, Lindi, Mtwara, Tanga nk yaani nchi nzima ujumbe utakaotolewa ni uleule bila kupungua au kuongezeka.

Hiki kitu sijakishuhudia katika makanisa mengine. Inakuwaje wakatoliki wakafanikiwa katika hili na hakuna ubishani!?

Karibu wajuvi.
Nenda shule kaongeze Elimu
Kuna mwanafalsafa kutoka ujerumani Immanuel Kant, amezungumza kuhusu deontology theory pia msome Jeremy Bertham ameandika kuhusu utilitarianism theory.
Achana na metaphysics dini na mapokeo sijui matoleo yameandikwa na binadamu.
Niko pale nimekaa nakunywa grants.
Mbinguni na peponi ni misemo tu itapita
 
Mkuu tunashukuru kwa kutushirikisha hii thesis ya yule nabii mke.
JE MNYAMA WA NNE ANAETAJWA KWENYE UFUNUO NA DANIEL NI ROMAN CATHOLIC??????

Watu wengi hawafahamu kuwa mnyama ni nani, na wengi wamejihusisha naye bila wao wenyewe kujua kama wanashiriki na mnyama. Lakini Mungu hajatuacha gizani, hivyo, kwa kupitia neno lake (Maadiko Matakatifu) tunaweza kumfahamu mnyama huyu aliyelezwa katika kitabu cha Danieli na Ufunuo. Tunapaswa kuyaacha maandiko yajitafisiri yenyewe; kwa maana “hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu. Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.” 2Petro 1:20-21. Hatupaswi kumuacha mtu flani atafsri unabii kwa jinsi yake mwenyewe, badala yake tunapaswa kuiacha Biblia ijitafsiri yenyewe.

Katika Danieli 7 wametajwa “wanyama wanne” ambao wanawakilisha falme nne. Kumbuka mmyama wa 4 aliyetajwa katika Danieli 7 ndiye mnyama aliyetajwa katika kitabu chote cha Ufunuo. Hivyo hapa tutaangalia sifa za mnyama wa nne wa kitabu cha Danieli, na mnyama wa kitabu cha Ufunuo, kisha tutaangalia ni wapi hapa duniani ambapo sifa za mnyama zinatimizwa kikamilifu.

1. Mnyama atakuwa na uwezo wa kisiasa na kidini (kanisa na serikali).

Ufunuo 17:3 “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona MWANAMKE, AMEKETI JUU YA MNYAMA mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi.”

Mwanamke au bibi-arusi katika unabii huwakilisha kanisa.

Ufunuo 21:2 “…Yerusalemu mpya…umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.”

Ufunuo 21:9 “…Njoo huku, nami nitakuonyesha yule Bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”

Mnyama huwakilisha taifa au ufalme

Danieli 7:17 “Wanyama hao…wanne ni wafalme wanne watakaotokea duniani”

Danieli 7:23 “…Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia…”

Kutokana na Ufunuo 17:3, mnyama huyu ana mwanamke aliyeketi juu yake, na kwa sababu unabii unatafisiri mwanamke kama kanisa, na mnyama kama taifa. Je kuna taifa au serikali ambayo imechanganywa pamoja na kanisa kama kitu kimoja? Ndiyo! Vatican, ni serikali au taifa ambalo limechanganywa pamoja na kanisa la Romani Katoliki kama kitu kimoja, na kuongozwa na mtu mmoja ambaye ni Papa.

2. Mnyama atakuwa na kanisa & serikali vimekaa juu ya milima 7.

Ufunuo 17:3 “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana…mwenye VICHWA SABA na pembe kumi.”

Vichwa saba katika unabii vinawakilisha milima saba.

Ufunuo 17:9 “Hapo ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo.”

Je hapa duniani kuna kanisa na serikali vimekaa juu ya milima saba?

“Ni ndani ya mji wa Roma, uitwao Mji wa vilima saba, hivyo eneo lote la Serikali ya Vatican limewekewa mpaka kikamilifu.” –The Catholic Encyclopedia, p 529.

“Je vilima saba vya Roma ni nini?

Roma inajulikana kuwa imejengwa juu ya vilima saba. Roma ilisemwa imepatikana wakati Romulus na Remus, wana mapacha wa Mars, walifika katika futi ya kilima Palatine na wakauanzisha mji, Vilima sita vingine ni Capitoline (kiti cha serikali), Quirinal, Viminal, Esquiline, Caelian, na Aventine.” –Geography.about.com

ENCYCLOPÆDIA BRITANNICA
Vilima saba vya Roma

“…kundi la vilima juu au kuhusu ambapo mji wa Roma wa zamani ulijengwa. Mji wa awali wa Romulus ulijegwa juu ya kilima Palatine (#1) (Kilatini: Mons Palatinus). Vilima vingine ni Capitoline, (#2) Quirinal, (#3) Viminal, (#4) Esquiline, (#5) Caelian, (#6) na Aventine (#7) (Vinavyojulikana kimoja kimoja kwa kilatini kama Mons Capitolinus, Mons Quirinalis, Mons Viminalis, Mons Esquilinus, Mons Caelius, na Mons Aventinus).” –http://www.britannica.com/seo/s /seven-hills-of-rome/

Kwa hiyo unabii huu wa Ufunuo 17:3, unaonyesha wazi kuwa mwanamke aliyeketi juu ya mnyama, amekaa juu ya vilima saba vya mji wa Roma. Kwa vyovyote, ni Vaticani na kanisa la Romani Katoliki ambavyo vimekaa juu ya milima saba, na kutimiza unabii huu. Danieli 7:23 inasema mnyama wa mwisho (Roma) anatofautiana na wanyama wengine watatu waliopita. Kwa hakika hakuna taifa wala ufalme mwingine ambao una kanisa na serikali, harafu kwa wakati huo huo umekaa juu ya milima saba. Ila ni kanisa la Romani Katoliki pekee.

3. Mnyama atatoka baharini

Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”

Bahari katika unabii huwakilisha watu/jamaa, mataifa, lugha.

Ufunuo 17:15 “Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha.”

Ukatoliki wa Romani ulitokea ulaya ya magharibi pamoja na makutano ya “watu/jamaa, mataifa, na lugha.” Na kwa wakati huu kanisa la Romani Katoliki lina idadi kubwa ya “watu, mataifa, na lugha,” kuliko kanisa jingine lolote duniani mwote. Na sasa, baada ya kuanzishwa kanisa moja duniani, Juni 26, 2000, Papa alichaguliwa kama kiongozi wa makanisa yote ambayo yameungana na lake. Hii ilifanya kanisa liongezeke mara mbili. Na hivi karibuni, makanisa yote pamoja na yasiyo ya Kikristo yatatangaza kwamba Papa ni kiongozi wao mwema.

Na Juni, 2008 mataifa 174 katika mataifa 192 duniani, yana serikali zao zikiwakilisha Vatican. Hivyo, kanisa la Romani Katoliki linatimiza unabii huu kwa ukamilifu.

4. Mnyama atatawala miaka 1260. (kabla hajapata jeraha la mauti).

Danieli 7:25 “Naye atanena maneno kinyume chake aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataadhimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake KWA WAKATI, NA NYAKATI MBILI, NA NUSU WAKATI.”

Ufunuo 12:6 “Yule mwanamke akakimbilia nyikani, ambapo ana mahali palipotengenezwa na Mungu, ili wamlishe huko mda wa SIKU ELFU NA MIA MBILI NA SITINI.”

Ufunuo 13:5 “Naye akapewa kinywa cha kunena maneno makuu, ya makufuru. Akapewa uwezo wa kufanya kazi yake MIEZI AROBAINI NA MBILI.”

Danieli 7:25 inaonyesha muda ambao angetawala mnyama, kama wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati. Ufunuo 13:5 inauonyesha mda huu wa utawala wa mnyama, kama miezi 42, miezi 42 = miaka 3 na 1/2. Hivyo, ukiangalia kwa makini hapa utaona kuwa, wakati = mwaka 1, na nyakati mbili = miaka 2, na nusu wakati = nusu mwaka.

Kwa hiyo, wakati nyakati mbili nusu wakati = miaka 3 na nusu ya Danieli 7:25, au miezi 42 ya Ufunuo 13:5, au siku 1260. Mahesabu haya yanathibitishwa katika Ufunuo 12:6 ambapo inasema, “Yule mwanamke (kanisa) akakimbilia nyikani…wamlishe huko mda wa siku 1260.” Kwa hiyo miaka 3 na 1/2 = miezi 42 au siku 1260 ambazo mnyama angetawala kabla hajapata jeraha la mauti.

Bado, wengine watakataa na kusema, hapana, miezi 42 haiwezi kuwa sawa na siku 1260, kwa sababu miezi mingine haina siku 30. Lakini katika unabii mwezi 1 = siku 30. Mwanzo 7:11 inasema, mvua za garika zilianza siku ya 17 ya mwezi wa pili, na Mwanzo 8:3, 4. inasema kuwa maji yakapunguka mwishoni mwa siku 150, harafu safina ikatua siku ya 17 ya mwezi wa saba. Hizo ni miezi 5 tangu mvua zilipoanza. Kama ukigawanya siku 150, kwa miezi 5, utapata siku 30 kwa kila mwezi. Hivyo, miezi 42 ikizidishwa kwa 30 jibu litakuwa 1260. Kwa hiyo wakati, nyakati mbili, na nusu wakati, ni sawa na miaka 3 na nusu, au miezi 42, au siku 1260. Kwa hakika, Ufunuo 12:6 inathibitisha mahesabu haya inaposema kuwa watoto wa Mungu watakimbilia nyikani kwa muda wa siku 1260 wakati wa utawala wa mnyama (upapa).

Katika unabii siku 1 ni sawa na mwaka 1,

Ezekieli 4:6 “…siku arobaini, siku moja kwa mwaka mmoja, nimekuagiza.”

Hesabu 14:34 “…siku arobaini kila siku kuhesabiwa mwaka…”

Kutokana na Ezekieli 4:6 na Hesabu 14:34, ni hakika kwamba siku 1260 ni sawa na miaka 1260 ambayo Upapa ungetawala na kuwadhofisha watakatifu. Je hii ilitokea? Je unabii huu ulitimia? Au Je kuna ushahidi wowote unaothibitisha kuwa unabii huu ulitimia?

Kwanza kabisa tunatakiwa kujua ni lini kanisa la Romani Katoliki lilipata nguvu zote za kutawala kama “mwanamke juu ya mnyama” (kanisa na serikali), na kutawala kisiasa na kidini kwa wakati mmoja kama Ufunuo 17:3 inavyosema.

“Vigillius…alikalia kiti cha upapa (538 B.K.) chini ya ulinzi wa jeshi la Belisarius.” –History of the Christian Church, Vol. 3, p. 327

Hiistoria inathibitisha kuwa upapa umeanza utawala wake kama “kanisa na serikali” mwaka 538 B.K. juu ya amri ya mfalme Jastinian, na chini ya ulinzi wa jeshi la Belisarius. Na unabii unasema mnyama (upapa) atatawala miaka 1260 kabla haujapata jeraha la mauti.

Ukiongeza miaka 1260 katika mwaka ambao kanisa la Romani Katoliki lilianza kutawala kisiasa na kidini, mwaka 538 B.K., utapata 1798 B.K. Hivyo, unabii unasema utawala wa kwanza wa mnyama ungeisha 1798 B.K. Je utawala wa mnyama uliisha mwaka huo 1798 B.K?

“Katika mwaka 1798 Generali Berthier aliingia Roma, akauondoa kabisa utawala wa upapa, na kuanzisha mwingine.” –Encyclopedia Britannica 1941 edition

Kwa hakika, hizo ni miaka 3 na 1/2 au wakati, nyakati mbili, na nusu wakati, ambazo ni miezi 42 au siku 1260 za unabii ambazo mnyama angetawala kisha angepata pigo la mauti au kuchukuliwa mateka. Je mnyama alipata pigo la mauti mwaka huo 1798 B.K?

5. Mnyama atapokea jeraha la mauti.

Ufunuo 13:3 “Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake lake la mauti likapona…”

Ufunuo 13:10 “Mtu akichukua mateka, atachukuliwa mateka. Mtu akiua kwa upanga, atauawa kwa upanga…”

Kama tulivyoona huko nyuma baada ya mnyama kutawala miaka 1260 angepata jeraha la mauti na kuuawa kwa upanga (upanga = vita). Baada ya mnyama kumaliza utawala wake wa miaka 1260, ambao ulianza 538 B.K. hadi 1798 B.K., Napoleon alimtuma Generali/Jemedari wake Berthier pamoja na jeshi lake, kwenda Roma kuuondoa utawala wa upapa.

“Katika mwaka 1798 Generali Berthier aliingia Roma, akauondoa kabisa utawala wa upapa, na kuanzisha mwingine.” –Encyclopedia Britannica 1941 edition

Napoleon alipomtuma Generali wake Berthier kwenda kumuondoa Papa madarakani, hapo ndipo jeraha la mauti lilipompata mnyama, na mwaka uliofuata 1799 B.K. Papa alikufa. Hii ndiyo sababu watoto wa kikatoliki katika parokia hufundishwa kuwa Napoleoni alikuwa mpinga Kristo.

“Nusu ya Ulaya walidhani…kwamba pamoja na papa upapa ulikuwa umekufa.” –Joseph Rickaby “The Modern Papacy” Lectures on the History of Religion, Lecture 24, (London Catholic Truth Society, 1910), p. 1

Lakini unabii ulisema kuwa jeraha hili lililompata mnyama lingepona. Je jeraha hili lilipona? Je utawala wa upapa ulipoondolewa madarakani na Generali Berthier ulipata nguvu zake tena?

6. Mnyama atapona jeraha lake la mauti.

Ufunuo 13:3 “Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, NA PIGO LAKE LA MAUTI LIKAPONA. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule.”

Kama tulivyoona, upapa ulipata jeraha la mauti mwaka 1798 B.K. Vaticani ilibaki kama kanisa tu bila nguvu za kisiasa, na unabii ulisema jeraha hili lingepona. Je jeraha la mauti lilipona? Baada ya jeraha la mauti kutokea miaka kadhaa badaye katika mwaka 1929 B.K. Italia ikautambua mji wa Vaticani kama serikali ya kujitegemea, hii ilimfanya papa kuwa na nguvu tena kama mtawala wa kisiasa na kidini. kama unabii ulivyosema kwamba jeraha la mauti lingepona, na upapa ungerudishiwa tena uwezo wake wa kanisa na serikali kwa pamoja. Hebu angalia magaziti yaliyotoa taarifa hiyo jinsi waandishi wake walivyotumia lugha ya unabii bila ya wao wenyewe kujua.


Kusaini kwa Mussolini na (Kadinali) Gasspari mkataba wa kihistoria wa Romani

“Suala la Romani usiku huu lilikuwa ni jambo lililopita, na Vaticani ilikuwa katika amani na Italia…katika kuweka sahihi kwenye mkataba wa kukumbukwa kuponya jeraha la miaka mingi, uchangamfu wa kupindukia ulionyeshwa na pande zote.” –The San Francisco Chronicle. Feb. 11, 1929

Papa Amekuwa Kiongozi Wa Serikali Tena

“Roma, Juni 7.–Kutoka saa 5 kamili asubuhi hii kulikuwa na mtawala mwingine wa serikali ya kujitegemea duniani. Katika mda huo waziri mkuu Mussolini, kama waziri wa mambo ya nje Italia akimuwakilisha mfalme Victor Emmanuel–waziri mkuu wa kwanza Italia kuvuka kizingiti cha chini cha mlango wa Vaticani–akibadilishana na kadinali Gasspari, wakala wa serikali ya upapa, akimuwakilisha papa Pius XI, makubaliano ya mikataba yalisainiwa katika ikulu ya Lateran Feb. 11. Kwa kitendo hicho rahisi mtawala wa serikali ya kujitegemea ya mji wa Vaticani amekuwepo.” — New York Times July 7, 1929

Hivyo, unabii huu ulitimia kikamilifu na jeraha la mauti lililoupata upapa 1798 B.K. lilipona kabisa tangu 1929 B.K. mpaka leo kanisa la Romani Katoliki lina nguvu za “kisiasa na kidini” au “mwanamke juu ya mnyama.” Kwa kumaliza sehemu hii tunagundua kwamba mnyama huyu ndiye aliyekuwako, naye hayuko, na sasa yupo.


7. Mnyama aliyekuwako, naye hayuko, naye yuko.

Ufunuo 17:8 “Yule mnyama…alikuwako, naye hayuko, naye yu tayari…”

Mnyama aliyekuwako: ni kanisa la Romani Katoliki tangu lilipoanza kutawala kama “kanisa & serikali” 538 B.K. na likaendelea mpaka. Napoleon alipomtuma Berthier kwenda kuuondoa utawala wa upapa. 1798 B.K.

…naye hayuko tokea 1798 B.K. mpaka kusaini kwa mkataba uliofanyika katika ikulu ya Lateran katika mwaka 1929 B.K. Vaticani ilikuwa kanisa tu bila uwezo wa kiserikali.

…naye yu tayari kutoka 1929 B.K. mpaka leo kanisa la Romani Katoliki lina nguvu za kisiasa na kidini, “kanisa & sesikali” au mwanamke juu ya mnyama.

8. Mnyama atabadili majira na sheria za Mungu.

Danieli 7:25 “…naye ataadhimu kubadili majira na sheria…”

Unabii huu ni ushahidi ulio wazi sana ambao karibu kila mtu hawezi kusumbuka kuelewa kwamba ni kanisa gani hapa duniani lililobadilisha sheria za Mungu. Ni kanisa moja tu la Romani Katoliki ndilo lililobadilisha sheria za Mungu kama Danieli 7:25 inavyodai kuwa. Kanisa la Katoliki limebadilisha sheria ya pili inayozuia kuchonga sanamu ya kitu chochote kile (angalia Kut 20:4). Katika katekism kanisa limeirarua amri ya 2 kisha likaigawa amri ya 10 katika sehemu mbili ili kuonyesha amri 10 zote. Lakini Je ni nani hapa duniani anayedai kuwa anauwezo wa kubadili amri za Mungu?

“Papa anauwezo wa kubadili majira, kubadili sheria, na kuachana na mambo yote, hata maagizo ya Kristo!” “Papa anayo mamlaka na mara nyingi ameyatumia, kuachana na amri ya Kristo.” –Decretal, de Tranlatic Episcop. Cap. (The Pope can modify divine law.) Ferraris’ Ecclesiastical Dictionary.

“Papa ni wa mamlaka kuu na nguvu kiasi kwamba anaweza kurekebisha, kuelezea au kutafsiri hata sheria za Mungu…Papa anaweza kurekebisha sheria ya Mungu, kwa sababu nguvu zake si za mwanadamu, bali ni nguvu za Mungu, na hutenda kama mwakilishi wa Mungu juu ya dunia.” –Lucius Ferraris,Prompta Ribliotheca, “Papa,” art. 2, translated.

Tangu kwamba papa ana mamlaka na maranyingi ameyatumia kubadili majira na sheria za Kristo, Je alibadili sheria ya Sabato? Je kanisa katoliki liliibadili Sabato ya siku ya saba ya wiki kwenda siku ya kwanza ya wiki? Kwa hakika kanisa lenye linakubali!

“Bila shaka kanisa la katoliki hudai kuwa badiliko, (la Sabato Jumamosi kwenda Jumapili) ilikuwa ni kitendo chake…na kitendo hicho ni ALAMA ya mamlaka yake katika mambo ya kidini.” –H.F. Thomas, Chancellor of Cardinal Gibbons

“Jumapili ni ALAMA yetu ya mamlaka…kanisa liko juu ya Biblia, na uhamishaji huu wa utunzaji wa Sabato ni ushahidi wa jambo hilo la ukweli.” –Catholic Record of London, Ontario Sept 1, 1923.

“Swali: Siku ipi ni siku ya Sabato?
Jibu: Jumamosi ni siku ya Sabato.
Swali: Kwanini tunatunza Jumapili badala ya Jumamosi?
Jibu: Tunatunza Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu kanisa katoliki, katika balaza la Laodikia (364 BK) liliihamisha kutoka Jumamosi kwenda Jumapili.” –The Convert’s Catechism of Catholic Doctrine,p. 50, 3rd ed.

“Kanisa la Romani (Katoliki) liliigeuza amri ya nne kwa kuiondolea mbali Sabato ya neno la Mungu, na kuanzisha Jumapili kama siku ya mapumziko.” –Nicholas Summerbell, History of the Christian Church, 3rd edition, 1873, p. 415 [Christian Church (Christian Connection)].

“Na ni wapi tumeambiwa katika maandiko kwamba tutunze siku ya kwanza kabisa? Tumeamriwa kutunza siku ya saba; lakini hakuna sehemu yoyote tuliyo amriwa kutunza siku ya kwanza. Sababu ya kutunza siku ya kwanza ya wiki kitakatifu badala ya siku ya saba ni kwa sababu ile ile kwamba tunatunza mambo mengine mengi, siyo kwa sababu ya Biblia, lakini kwa sababu kanisa, limeyaingiza [limeyaamuru].” –Isaac Williams, Plain Sermons on the Catechism, vol 1, pp. 334, 336 [Anglican].

Hivyo, kanisa la Romani Katoliki liliibadili sheria ya Sabato na kuwaamuru watu watunze jumapili badala yake. Na mwaka 1582. Papa Gregory XIII, alianzisha kalenda mpya. Kwa vyovyote, ni Vaticani ndiyo ilitimiza unabii huu kwa ukamilifu kabisa, hakuna jumuiya, wala shirika, wala sehemu yoyote ya kidini au isiyo ya kidini ambayo imetimiza unabii huu, kama ilivyo Vaticani. Ni kanisa la Romani Katoliki pekee ambalo lilibadili sheria, na majira, na kuamuru siku ihesabiwe kuanzia saa sita usiku kinyume na Maandiko yanayothibitisha kuwa siku huanza kuhesabiwa jioni.

Mwanzo 1:5 “Mungu akaiita nuru Mchana, na giza Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.”


9. Mnyama atanena maneno ya makufuru juu ya Mungu.

Danieli 7:25 “Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu…”

Ufunuo 17:3 “…nikaona mwanamke ameti juu ya mnyama…mwenye kujaa majina ya makufuru…”

Ufunuo 13:1 “…nikaona mnyama…mwenye…vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”

Ufunuo 13:5 “Naye akapewa kinywa cha kunena makuu, ya makufuru…”

Kukufuru katika Biblia inaelezewa kama hali ya mtu kujifanya yeye mwenyewe kama Mungu.

Yohana 10:33 “Wayahudi wakamjibu, kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwamadamu wajifanya mwenyewe u Mungu.”

Je nani hujiita na kujifananisha na Mungu hapa duniani?

“Papa siyo mwakilishi tu wa Yesu Kristo, yeye ni Yesu Kristo mwenyewe, amejificha chini ya uficho wa mwili.” –Catholic National July 1895.

“Kwa kuwa wewe u mchungaji, wewe u tabibu, wewe u mwongozaji, wewe u mkulima, hatimaye wewe u Mungu mwingine duniani.” –Labbe and Cossart’s “History of the Councils.” Vol. XIV, col. 109

“Tunapachukulia juu ya dunia hii sehemu ya Mwenyezi Mungu…” –Pope Leo XIII Encyclical Letter of June 20, 1894,

Katika “The Bull Unam Sanctam” iliyotolewa na Papa Boniface VIII inasomeka kama ifuatavyo…
“Papa wa Roma huukumu watu wote, lakini yeye haukumiwi na mtu. Tunatangaza, kutetea, kuelezea, na kutamka; kutawaliwa na Papa wa Roma ni kwa kila kiumbe cha mwanadamu muhimu kwa ajili ya wokovu ambao ulisemwa na Kristo ‘Ameviweka vitu vyote chini ya miguu yake’ inaonekana vizuri imethibitishwa kwangu…Nina mamlaka ya Mfalme wa Wafalme. Mimi ni yote katika yote na juu ya yote, hivyo basi, Mungu Mwenyewe na mimi, kasisi wa Mungu tuna usawa mmoja, na ninaweza kufanya yote ambayo Mungu anaweza kufanya.”

“Mwokozi mwenyewe ni mlango wa zizi la kondoo; ‘Mimi ni mlango wa kondoo’. kwenye zizi hili la Yesu Kristo, hakuna mtu anayeweza kuingia mpaka awe ameingizwa na Papa mtawalawa na ni pale tu kama wameunganika naye ndipo wanadamu wanaweza kuokolewa, kwa sababu Papa wa Roma ni kasisi wa Kristo na ni mwakilishi wake kwa nafisi duniani.” –(Pope John XXIII in his homily to the Bishops and faithful assisting at his coronation on November 4, 1958).

Kudai kuwa Mungu duniani Biblia inathibitisha kuwa ni kukufuru ju ya Mungu aliye hai. Kufuru nyingine ni kudai kuwa na uwezo wa kusamehe dhambi.

Marko 2:7 “Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi ispokuwa mmoja, ndiye Mungu?”

Je makuhani wa kanisa la Romani Katoliki hudai wana uwezo wa kusamehe dhambi?

“Kuhani kiukweli kabisa husamehe dhambi kwa uwezo aliopewa na Kristo.” -Joseph Devarbe’s Catechism, p. 279

“Dhambi zinaweza kusamehewa kupitia sakramenti pekee…wote makuhani na sakramenti ni vifaa ambavyo Kristo anavitumia kukamilisha msamaha ndani yetu na neema ya utakaso.” -Catechism of Trent, p. 115.

“Haya mamlaka ya jaji (Judicial authority) yatajumuisha hata uwezo wa kusamehe dhambi.” –[The Catholic Encyclopaedia Vol 12, -article “Pope” pg 265]

“Na Mungu mwenyewe analazimika kufungwa na hukumu ya kuhani wake na ama kutokuomba msamaha au kuomba msamaha, kutokana na kama wanakataa kutoa ukamilifu, unaotoa toba inayoridhisha.” –Liguori, «Duties and Dignities of the Priest», p.27

10. Mnyama ana jina lenye namba 666.

Ufunuo 13:17 “tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, ispokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.”

Ufunuo 13:18 “Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinaadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.”

Biblia inatuambia kuwa hesabu au namba ya jina la mnyama ni 666

Kanisa la Romani Katoliki hudai kuwa Papa ni kichwa cha kanisa au mwakilishi wa Yesu.

“Maneno yaliyoandikwa katika kofia (miter) ya Papa ni haya, ‘VICURIUS FILII DEI’. ambayo ni ya kilatini kwa ajili ya ‘KASISI WA MWANA WA MUNGU’. Wakatoliki huchukulia kwamba kanisa, ambalo ni jumuiya ya kuonekana, lazima liwe na kichwa cha kuonekana. Kristo, kabla ya kupaa kwake kwenda mbinguni, alimteua M.t. Petro kuwa kama mwakilishi wake…hata hivyo Askofu wa Roma, kama kichwa cha kanisa, alipewa jina ‘KASISI WA YESU.'” –Our Sunday Visitor, (Catholic Weekly) “Bureau of information,” Huntington, Ind., April 18, 1915.

Kwa hiyo “VICARIUS FILII DEI” ndilo jina linalotumiwa na mamlaka ya Upapa na kumthibitisha Papa kama kichwa cha kanisa.

Helufi za kilatini zinaweza kutumika pia kama namba, na siku hizi hujulikana kama “Namba za Kirumi,” na helufi U inaweza pia kutumika kama V.


“VICARIVS FILII DEI”

(Kasisi wa Mwana wa Mungu)

V........5
I........1
C..... 100
A...... 0
R.......0
I........1
V.......5
S.......0
F........0
I.........1
L .......50
I.........1
I.........1
D........500
E.........0
I............1
Jumla= 666

Vicarius inamaanisha, katika nafasi ya
Filii Mwana
Dei Mungu
Hivyo, kanisa la Romani Katoliki linatimiza unabi huu wa hesabu ya mnyama 666 kwa ukamilifu kabisa.

11. Onyo la Mungu kwa wote walio katika kanisa katoliki.

Mungu anaoya vikali sana juu ya wale wote ambao wanashirikiana na mnyama huyu, kama wewe ni mmojawapo unapaswa kuchukua uamuzi sahihi sasa bila kupoteza muda; kwa maana hukumu itakuja juu ya mnyama na yule kahaba (kanisa Katoliki) aliyekaa juu mnyama. Hili ni onyo la mwisho la upendo na la rehema kutoka kwa Mungu.

Ufunuo 14:9-10. “Na mwingine, malaika watatu, akafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake, yeye naye atakunywa katika mvinyo ya gadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.”

Ufunuo 19:20 “Yule mnyama akakamatwa, na yule nabii wa uongo pamoja naye, yeye aliyezifanya hizo ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile chapa ya huyo mnyama, nao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa wangali hai katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti;”

Ufunuo 18:4 “Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake. Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amemkumbuka maovu yake…Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemuhukumu ni mwenye nguvu.
 
Back
Top Bottom