Wakatoliki walifanikiwaje kuweka utaratibu wa kiibada unaofatwa karibu ilimwenguni kote?

Wakatoliki walifanikiwaje kuweka utaratibu wa kiibada unaofatwa karibu ilimwenguni kote?

Ni wataalam na waanzilishi wa propaganda... Walijua ni namna gani crowd inafikiri na kuunda hisia pia ni Namna gani wanaweza ikwapua ridhaa Yao bila wao kujua hasa katika public opinion formulation.

Control mawazo Yao kisha wape Elimu yako.
Neno "propaganda" umelitumia pasipo pake.
 
Nasadiki kwa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume", period

Na ndiyo dini ya ukweli ya Ukristu ambayo ilianzishwa na Mtume Petro alipokabidhiwa kondoo awachunge na Bwana Yesu Kristu (Mathayo 16:18). Wengine wote ni waprotestanti na wapinga kristo.

Wasabato siyo DHEHEBU LA KIKRISTU bali ni CULT iliyoanza baada ya Nabii wa Uwongo kushindwa utabiri wake juu ya mwisho wa Dunia kuwa ni mwaka 1844
Ujipaisha bule tu wakirito wote mungu wenu yesu mwana wa mariamu
 
Neno "propaganda" umelitumia pasipo pake.
Kulingana na Pope Urban 1627 mana halisi ya neno hili limegawanyika ktk tafsiri nne...mojawapo ni juhudi zozote za kimkakati kutoka sapoti ya jumla toka kwa Jamii hasa katika maoni wanayoyawasilisha kwenda kwa Jamii hy.

Neno Propaganda ni neno halali kwa taasisi au Jamii au kikundi chochote chenye Iman fulani kilichopanga kijulikane na kuwaendesha wengi iwe kwa sauti au maandishi.
 
Hivi ujilio wa pili ni lini mkuu maana ule wa kwanza mama alitupiga changa la macho


Hahaa hakuwa mama mkuu....

Jamaa walikuwa sawa kabisa.

BAADA YA YESU KUICHUKUA DHAMBI YA ULIMWENGU ILIBIDI AKAE MBALI KABISA NA MUNGU KWA MIAKA MINGI SANA.

ALIKIWA ANAKAA PATAKATIFU SASA MWAKA HUO WALIOJUA NI MWISHO WA DUNIA ALIKUWA ANAHAMA KUTOKA PATAKATIFU KWENDA PATAKATIFU PA PATAKATIFU.

Hakuna anaeujua mwisho kaka hata yeye mwenyewe Masihi ALISEMA. Ila ni Baba yake tu.

Kwa WATU WAnaopata Mafunuo wanadai 5027.itakuwa ndio mwisho.
 
Ujipaisha bule tu wakirito wote mungu wenu yesu mwana wa mariamu


YESU ni Mwana WA MUNGU USIPOTOSHE.

Kama hujui uliza.

Ridhiwani ni mtoto wa KIKWETE.
Ana Haki ya kuitwa KIKWETE ila ni Mwana WA KIKWETE.

Tena ni MRITHIBWA KIKWETE, ingekuwa ni UFALME ridhione Angekuwa Magogoni.

NADHANI UMEELEWA
 
Ujipaisha bule tu wakirito wote mungu wenu yesu mwana wa mariamu
Hatuna yesu bali tuna Yesu mwana wa Mungu aliyezaliwa na Bikira Maria kwa njia ya roho mtakatifu. Bakini na huyo nabii Issa wenu kamwe msimfananishe na Yesu
 
Back
Top Bottom