Kyenyabasa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 247
- 715
Nasadiki kwa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume", periodUtashangaa ukihudhuria ibada ya kikatoliki labda mwanza masomo yatakayosomwa hapo Mwanza ni sawa na somo litakalosomwa Bukoba,Mbeya,Shinyanga,Lindi,Mtwara,Tanga nk yaani nchi nzima ujumbe utakaotolewa ni uleule bila kupungua au kuongezeka!!! Hiki kitu sijakishuhudia katika makanisa mengine,,,Inakuwaje wakatoliki wakafanikiwa katika hili na hakuna ubishani!??? Karibu wajuvi.
hivi hii period maana yake hua nini ?Nasadiki kwa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume", period
Na ndiyo dini ya ukweli ya Ukristu ambayo ilianzishwa na Mtume Petro alipokabidhiwa kondoo awachunge na Bwana Yesu Kristu (Mathayo 16:18). Wengine wote ni waprotestanti na wapinga kristo.
Wasabato siyo DHEHEBU LA KIKRISTU bali ni CULT iliyoanza baada ya Nabii wa Uwongo kushindwa utabiri wake juu ya mwisho wa Dunia kuwa ni mwaka 1844
Kanisa ni moja tu hizo zingine ni Itikadi tu (cults)hivi hii period maana yake hua nini ?
Hapo nakuunga mkonoNasadiki kwa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume", period
Na ndiyo dini ya ukweli ya Ukristu ambayo ilianzishwa na Mtume Petro alipokabidhiwa kondoo awachunge na Bwana Yesu Kristu (Mathayo 16:18). Wengine wote ni waprotestanti na wapinga kristo.
Wasabato siyo DHEHEBU LA KIKRISTU bali ni CULT iliyoanza baada ya Nabii wa Uwongo kushindwa utabiri wake juu ya mwisho wa Dunia kuwa ni mwaka 1844
😂😂😄😄😆😆😅😅😁Kuna watu walikaa chini wakaandaa huu mfumo na kupigilia msumari.
On short ni liturigia.
Period maana yake Mwishohivi hii period maana yake hua nini ?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hivi hii period maana yake hua nini ?
kwa usahihi ni Nuktahivi hii period maana yake hua nini ?
Yani hpa umeongelea nchi tu tena baadhi ya mikoaUtashangaa ukihudhuria ibada ya kikatoliki labda mwanza masomo yatakayosomwa hapo Mwanza ni sawa na somo litakalosomwa Bukoba, Mbeya, Shinyanga, Lindi, Mtwara, Tanga nk yaani nchi nzima ujumbe utakaotolewa ni uleule bila kupungua au kuongezeka.
Hiki kitu sijakishuhudia katika makanisa mengine. Inakuwaje wakatoliki wakafanikiwa katika hili na hakuna ubishani!?
Karibu wajuvi.
Uwakika gan katoric n kanisa la mitume? Hilo kanisa limeanzishwa mwaka 325 A.D baadae sana baada ya yesu kuondoka dunian pia mitume wote kuondoka dunia kwa mujibu wa historia, sasa una ushahidi wowote wa mtume yeyote aliyejihusha na ukatoric?Nasadiki kwa kanisa moja, Takatifu,katoriki,la mitume.
vipindi..we hujaskuli kwani?hivi hii period maana yake hua nini ?