Hakuna uwezekano wa kufanyika Mabadiliko wawe Wanachaguliwa Vijana au Wazee wa Makamu kuwa Mapapa? Na huko Vatican wakati wanachagua hawa Mapapa huwa wanakuwa Makini sana pia kuangalia na Hali zao za Kiafya kwani Wakatoliki (GENTAMYCINE nikiwemo) tumechoka na Vifo vyao vitokanavyo hasa na Afya zao na Umri kuwa umekula Maili / Kilomita za Kutosha hapa duniani.
Tumsifu Yesu Kristo.........Milele Amina.
Hakika umeongea ukweli,lakini mimi nina mawazo tofati[ ni hisia zangu,sio kwamba nina ushahidi wowote kuhusu hili jamb],,mimi hisia zangu nahisi wanaogopa KASHFA,nikiwa na maana wakichagua papa kijana,bado anakuwa na nguvi za kiume,kwa anaweza kuingia ktk zinaa mapaparzi wakamstukia na ikawa,balaa[nadhani asijua fujo za mapadre vijana-sio wote,baadhi,]wengine mpaka wana watoto,,angalia ata wachungaji nahao wanaojiita manabii vijana,wanatembea mpaka waumini] sasa akichaguliwa papa mzee anakuwa ameishiwa nguv za kiume[bora aishi miaka michache ya upapa na kufa,kuliko kanisa kupata kasha,,,,],,,jamani narudia tenahizi ni HISIA ZANGU,,,unakumbuka bill clinton wakati anaingia madarakani,,,,,alikuwa kija sana,matokeo yake alipata kashfa ya kufanya ngo ofisini,,,,,,,HISIA ZANGU!!!