Wakatoliki wenzangu hivi ni kwanini Mapapa wengi huwa tunawachagua wakiwa ni Wazee na huja Kugundulika na matatizo ya Kiafya baadae

Wakatoliki wenzangu hivi ni kwanini Mapapa wengi huwa tunawachagua wakiwa ni Wazee na huja Kugundulika na matatizo ya Kiafya baadae

Hakuna uwezekano wa kufanyika Mabadiliko wawe Wanachaguliwa Vijana au Wazee wa Makamu kuwa Mapapa? Na huko Vatican wakati wanachagua hawa Mapapa huwa wanakuwa Makini sana pia kuangalia na Hali zao za Kiafya kwani Wakatoliki (GENTAMYCINE nikiwemo) tumechoka na Vifo vyao vitokanavyo hasa na Afya zao na Umri kuwa umekula Maili / Kilomita za Kutosha hapa duniani.

Tumsifu Yesu Kristo.........Milele Amina.
Vijana bado damu changa wengi wanapeleka moto.

Ayubu 12:12
 
Vijana Wana mambo mengi sana, ukiwapa cheo kama kile ambacho kinahitaji hekima, busara na usiri mkubwa wa mambo inaweza kuwa mushkeli kidogo kwa kijana.

Kijana anawaza watoto wakike wazuri wakupiga nao show, ukimpa madaraka makubwa kama hayo unaweza kuleta shida tu kwenye jamii.
 
Hakuna uwezekano wa kufanyika Mabadiliko wawe Wanachaguliwa Vijana au Wazee wa Makamu kuwa Mapapa? Na huko Vatican wakati wanachagua hawa Mapapa huwa wanakuwa Makini sana pia kuangalia na Hali zao za Kiafya kwani Wakatoliki (GENTAMYCINE nikiwemo) tumechoka na Vifo vyao vitokanavyo hasa na Afya zao na Umri kuwa umekula Maili / Kilomita za Kutosha hapa duniani.

Tumsifu Yesu Kristo.........Milele Amina.
wakichaguliwa vijana watawala sana masista na kuvujisha siri ya black pope
 
Hakuna uwezekano wa kufanyika Mabadiliko wawe Wanachaguliwa Vijana au Wazee wa Makamu kuwa Mapapa? Na huko Vatican wakati wanachagua hawa Mapapa huwa wanakuwa Makini sana pia kuangalia na Hali zao za Kiafya kwani Wakatoliki (GENTAMYCINE nikiwemo) tumechoka na Vifo vyao vitokanavyo hasa na Afya zao na Umri kuwa umekula Maili / Kilomita za Kutosha hapa duniani.

Tumsifu Yesu Kristo.........Milele Amina.
Hata akichaguliwa kijana si baadae atazeeka tu?! Kumbuka japo Mimi ni muislamu lakini najua nafasi ya cheo Cha papa haina ukomo wa madaraka!
Akiishaingia madarakani ataendelea na nafasi hiyo hadi kifo kama ilivyokuwa kwa papa john Paul ii au ajiuzulu mwenyewe kama ilivyokuwa kwa pop Benedicto xvi.
 
Ni sawa na kusema mbona Professors wengi ni wazee? Kuna ngazi katika Kanisa, Kuanzia Laymen, Mapadre, Maaskofu, Maaskofu Wakuu, Makardinali na Makardinali wenye Uwezo na Umri Sahihi Wa kushiriki katika mchakato mzima wa kumpata mwakilishi na Mtu Sahihi wa Kuketi kwenye kiti cha Mtume Petro (Fisherman)
Maproffesor vijana wapi wengi tu.
Kwa mfano Adolf mkenda waziri wa elimu na makame mbarawa waziri wa uchukuzi walipata u professor bado vijana sana.
 
Maproffesor vijana wapi wengi tu.
Kwa mfano Adolf mkenda waziri wa elimu na makame mbarawa waziri wa uchukuzi walipata u professor bado vijana sana.
Juu ya miaka 45 wewe si kijana! Pia sijasema kwamba hawapo! La hasha, Ila ni wachache sana.
 
How many African popes have led the Catholic Church?


Three early popes were from the Roman Africa Province. These were Pope Victor I (reigned c . 189 to 199), Pope Miltiades (reigned 311 to 314) and Pope Gelasius I (492 to 496); all three were North African men.
North African bado tatizo ni lilelile! Hawa ni waarabu waishio bara la Africa, inaweza ikawa Misri , Tunisia , Libya, Aljeria, Sudan au Moroco.
Nyani weusi wa kusini mwa jangwa la Sahara nafasi hiyo ya upapa hawawezi kupewa.
Na hapo panaonyesha papa wa mwisho mwafrika ya kaskazini aliondoka madarakani mwaka 496 yaani kabla mtume Muhammad
صلى الله عليه وآله وسلم hajazaliwa.
 
Hakika umeongea ukweli,lakini mimi nina mawazo tofati[ ni hisia zangu,sio kwamba nina ushahidi wowote kuhusu hili jamb],,mimi hisia zangu nahisi wanaogopa KASHFA,nikiwa na maana wakichagua papa kijana,bado anakuwa na nguvi za kiume,kwa anaweza kuingia ktk zinaa mapaparzi wakamstukia na ikawa,balaa[nadhani asijua fujo za mapadre vijana-sio wote,baadhi,]wengine mpaka wana watoto,,angalia ata wachungaji nahao wanaojiita manabii vijana,wanatembea mpaka waumini] sasa akichaguliwa papa mzee anakuwa ameishiwa nguv za kiume[bora aishi miaka michache ya upapa na kufa,kuliko kanisa kupata kasha,,,,],,,jamani narudia tenahizi ni HISIA ZANGU,,,unakumbuka bill clinton wakati anaingia madarakani,,,,,alikuwa kija sana,matokeo yake alipata kashfa ya kufanya ngo ofisini,,,,,,,HISIA ZANGU!!!
Papa anatokana na makardinali, na kama jamaa alivyosema Huwezi kufika daraja la Ukardinali ukiwa chini ya miaka 50!

Aidha kumbuka nguvu ya uongozi ipo katika uzoefu
 
Papa anatokana na makardinali, na kama jamaa alivyosema Huwezi kufika daraja la Ukardinali ukiwa chini ya miaka 50!

Aidha kumbuka nguvu ya uongozi ipo katika uzoefu
mzee njonjo uongozi mambo ya kiimani sio kama kuongoza taasisi kama TRA!!
 
Back
Top Bottom