Wakatoliki wenzangu hivi ni kwanini Mapapa wengi huwa tunawachagua wakiwa ni Wazee na huja Kugundulika na matatizo ya Kiafya baadae

Vijana bado damu changa wengi wanapeleka moto.

Ayubu 12:12
 
Vijana Wana mambo mengi sana, ukiwapa cheo kama kile ambacho kinahitaji hekima, busara na usiri mkubwa wa mambo inaweza kuwa mushkeli kidogo kwa kijana.

Kijana anawaza watoto wakike wazuri wakupiga nao show, ukimpa madaraka makubwa kama hayo unaweza kuleta shida tu kwenye jamii.
 
wakichaguliwa vijana watawala sana masista na kuvujisha siri ya black pope
 
Hata akichaguliwa kijana si baadae atazeeka tu?! Kumbuka japo Mimi ni muislamu lakini najua nafasi ya cheo Cha papa haina ukomo wa madaraka!
Akiishaingia madarakani ataendelea na nafasi hiyo hadi kifo kama ilivyokuwa kwa papa john Paul ii au ajiuzulu mwenyewe kama ilivyokuwa kwa pop Benedicto xvi.
 
Maproffesor vijana wapi wengi tu.
Kwa mfano Adolf mkenda waziri wa elimu na makame mbarawa waziri wa uchukuzi walipata u professor bado vijana sana.
 
Maproffesor vijana wapi wengi tu.
Kwa mfano Adolf mkenda waziri wa elimu na makame mbarawa waziri wa uchukuzi walipata u professor bado vijana sana.
Juu ya miaka 45 wewe si kijana! Pia sijasema kwamba hawapo! La hasha, Ila ni wachache sana.
 
North African bado tatizo ni lilelile! Hawa ni waarabu waishio bara la Africa, inaweza ikawa Misri , Tunisia , Libya, Aljeria, Sudan au Moroco.
Nyani weusi wa kusini mwa jangwa la Sahara nafasi hiyo ya upapa hawawezi kupewa.
Na hapo panaonyesha papa wa mwisho mwafrika ya kaskazini aliondoka madarakani mwaka 496 yaani kabla mtume Muhammad
صلى الله عليه وآله وسلم hajazaliwa.
 
Papa anatokana na makardinali, na kama jamaa alivyosema Huwezi kufika daraja la Ukardinali ukiwa chini ya miaka 50!

Aidha kumbuka nguvu ya uongozi ipo katika uzoefu
 
Papa anatokana na makardinali, na kama jamaa alivyosema Huwezi kufika daraja la Ukardinali ukiwa chini ya miaka 50!

Aidha kumbuka nguvu ya uongozi ipo katika uzoefu
mzee njonjo uongozi mambo ya kiimani sio kama kuongoza taasisi kama TRA!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…