Trayvess Daniel
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 651
- 1,244
Let Vanessa be Vanessa.... huyu dada ni akili kubwa mnoooooooooooo... levels n levels, anajua anataka nini na afanye nini kupata no time for drama. Hii inaakisi amelelewa vizuri na ametoka kwenye familia yenye malezi ya tofauti sana.
Tuwalee wanetu vizuri watuwakilishe vema even in our absence.
Tuwalee wanetu vizuri watuwakilishe vema even in our absence.