Wakazi amnyanyulia mikono Rosa Ree, afananisha juhudi zake na za Vanessa Mdee

Let Vanessa be Vanessa.... huyu dada ni akili kubwa mnoooooooooooo... levels n levels, anajua anataka nini na afanye nini kupata no time for drama. Hii inaakisi amelelewa vizuri na ametoka kwenye familia yenye malezi ya tofauti sana.
Tuwalee wanetu vizuri watuwakilishe vema even in our absence.
 
Kila mtu anabadilika hata Fid wa sasa sio yule wa zamani ila still Fid ni the best mc Chemical ana mashairi anaeleweka ana flow nzuri ukimsikiliza unapata kitu huyu mwingine bado
Fid siyo mc hakuna anachokijua zaidi ya kutafuta rhymes kwenye bars
Ptuuu fid sio mc mnamjaza sana
 
Hivi Rosa lee ndio nani aisee!!
Naomba kujuzwa.
 

Sina muda huo wa kujadili watu...
 
Mashabiki wa da mange bwana eti 'utashangaa kihutu Hiiiiiiiiiiiiiiiiii'
 
Chemical alianza kua mgum ili kupata nafasi ya kubana pua tutaskia akiimba taalab soon
 
nyie si wavigodoro mtuachie sisi tufaidi
Cha kufaidi nin apo jombaa...kamata kwanza soko LA ndani ndo ufikirie LA nje. Huyo msanii hana hit song hata moja...zote za kawaida ila uzungu mwingiii. Aendelee kufanya kolabo za nje ndo zitamwokoa tofaut na apo ataendelea kuwa kivuli tu..huyo sio level za vannesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…