Wakazi apata wakati mgumu baada ya kusema kuna rappers wengi Tanzania wakali kumshinda Ngwair

Wakazi apata wakati mgumu baada ya kusema kuna rappers wengi Tanzania wakali kumshinda Ngwair

Sauti ya jogoo haina hata hit moja ya kushindana na ghetto langu


Huo ni mtizamo wako .

Ila tukija kwenye facts sasa, hiyo album ya sauti ya jogoo haina hit hata moja ya kuifikia ghetto langu ya kwenye a.k.a mimi.


Hapo bado sijakutajia 'she got a gwan', nyimbo nyingine kama Mikasi one of the best club hits ever hapa bongo ndio kabisa hata sio za kulinganisha.

Ukija kwenye achievments , a.k.a mimi ilikuwa album of the year.
Ukizungumzia Hits ni kweli SYJ haiizidi a.k.a mimi ila hiko sio kigezo pekee. Nimekupa mfano wa Ilmatics the best hip hop album ever lkn haina hits kali kama get rich or die tryin ya 50 cent ambayo hata kwenye 10 bora haipo. Nyimbo inaweza kuwa kali sana lkn isiwe hit due to some factors.

Bado kwangu SYJ kiufundi, uandishi, mitambao, maudhui, midundo, mitindo, mchanganyiko wa mada nk. Is the best.
Undisputed [emoji91]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ushawahi kubahatika kusikiliza albam ya DAZ BABA "ELIMU DUNIA"?

Ingawa albam ya ngwear ni kali ila ya daz baba juu baada ya prof.j
Hasa Ile ngoma iliyobeba jina la album ELIMU DUNIA, Aisee! Afande kaua na Daz kamaliza. Kweli MUNGU hakupi vyote wasanii wakali wa content ni either maskini au wamelowea kwenye madawa. INAUMIZA SANA!
 
Gwair huyu huyu aliyemfutisha fid q verse!?
Huyu huyu wa
Aka mimi?
She gotta gwan
Gheto langu
Mtoto wa jakaya
Binti
Nipeni dili
Cnn
Mikasi
Spidi 120
Ring ring kila saa napokea simu
Kama ni demu sikiliza
.............

Analinganishwa na nani?
 
Sauti ya Jogoo by nikki mbishi ni kali sana. Lyrics, flow, content, beats, etc. Zote hizo aspects humo ni za moto.

Mchanganyiko wa hits za style tofauti na maudhui tofauti kuanzia politcs, social issues, storytelling, horror, partying, tambo na majivuno, mapenzi na mahusiano yaani ni full package.
Wakati huo nikki mbishi hafai ukichanganya na mkono wa Duke na kila ngoma ukiskiza unaskia ufundi ulioenda shule. Naifananisha na Ilmatics ya Nas haikufanya poa sana sokoni lkn ndio arguably the best Hiphop album of all time.

Kwa hapa Tz SYJ naiweka kwenye 3 bora (of all time) sijui hizo mbili wewe utachagua ipi na ipi lkn Mimi by Ngwair itanisamehe.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Tutoke kwanza huko Kwa Mtaalamu AKA yeye, umenifurahisha ulivodadavua content zinazopatikana kwenye album ya sauti ya jogoo, jamaa aligusa almost Kila kitu

Naomba niulize umepata wasaa wa kuskiliza album ya Dizasta vina The Verteller? Kama umeiskliza hebu nipe Marks zako una irate 10 ya ngapi na kama hujaiskia tafadhari Fanya uipe skio lako
 
Sauti ya jogoo haina hata hit moja ya kushindana na ghetto langu


Huo ni mtizamo wako .

Ila tukija kwenye facts sasa, hiyo album ya sauti ya jogoo haina hit hata moja ya kuifikia ghetto langu ya kwenye a.k.a mimi.


Hapo bado sijakutajia 'she got a gwan', nyimbo nyingine kama Mikasi one of the best club hits ever hapa bongo ndio kabisa hata sio za kulinganisha.

Ukija kwenye achievments , a.k.a mimi ilikuwa album of the year.
Aka Mimi ya Ngwear alikuwa more bongo fleva while Sauti ya Jogoo ni more Hip Hop

Tafuta muda sikiliza album ya Sauti ya Jogoo
 
Tutoke kwanza huko Kwa Mtaalamu AKA yeye, umenifurahisha ulivodadavua content zinazopatikana kwenye album ya sauti ya jogoo, jamaa aligusa almost Kila kitu

Naomba niulize umepata wasaa wa kuskiliza album ya Dizasta vina The Verteller? Kama umeiskliza hebu nipe Marks zako una irate 10 ya ngapi na kama hujaiskia tafadhari Fanya uipe skio lako
Hiyo ya Dizasta Vina sijaiskiza bado. Nitaipa skio

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ya Dizasta Vina sijaiskiza bado. Nitaipa skio

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Pamoja Mkuu, Kwa mwana hip hop kama wewe ukipata time fanya hivo usije kuskia dogo kavuta ndo ukaanza kuskiliza ngoma zake kwenye radio, mskilize umpe heshima yake akiwa hai
 
Nitajie msanii wa hiphop mwenye album kali kuizidi a.k.a mimi (achana na machozi, jasho na damu ya Prof )

Bastola cash and.. toa code someka
wapi lipo bata wapi leo kinaeleweka, napesa mingi mpaka natamani jiteka
then watu wapo king.ston ka Jamaica
ni ma model, madodo waku roll na ma Gangasta
Divas and Hustlers, Paper Chasers!
Nani anaeza piga ngoma kali ka hii???... me!
Nani anaeza gonga beat nzito ka hii?? ... P!
Yeah you know that ni Bongo Records true na Q east zoo tu juu au si skii
Usipime hizi records ,ziko heavy place nothin above it man, you gotta love it man!
Leo ni mwendo wa gambe tu na Malavidavi na warembo wakali matata ka Flavi.. (what?)
Tunapata zetu couple of rounds then ..yeah.. we outta of the town! R.I.P MAN GWAIR
 
Wakazi kujikomba kupenda kujikomba kwa mondi, kutaka Kiki, mziki anafanya tatizo nyota, ndugu yake Jide, Kuna watu wametoka bila kujikomba komba.
 
Back
Top Bottom