Wakazi apata wakati mgumu baada ya kusema kuna rappers wengi Tanzania wakali kumshinda Ngwair

Wakazi apata wakati mgumu baada ya kusema kuna rappers wengi Tanzania wakali kumshinda Ngwair

Sauti ya Jogoo by nikki mbishi ni kali sana. Lyrics, flow, content, beats, etc. Zote hizo aspects humo ni za moto.

Mchanganyiko wa hits za style tofauti na maudhui tofauti kuanzia politcs, social issues, storytelling, horror, partying, tambo na majivuno, mapenzi na mahusiano yaani ni full package.
Wakati huo nikki mbishi hafai ukichanganya na mkono wa Duke na kila ngoma ukiskiza unaskia ufundi ulioenda shule. Naifananisha na Ilmatics ya Nas haikufanya poa sana sokoni lkn ndio arguably the best Hiphop album of all time.

Kwa hapa Tz SYJ naiweka kwenye 3 bora (of all time) sijui hizo mbili wewe utachagua ipi na ipi lkn Mimi by Ngwair itanisamehe.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hata huyo Ngwair haoni ndani kwa jamaa Nikki Mbishi ni mkali balaa na nusu
 
View attachment 2110726
Msanii wa Hiphop Webiro Wakazi Wassira maarufu kwa jina la "Wakazi" amejikuta akiwa katika wakati mgumu baada ya kuandika katika mtandao wa Twitter kuwa Albert Magwear alikuwa ni rapper mzuri lakini haelewi watu waliona nini ndani yake, maana kuna rappers wengi nchini wenye uwezo mkubwa zaidi yake.

Kupitia ukurasa huo wa Twitter alisema "Ngwear was a good rapper no doubt, but sometimes i wonder what people saw in him that was so exceptiona

I think he was gifted in a way it seem he did it effortlessly, but i know about a dozen of emcees with better rap skills than him.

Btw, the comparison i made isn’t literal"

Kauli hiyo imeamsha hisia za watu wengi waliomshambulia kutokana na kupingana na mtazamo wake.
Ukitaka kujua ngwair alikuwa tofaut, amefariki muda mrefu bt bado yupo kichwaniii mwa wasanii walobaki
 
Sauti ya jogoo haina hata hit moja ya kushindana na ghetto langu


Huo ni mtizamo wako .

Ila tukija kwenye facts sasa, hiyo album ya sauti ya jogoo haina hit hata moja ya kuifikia ghetto langu ya kwenye a.k.a mimi.


Hapo bado sijakutajia 'she got a gwan', nyimbo nyingine kama Mikasi one of the best club hits ever hapa bongo ndio kabisa hata sio za kulinganisha.

Ukija kwenye achievments , a.k.a mimi ilikuwa album of the year.
Jamaa kabisa analinganisha A.K.A Mimi na Sauti ya jogoo? Sauti ya Jogoo hata kwa Soga za mzawa ya One haioni ndani
 
Tatizo ni kwamba wanaomzidi bado wapo hai. Siku wakifa utaona wabongo watakavyowamiminia sifa kwamba wao ndio ma goat.
Kabisaaa, miaka ya mwishomwisho wa uhai wake Ngwea alikuwa kama ashapotea kwenye ramani ya muziki, hakuwa anazungumziwa. Ila alipokufa ni kama alizaliwa upya, enzi za uhai wake hakuwahi kupewa sifa ambazo wamewahi kupewa kina Profesa Jay/Fid Q/Juma Nature n' the likes, ila baada ya kufariki watu wanamuona kama ndio the GOAT[emoji2][emoji2]
 
Nani asiyejua wa bongo wanapenda kuwa na Ego../
wanadhani kuwa they know better than most people../
there°s no equal, on how we be reppin for the people, milele ntabaki juu kama steeple na ata nkiwa sipo,
I am the best who ever did it/shit is real biggie

Niwazi nnaonyesha am so greedy, kama ngwair na chidi 120 kwenye corner speed sasa mimi ni 360/
 
View attachment 2110726
Msanii wa Hip Hop, Webiro Wakazi Wassira maarufu kwa jina la "Wakazi" amejikuta akiwa katika wakati mgumu baada ya kuandika katika mtandao wa Twitter kuwa Albert Magwear alikuwa ni rapper mzuri lakini haelewi watu waliona nini ndani yake, maana kuna rappers wengi nchini wenye uwezo mkubwa zaidi yake.

Kupitia ukurasa huo wa Twitter alisema "Ngwear was a good rapper no doubt, but sometimes i wonder what people saw in him that was so exceptional.

"I think he was gifted in a way it seem he did it effortlessly, but i know about a dozen of emcees with better rap skills than him.

"Btw, the comparison i made isn’t literal"

Kauli hiyo imeamsha hisia za watu wengi waliomshambulia kutokana na kupingana na mtazamo wake.
Chicago boy ni waki emcee.
 
Kabisaaa, miaka ya mwishomwisho wa uhai wake Ngwea alikuwa kama ashapotea kwenye ramani ya muziki, hakuwa anazungumziwa. Ila alipokufa ni kama alizaliwa upya, enzi za uhai wake hakuwahi kupewa sifa ambazo wamewahi kupewa kina Profesa Jay/Fid Q/Juma Nature n' the likes, ila baada ya kufariki watu wanamuona kama ndio the GOAT[emoji2][emoji2]
Wasaniii wangapi washa dead lkn hawajapewa hio heshima anayo pewa cowbama?
 
Mtu akikukuta unasikiliza nyimbo za Nikki mbishi ,utasikia "jamaa mgumu huyu, hv mwanangu huumii kichwa Kwa hizo nyimbo" ila nyimbo ngwea nyingi kama bongo fleva. Hip-hop mziki wa kigumu
Screenshot_20220209-203826.jpg
 
Kumsaidia bwana mdogo Wakazi ni kuwa, Ngwea sio Rapa tu bali ni full package.
Kwa nini? Ngwea ni kifurushi kilicho kamili yaani ukimshinda huku yeye atakushinda kule na pale.
Ngwea ana Rap, ana flow kali, ni mwandishi mzuri, anaimba, anafanya Freestyle kwa kiwango kikubwa nk na pia ni miongoni mwa Rappers wachache wenye hit song nyingi.

Mfano Chid akimzidi Ngwea kwa flow atazidiwa kwa freestyle, Mbishi akimzidi Ngwea kwa freestyle atazidiwa kwa flow, F.A akimzidi Ngwea kwa uandishi basi atazidiwa kwa kuimba nk.

Yaani Ngwea ni package iliyokamilika hivyo ni mtu asiyefananishwa, mfano Prof. Jay, Jay Moe na wengineo ni wakali kwenye Hip hop hasa upande wa story nk lakini hawawezi freestyle.
Fid q, Mwana F.a ni waandishi wazuri lakini hawawezi freestyle.
Nikki Mbishi ni mkali wa uandishi na freestyle lakini bado kuna mengi kwa Ngwea ambayo yeye ama hayawezi au hajayafanya.


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Umemaliza kila kitu,...."Na hata nikifa leo pengo langu halina spare"
Achana kabsa na Alberto jamaa ni exceptional, uyo WAKAZI hata tukimpa kwaya ya Rose Mhando aimbe sauti ya tatu hakuna mtu atataka kuskiliza iyo nyimbo!!!
 
Nani asiyejua wa bongo wanapenda kuwa na Ego../
wanadhani kuwa they know better than most people../
there°s no equal, on how we be reppin for the people, milele ntabaki juu kama steeple na ata nkiwa sipo,
I am the best who ever did it/shit is real biggie

Niwazi nnaonyesha am so greedy, kama ngwair na chidi 120 kwenye corner speed sasa mimi ni 360/
Line za canabino
 
For me Ngair was gifted ...sikio langu limejiridhisha kuwa kwa bongo sijawahi mskia rapper mkali km albert

Note

Ngwair ni mngoni
Professor j mngoni
Sterio mngoni
Godzilla mngoni

Hawa n baadhi ya wasanii kutoka Ruvuma ambao nawakubali sana
 
Kumsaidia bwana mdogo Wakazi ni kuwa, Ngwea sio Rapa tu bali ni full package.
Kwa nini? Ngwea ni kifurushi kilicho kamili yaani ukimshinda huku yeye atakushinda kule na pale.
Ngwea ana Rap, ana flow kali, ni mwandishi mzuri, anaimba, anafanya Freestyle kwa kiwango kikubwa nk na pia ni miongoni mwa Rappers wachache wenye hit song nyingi.

Mfano Chid akimzidi Ngwea kwa flow atazidiwa kwa freestyle, Mbishi akimzidi Ngwea kwa freestyle atazidiwa kwa flow, F.A akimzidi Ngwea kwa uandishi basi atazidiwa kwa kuimba nk.

Yaani Ngwea ni package iliyokamilika hivyo ni mtu asiyefananishwa, mfano Prof. Jay, Jay Moe na wengineo ni wakali kwenye Hip hop hasa upande wa story nk lakini hawawezi freestyle.
Fid q, Mwana F.a ni waandishi wazuri lakini hawawezi freestyle.
Nikki Mbishi ni mkali wa uandishi na freestyle lakini bado kuna mengi kwa Ngwea ambayo yeye ama hayawezi au hajayafanya.


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
NGWEA ANASIFIWA TU ILA HAJAWAI KUIMBA WIMBO WA MAAANA ZAIDI YA KUSIFIA NGONO, POMBE, MADEMU NA MADAWA YA KULEVYA.
 
Bastola cash and.. toa code someka
wapi lipo bata wapi leo kinaeleweka, napesa mingi mpaka natamani jiteka
then watu wapo king.ston ka Jamaica
ni ma model, madodo waku roll na ma Gangasta
Divas and Hustlers, Paper Chasers!
Nani anaeza piga ngoma kali ka hii???... me!
Nani anaeza gonga beat nzito ka hii?? ... P!
Yeah you know that ni Bongo Records true na Q east zoo tu juu au si skii
Usipime hizi records ,ziko heavy place nothin above it man, you gotta love it man!
Leo ni mwendo wa gambe tu na Malavidavi na warembo wakali matata ka Flavi.. (what?)
Tunapata zetu couple of rounds then ..yeah.. we outta of the town! R.I.P MAN GWAIR
HUYU NDO MSANII ANAYESIFIWA KUWA NI MKALI KUZIDI WOTE HAHAHAHAAAA.
 
Back
Top Bottom