katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Ubora wa msanii ni lyrical na sio kuangalia idadi gani ya watu wanaomkubaliUbora unategemea na 'taste' ya msikilizaji, we can't have the same 'taste'.
Hivyo basi an artist hawezi kuwa bora kisa wewe unamuona ni bora, ila yule anayeonekana bora kwa wengi(majority) ndiyo whether tunamkubali au la inapaswa kukubali kuwa wengi wanamuona kuwa ndiyo bora.
Mfano kama wakati wa kupiga kura kuchagua kiongozi, wengine tunaweza kuona hana qualities lakini msemo wa wahenga wa 'wengi wape' ndiyo una-apply.
Kwenye EP yake kuna nyimbo nyingi tu zina lyrics mfano Nawaza,Fine, somebody,sona, mtasubiriUbora wa msanii ni lyrical na sio kuangalia idadi gani ya watu wanaomkubali
Kuna mumble rapper mmoja anaitwa lil pump ana mashabiki wengi na views nyingi kwenye nyimbo zake, lakini kimashairi bado ana uwezo mdogo kufika hata robo ya uwezo wa Dax
Ila ubora wa msanii goes beyond lyrcism, uandishi pekee hautoshi kumfanya msanii awe bora mfano msanii kama Whitney Houston anatajwa kati ya wasanii bora kuwahi kutokea lakini alikuwa haandiki nyimbo zake, ni sauti yake ndio ilimfanya awe bora.Ubora wa msanii ni lyrical na sio kuangalia idadi gani ya watu wanaomkubali
Kuna mumble rapper mmoja anaitwa lil pump ana mashabiki wengi na views nyingi kwenye nyimbo zake, lakini kimashairi bado ana uwezo mdogo kufika hata robo ya uwezo wa Dax
Eti ubora wa msanii ni lyrical, no wonder kuna wasanii wanabaki kuwa underground their whole entire career.Ubora wa msanii ni lyrical na sio kuangalia idadi gani ya watu wanaomkubali
Kuna mumble rapper mmoja anaitwa lil pump ana mashabiki wengi na views nyingi kwenye nyimbo zake, lakini kimashairi bado ana uwezo mdogo kufika hata robo ya uwezo wa Dax
Ni dada 'wa kazi'.Huyu wakazi ye ni nani??
Fundi gereji?
Fundi nguo?
Fundi bomba?
makenika?
msajili anwani za makazi au?
haya maneno angeongea ali kiba sawa tungemuelewa.
Wasiojua mziki wanachukulia mziki Kama ushabiki wa siasa, Ila ukweli mchungu. Wakazi Yuko 100%correctWakazi yuko sahihi Diamond hata atoe ngoma ya dakika mbili halafu humo ndani awe anacheka mwanzo mwisho utaona ngoma hiyo itavyokuwa trend na usikute ikapewa na tuzo
Hayo yote yamerahisishwa kutokana na jina (umaarufu) na ndio maana hata hawa ma underground wana amini wakipata nafasi ya kufanya kazi kwenye lebel yao watatoka tu, kwasababu kitachowafanya wajulikane sio ubora wa kile wanachokiimba
Means hata kwa level zao za huku chini wanaamini hata wakaze msuli namna gani bado ubora wa nyimbo hautakuwa kigezo wao kutoka
Nakubaliana na Wakazi
Mfano mzuri ni Ile nyimbo ya unachezaje, ilivotrend kwa mgongo wa umaarufu wake. Hamna content, poor Vocals, Yani basi tuWakazi yuko sahihi Diamond hata atoe ngoma ya dakika mbili halafu humo ndani awe anacheka mwanzo mwisho utaona ngoma hiyo itavyokuwa trend na usikute ikapewa na tuzo
Hayo yote yamerahisishwa kutokana na jina (umaarufu) na ndio maana hata hawa ma underground wana amini wakipata nafasi ya kufanya kazi kwenye lebel yao watatoka tu, kwasababu kitachowafanya wajulikane sio ubora wa kile wanachokiimba
Means hata kwa level zao za huku chini wanaamini hata wakaze msuli namna gani bado ubora wa nyimbo hautakuwa kigezo wao kutoka
Nakubaliana na Wakazi
We humjui mziki, unatumia hoja za kisiasa kuzingumza mziki. Mziki hauko hivyo Kaka, umaarufu kwenye mziki unachangiwa na vitu vingi, nikupe mfano mdogo, wa Trey songs na Jason Derulo, Trey songs is more popular lakini kimziki Jason Derulo is far better na ana hits nyingi kuliko Trey songs.Wasanii Tz ni wengi mno kwanini yeye ndo wanamkosoa kila siku?? Yani akitoa kitu lazima KWANINI ziwe nyingi??
Afu kingine sawa hajui kuimba huo umaarufu umetokana na nini??? JE HAO WANAOMZIDI KUIMBA MBONA HAWAWI MAARUFU KAMA YEYE?? HAWAPATI PESA KAMA YEYE???
NDO ILE YA MSUVA NA SAMATTA ETII OO MSUVA ANAJUA WAKATI ANAZEEKA HATA LIGI YA BELARUS HAJACHEZA[emoji23][emoji23][emoji23]
Umaarufu kapata kwa skendo za wanawake, hasa kwa wema na Zari, kaacha huyu kachukua huyu, piga kata funua karibu celebs wote wa bongo, kila siku front page magazeti ya udaku, "rasmi diamond abwagana na jokate, mara hamisa mara Nani sijui..."Sisi tunataka kujua huo umaarufu kaupata wapi ikiwa hajui chochote kwenye kuimba, kama mnavyodai?
Hao wanaojua kuimba ni nani na nani? Watajeni hapa kisha mtueleze kwanini wao sio maarufu kama Diamond.
Kuwa mwanamziki sio kujua kuimba tu, ukiachana na kuimba Mond kawazidi wengine vitu vingi sana kuhusu mziki.
Kuhusu wakazi, ni moja kati ya wasanii ambao wamedumu kuwa ma-underground kwa miaka mingi sana.
Unampa habari ambayo hataki kuisikiaMkuu Diamond ni mwimbaji wa kawaida tu, hayo mengine mtatoana macho kisa ushabiki wenu
Yani bongo hii Kaka hutakiwi kugusa washabiki wa WBC, waumini wa mwamposa, mfalme zumaridi, na washabiki wa yanga, utajuta.Sasa hapo wivu una husika vipi?
Kumkosoa mtu hakuwezi kuwa na maana ya wivu
Labda nikukumbushe tu kuwa hata huyo diamond kafanya interviews kibao ambapo humo kawakebehi watu na kuwashusha viwango, je na hiyo unaihesabu kama wivu?
Tukubaliane hapa, kwamba diamond naye ana wivu kwa wasanii wengine kwa kauli zake za kuwakosoa wengine kwenye interviews
Vinginevyo wewe utakuwa ni mnafki usiekuwa muungwana, na ni mtu ambaye unafata meza yenye bia nyingi kwasababu ya utimu.
Uko sahihi 100% chonde chonde achana na WCB fans, wanavyomtetea diamond wako radhi hata wakuchome kisu.Wakazi huwezi kumfananisha na nikki wa pili
Niki wapili alikiwa ni chawa, mlamba miguu, asskisser aliyepitiliza mpaka akapewa huo u DC
Tena umenikumbusha kati ya wasanii ambao nimekuwa nawaongelea negative basi hapa mtaiona nafuu ya diamond katika kuwakosoa wasanii
Kipindi cha magufuli ambapo tweeter ilipigwa ban, na kufanya access iwezekane kwa vpn tu, huyu jamaa alijitokeza na ku tweet kuwa watu wanaizushia serikali uwongo kwani yeye ameweza kuingia tweeter bila vpn na kwenda mbali kuwa watu wanafanya hivyo kumchafua magufuli tu
Baada ya hapo zikaja gharama kubwa za mabando, jamaa akasimamia ukucha kuwa wananchi wasilie lie kuhusu bando kwanj sio kitu necessary kama kula, ni jambo linaweza kuepukika tu kuliko kuisumbua serikali kuhusu kupunguziwa gharama za bando
Haya akaja tena kwenye tozo akaongea ujinga kibao just kuwa upande wa serikali
Sio huyo tu, hadi masanja naye ni wa type hiyo hiyo na anasemwa sana.
Lakini utofauti unavyokuja tukiwasema hawa hatutajwi kama watu wenye wivu wa mafanikio ya hao watu au haters kwasababu nikki wapili hajaweza kuwa na mashabiki wengi wakumtetea kama ilivyo kwa diamond na alikiba kila platfom kuna utimu
Kwa hiyo nasisitiza kuwa diamond kwenye ywezo wa kuimba bado sana, labda kama utanifananishia yule diamond wa "utanipenda" lakini huku kwa nyegezi ni ujinga na aibu kukubaliana na hoja hiyo kuwa mwana anaimba vizuri
Ameponda album za wenzie na kujipigia chapuo EP yake, afu yeye hataki kukosolewa.Ni msanii mwenye maneno ya shombo sana kwa wasanii wengine huwa nashangazwa na watu wanaotaka unapomuongelea msela uwe politely wakati ye anatapika
Leo nimekutana na clip hii, sijajua jamaa aliongea kama utani wa kimuziki lakini body language inapingana kabisa na dhana ya utani
View attachment 2152982
Zuchu ni product ya advertisement, hakuna msaniii pale.Yes inategemeana na huyo mtu yuko interested na aina gani ya mziki
Mi mwenyewe naskiaga zuchu zuchu lakini sijawahi muona kumjua, na probably nilimuona ila sikujua kuwa ndio yeye
Hayo yote yanawezekana kama huna interest na type hiyo ya burudani
UZEENI UTAKUWA MCHAWI WEWE SIO BUREWe humjui mziki, unatumia hoja za kisiasa kuzingumza mziki. Mziki hauko hivyo Kaka, umaarufu kwenye mziki unachangiwa na vitu vingi, nikupe mfano mdogo, wa Trey songs na Jason Derulo, Trey songs is more popular lakini kimziki Jason Derulo is far better na ana hits nyingi kuliko Trey songs.
Diamond aka the bitch ni performerMsanii kutoka Tanzania, Wakazi amesema kwamba Diamond Platinumz ni maarufu ila sio mzuri katika uiambaji.
Kupitia ujumbe aliochapisha kwenye ukurasa wake wa Twitter, Wakazi alisema kwamba kuna tofauti kubwa kati ya umaarufu na ubora wa msanii, na hivyo kuwa maarufu haimaanishi kuwa mzuri katika sanaa ya muziki.
Aidha, Wakazi alikubali kwamba Diamond Platinumz ni miongoni mwa watu watatu maarufu nchini Tanzania ila kwa usanii bado kuna mengi anayopaswa kuyafanya. Wakazi aliweka wazi kwamba kuna watu wanaoimba na kufanya zaidi ya Diamond Platinumz.
Baadhi ya wandani wa Diamond Platnumz walionekana kughadhabishwa na kauli hiyo huku wakitema cheche kali. "Huo umaarufu kaupata kwa sababu gani? Unaweza kuwa bora na watu wasikufahamu?" Wengine waliuliza.
Kauli hii inajiri baada ya Diamond Platnumz kusema kwamba hataki kushindanishwa na wasanii wa ndani ya Tanzania, na kwamba alitaka kushindana na wanamuziki wa kimataifa.
Aidha Wakazi ameweka wazi kuwa kutokana na kusema kauli hiyo amepigiwa simu za vitisho lakini ameonyesha kubaki na msimamo wa kauli yake.
View attachment 2152750
======
Ameandika Webiro Wakazi Wassira katika akaunti yake ya Twitter
"Kuna tofauti kati ya UMAARUFU na UBORA wa Musicians. Being popular doesn’t necessarily translates to being The Best. That being said, nakubali kuwa Diamond Platnumz is Top 3 in popularity, ila kwa Ubora (artistry) that is a reach… Kuna watu wanaupiga mwingi zaidi yake".
"Nadhani mtazamo wa ukali wa msanii ndio unategemea ntu na ntu! Kwenye ubora, nazingatia vigezo vya kiufundi, pia kufanya kwa muda mrefu bila kushuka kiwango huku unaendelea kuzingatia vigezo hivyo. Ila kuwa “mkali” au “msanii pendwa” ni sikio lako. Umaarufu unatokana na mengi".
"Wanasema Ukweli unauma… Hii imeuma sana inaonyesha, hadi napigiwa simu za vitisho"?
Pia soma: Diamond Platnumz ahoji kwanini Ali Kiba (mkongwe) hana media yake? Atoa onyo kushindanishwa na wasanii wa Tanzania 'ni wadogo sana kwake'
Zuchu is a very good artistZuchu ni product ya advertisement, hakuna msaniii pale.
Pale msanii aliebakia ni mboso tu, kumbe mbavu alikua anawaweka mjini hawa jamaa, nimekuja kugundua late sana