Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Kuna tofauti kati ya ukweli na mahaba.....mbona Wakazi kaongea ukweli mtupu tu. Cha kushangaza hata Diamond mwenyewe anajuwa kuwa hajuwi kuimba lakini anabangaiza tu ila mashabiki wake ndiyo wanataka kuvaa mabomu mwilini kumlipua Wakazi.
Ukweli utabaki kuwa ukweli tu no matter what.
Ukweli utabaki kuwa ukweli tu no matter what.