Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Anaongoza Vilaza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shida sanaMziki umemshinda kageuka kuwa mchambuzi
Huwa nakuonea huruma sana kizazi Cha Tz kuanzia 2030+ ,kutakuwa ni ujinga mtupu maana umeanza kukua kila siku.........Ukiwa critical thinker kwenye jamii ya watu wenye upeo mdogo kama kitenes unakua unaonekana wewe ndio mwehu
Wakaz yuko sahihi kabisa ila watu wamepofushwa na mahaba
MO na Bakhresa siyo masuperstar Bali ni famousKuwa na mawazo hayo ni dhana mbaya sana ya kimasikini na yenye utabaka, kufikiria mwenye haki ya kukosolewa ni yule ambaye hana kitu, kuwa hata ukimkosea watu watasema ni sawa as long as hana kitu cha thamani cha kukufanya uonekane mkosoaji una wivu nacho
Kwamba mkosoaji amemuona Diamond kuwa ni tajiri sana kiasi cha kumonea wivu kuliko MO na Bakhresa ambao wako kwenye rank za matajiri Africa?
Naye Diamond sio superstar, ni starMO na Bakhresa siyo masuperstar Bali ni famous
Diamond ni superstar
Haha[emoji23][emoji23] ni Mega SuperstarNaye diamond sio superstar, ni star
tiny starHaha[emoji23][emoji23] ni Mega Superstar
Micro startiny star
Wanamuanza vijimaneno kila mtu anataka ku compete nae njia wanayotumia Ni kudissHakuna anayeshusha brand ya mwenzake kwa kumkosoa, ukisema hivyo basi utakuwa mnafiki kwasababu huyo unayemtetea kashusha brand za wasanii wenzake kwa madai kuwa hawana uwezo wa ku competee naye
Kuna moja inaitwa abeykhe sijui kama nimepatia jina, ameimbana mastercraft na mr flavor. Sijui waliwaza nnWakazi yuko sahihi Diamond hata atoe ngoma ya dakika mbili halafu humo ndani awe anacheka mwanzo mwisho utaona ngoma hiyo itavyokuwa trend na usikute ikapewa na tuzo
Hayo yote yamerahisishwa kutokana na jina (umaarufu) na ndio maana hata hawa ma underground wana amini wakipata nafasi ya kufanya kazi kwenye lebel yao watatoka tu, kwasababu kitachowafanya wajulikane sio ubora wa kile wanachokiimba
Means hata kwa level zao za huku chini wanaamini hata wakaze msuli namna gani bado ubora wa nyimbo hautakuwa kigezo wao kutoka
Nakubaliana na Wakazi
Kwahiyo kuimba tune moja ndio kutojua mziki?True, Diamond hajuwi kuimba ila yuko famous. Diamond anaimba tune moja ile ile, wale wanaojuwa muziki watakubaliana nami.
Of course, kwani ulikuwa hujuwi? Yaani hana ujanja, hajuwi kuimba tofauti na hapo.Kwahiyo kuimba tune moja ndio kutojua mziki?
Bro wewe mdau wa rap,nikikwambia unitajie rappers wako kumi Bora list yako itakua tofauti na Jay z, Mimi,Fid Q,ubishi wa kitoto kama huu ndio unakupunguzia points,Kusema fulani ni mwanamuziki mzuri kuliko fulani ni kitu "subjective"kila mtu ana maoni yake,na mkali wake ,usifanye mtazamo wako binafsi ndio FACT...Wakazi huwezi kumfananisha na nikki wa pili
Niki wapili alikiwa ni chawa, mlamba miguu, asskisser aliyepitiliza mpaka akapewa huo u DC
Tena umenikumbusha kati ya wasanii ambao nimekuwa nawaongelea negative basi hapa mtaiona nafuu ya diamond katika kuwakosoa wasanii
Kipindi cha magufuli ambapo tweeter ilipigwa ban, na kufanya access iwezekane kwa vpn tu, huyu jamaa alijitokeza na ku tweet kuwa watu wanaizushia serikali uwongo kwani yeye ameweza kuingia tweeter bila vpn na kwenda mbali kuwa watu wanafanya hivyo kumchafua magufuli tu
Baada ya hapo zikaja gharama kubwa za mabando, jamaa akasimamia ukucha kuwa wananchi wasilie lie kuhusu bando kwanj sio kitu necessary kama kula, ni jambo linaweza kuepukika tu kuliko kuisumbua serikali kuhusu kupunguziwa gharama za bando
Haya akaja tena kwenye tozo akaongea ujinga kibao just kuwa upande wa serikali
Sio huyo tu, hadi masanja naye ni wa type hiyo hiyo na anasemwa sana.
Lakini utofauti unavyokuja tukiwasema hawa hatutajwi kama watu wenye wivu wa mafanikio ya hao watu au haters kwasababu nikki wapili hajaweza kuwa na mashabiki wengi wakumtetea kama ilivyo kwa diamond na alikiba kila platfom kuna utimu
Kwa hiyo nasisitiza kuwa diamond kwenye ywezo wa kuimba bado sana, labda kama utanifananishia yule diamond wa "utanipenda" lakini huku kwa nyegezi ni ujinga na aibu kukubaliana na hoja hiyo kuwa mwana anaimba vizuri
Barnaba,Benpol,Kiba wanaimba tune moja mpaka Leo vipi nao pia hawajui kuimba?Of course, kwani ulikuwa hujuwi? Yaani hana ujanja, hajuwi kuimba tofauti na hapo.