Man from cuba
JF-Expert Member
- May 2, 2021
- 571
- 1,394
Nje ya topic HV LAVALAVA YUPO dabliyusibii au karudi zenji kugombea ubunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani wewe msukule wa WCB usiwe mchawi niwe Mimi?UZEENI UTAKUWA MCHAWI WEWE SIO BURE
Ni product ya advertisement, unielewe hapa, akina ruby, Sarafina, nandy, they are far better than her, but she's popular in East Africa kuliko wao.Zuchu is a very good artist
Msanii gani hafanyiwi promo? Zuchu anotoka promo kafanyiwa na media moja ya Wasafi vipi hao wengine leo kubwa zote zinawapa promo?Zuchu ni product ya advertisement, hakuna msaniii pale.
Pale msanii aliebakia ni mboso tu, kumbe mbavu alikua anawaweka mjini hawa jamaa, nimekuja kugundua late sana
paragraph yako ya Kwanza na na pili umejijibu mwenyewe.Msanii gani hafanyiwi promo? Zuchu anotoka promo kafanyiwa na media moja ya Wasafi vipi hao wengine leo kubwa zote zinawapa promo?
Zuchu moja ya wasanii waliopita kwenye moja ya mifumo rasmi, Zuchu na Nandy walienda kwenye mashindano ya kutafuta vipaji Nigeria huku Zuchu akiingia tano bora na Nandy akishika nafasi ya pili,sasa ww unayesema hana kitu may be una uzungumzia moyo wako.
Mwisho MZIKI NI BIASHARA na biashara yoyote inahitaji Promo ili uweze kuingiza hela. Mario ni Msanii mkubwa ila hana promo nje ya mipaka ya inchi, mwisho wa siku unafanya mziki wa hasara, baada ya miaka kazaa una hali mbaya kiuchumi watu wanakusifia kunafiki "daah jamaa alikuwa anaimba......" mfukoni huna kitu.
Diamond ni mwimbaji wa kawaida but ni best entertainer tokea aanze mziki na ndio maana kapiga show za 90% ya nchi za kiafrika ukiondoa ukanda wa waarabu.
Master Jay ana msemo wake ambao anaurudia sana BSS "ni rahisi kumfanya mtu awe mwimbaji mzuri, ila ni kazi ngumu kumfanya mtu awe entertainer....." kwani talanta hiyo huwa wanayo wachache na mmoja wapo Diamond. Mr Nice enzi yake hakuwa mwimbaji mzuri bali alikiwa entertainer mzuri na ndio maana nae alipiga show nchi nyingi za Afrika.
Hata Dax hafiki hata robo ya uwezo wa Eminem..Lakini sio kwamba nae Eminem ni bora kuliko wa sanii wote wa Hip pop.Ubora wa msanii ni lyrical
Kuna mumble rapper mmoja anaitwa lil pump ana mashabiki wengi na views nyingi kwenye nyimbo zake, lakini kimashairi bado ana uwezo mdogo kufika hata robo ya uwezo wa Dax
Nitajie A list ya wasanii wa kibongo ambao hawafanyi promo kwenye maradio na social networks?paragraph yako ya Kwanza na na pili umejijibu mwenyewe.
Next time ukiandika tuliza akili.
Zuchu ni product ya advertisement.View attachment 2157572
Hata hii story unayoanzisha jibu lako hili hapaNitajie A list ya wasanii wa kibongo ambao hawafanyi promo kwenye maradio na social networks?
Yaah mziki ni biashara?Nimekuuliza katika A list ni msanii gani hawanyi promo?Hata hii story unayoanzisha jibu lako hili hapaView attachment 2157580
Maybe rubyNi product ya advertisement, unielewe hapa, akina ruby, Sarafina, nandy, they are far better than her, but she's popular in East Africa kuliko wao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaa.Comment yangu ni posa tosha ha haaaa[emoji1]
AKILI NDOGO NDO WANAONGOZA KUCHUKIA MAFANIKIO YA WANAUME WENZAOYani wewe msukule wa WCB usiwe mchawi niwe Mimi?
🤣🤣🤣🤣🤣 Umemjibu kwa akili kubwaDiamond ni mzuri kimiziki lakini wakazi ni mzuri zaidi kwenye mambo mengine kuliko mziki anaofanya
Hawa ni sawa sawa na watu wanaosema ronaldo hana kipaji cha mpira ana mazoez mengi, ukiwa uliza ronaldo mpira anajua au hajui wanassma anajua ila wa mazoez [emoji28]https://jamii.app/JFUserGuide u.Ktk maisha iko kitu kinawezekana ndio maana kuna msemo mchumia juan ula kivuli ,unapofanya kaz kwa juhud mwanzo ukafanikiwa basi ni rahis sana kula matunda kwa muda mref ikiwa tu na akir ,ukwel ni kwamba diamond ni msanii mzur tena sana ila pia amejaliwa na maarifa pamoja na uwezo binafsi ,tukirud ktk muzik kiukwel kuna kiwango kinapungua ktk utunzi mpaka uimbaji japo kipato kinazid kwa sababu tu ya njia aliyojitengenezea ,
Tuwe tu silias iv kwel kuna mfanano kati ya ile kesho au nataka kulewa ,na hii labda fine au unachazaje ,na iyo sio kwa diamond tu kwa watu weng ambao walishatengeneza njia mwsho wake wanabebwa na jina au taasisi au kampuni mfano mzee bakhresa sasa iv hana muda ata wa kuanzisha ktu kipya kama sio jina lake au kampun yake kumbeba leo hii ata p square hawapo vzur ila ni rahis kurud na kushika chat kuliko msanii mpya ambae anaanza ,ni siri za maisha tu lkn usikute diamond sasa iv anaingiza pesa nyng kupitia njia nyngne nje muzk anaotoa ,yote kwa yote mzk ndio chanzo cha umaarufu wake ila haimaanish yeye ndio anaejua kuimba vzur kupita wengine ama kutoa hits song kupita wengine
Mwamba umeongea factHawa ni sawa sawa na watu wanaosema ronaldo hana kipaji cha mpira ana mazoez mengi, ukiwa uliza ronaldo mpira anajua au hajui wanassma anajua ila wa mazoez [emoji28]JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala u.
Mafanikio yako yana kuja kulingana na uwezo wako.moja ya mafanikio ni umarufu.itoshe kusema umarufu wa mondi umebewa na uwezo wake wamuziki wake.
Ukiwa mpumbavu utakua marufu wa upumbavu hivyo hivyo kila kitu kina mmoja anaejua kuliko wote huyo ndo anakua maarufu..
Wakazi kaa tulia angalia ujifunze, mwenzako anafanya music kama biashara,wakufanikiwa sio lazima uwe wew,wapo wengine kama wew nao wanahitaji kufanikiwa.