Wakazi: Diamond Platnumz ni maarufu ila hajui kuimba, "ukweli unauma mpaka mnanipigia simu za vitisho"

Wakazi: Diamond Platnumz ni maarufu ila hajui kuimba, "ukweli unauma mpaka mnanipigia simu za vitisho"

Alikuaje maarufu? Tuanzie hapo labda.

Na kama hajui kuimba, hajui kuimba mziki wa aina gani? Bongo fleva? Kulinganishwa na nani?

Basi ngoja nitafute ela tu
 
Sisi tunataka kujua huo umaarufu kaupata wapi ikiwa hajui chochote kwenye kuimba, kama mnavyodai?

Hao wanaojua kuimba ni nani na nani? Watajeni hapa kisha mtueleze kwanini wao sio maarufu kama Diamond.

Kuwa mwanamziki sio kujua kuimba tu, ukiachana na kuimba Mond kawazidi wengine vitu vingi sana kuhusu mziki.

Kuhusu wakazi, ni moja kati ya wasanii ambao wamedumu kuwa ma-underground kwa miaka mingi sana.
Ben Paul, Rama D wanaimba kuklo Diamond
 
Wakazi yuko sahihi Diamond hata atoe ngoma ya dakika mbili halafu humo ndani awe anacheka mwanzo mwisho utaona ngoma hiyo itavyokuwa trend na usikute ikapewa na tuzo

Hayo yote yamerahisishwa kutokana na jina (umaarufu) na ndio maana hata hawa ma underground wana amini wakipata nafasi ya kufanya kazi kwenye lebel yao watatoka tu, kwasababu kitachowafanya wajulikane sio ubora wa kile wanachokiimba

Means hata kwa level zao za huku chini wanaamini hata wakaze msuli namna gani bado ubora wa nyimbo hautakuwa kigezo wao kutoka

Nakubaliana na Wakazi
Diamond ameshatengeneza fans base yake na kubwa ko Mara nyingi wanao support ni wale shabiki zake


Wewe tafuta msanii wako mshabikie,acha makasiriko
 
Ukiwa critical thinker kwenye jamii ya watu wenye upeo mdogo kama kitenes unakua unaonekana wewe ndio mwehu
Wakaz yuko sahihi kabisa ila watu wamepofushwa na mahaba
Long,short story saw diamond hajui kuimba.

Leta msanii unaemkubali anajua kuimba bongo na EA mwnye tuzo,hit,fan base, streams na kufanya show majukwaa makubwa Zaid ya mondi...

Ukiweza hapo kweli mondi hajui kuimba.
 
SAWA SWALI NI KWAMBA HAOOO WANAOMZIDI KUIMBA, HAO WENYE MELODY NZURI, HAO WENYE TUNGO KALI NA SAUTI YA KUVUTIA MBONA HAWAFIKI POPOTE??? MBONA KAZI ZAO HAZISONGI KAMA ZA HUYO WANAEMKOSOA???

NAJUA MNAJUA, NA TUNAJUA MNAJUA TUNAWAPIGAJE MNAJUA😂😂😂
Huu mwandiko unaumiza macho mkuu!
 
Hii Tz watu wake wa hovyo sana kuna kitu kinaitwa criticism & constructive criticism ila sasa mtanzania ukimwambia chochote kati ya hicho anakwambia "chuki" unabaki unashangaa wtf chuki ipi tena
 
Wakazi huwezi kumfananisha na nikki wa pili

Niki wapili alikiwa ni chawa, mlamba miguu, asskisser aliyepitiliza mpaka akapewa huo u DC

Tena umenikumbusha kati ya wasanii ambao nimekuwa nawaongelea negative basi hapa mtaiona nafuu ya diamond katika kuwakosoa wasanii

Kipindi cha magufuli ambapo tweeter ilipigwa ban, na kufanya access iwezekane kwa vpn tu, huyu jamaa alijitokeza na ku tweet kuwa watu wanaizushia serikali uwongo kwani yeye ameweza kuingia tweeter bila vpn na kwenda mbali kuwa watu wanafanya hivyo kumchafua magufuli tu

Baada ya hapo zikaja gharama kubwa za mabando, jamaa akasimamia ukucha kuwa wananchi wasilie lie kuhusu bando kwanj sio kitu necessary kama kula, ni jambo linaweza kuepukika tu kuliko kuisumbua serikali kuhusu kupunguziwa gharama za bando

Haya akaja tena kwenye tozo akaongea ujinga kibao just kuwa upande wa serikali

Sio huyo tu, hadi masanja naye ni wa type hiyo hiyo na anasemwa sana.

Lakini utofauti unavyokuja tukiwasema hawa hatutajwi kama watu wenye wivu wa mafanikio ya hao watu au haters kwasababu nikki wapili hajaweza kuwa na mashabiki wengi wakumtetea kama ilivyo kwa diamond na alikiba kila platfom kuna utimu

Kwa hiyo nasisitiza kuwa diamond kwenye ywezo wa kuimba bado sana, labda kama utanifananishia yule diamond wa "utanipenda" lakini huku kwa nyegezi ni ujinga na aibu kukubaliana na hoja hiyo kuwa mwana anaimba vizuri
Ubishi uishe, diamond hauji kuimba.

Anza kuimba we unaejua
 
Alichosema Wakaazi ni ukweli mtupu ila watampinga sana na maneno kibao lakini hana cha kutisha Diamond.
Unaweza kuwa wa kwanza ktk darasa lenu shule ya msingi MSAMBWANDA SEC SCHOOL lakini ukipelekwa ktk mashindano ktk shule ELIMU NI UFUNGUO SEC SCHOOL ukajipata wa mwisho kila mtihani.
Tuchukulie mfano Christian Bella angeibuka na kujutana na kina Alli Choki, Mwijuma Muumini huku Banza stone angeonekania wapi?
Huna akili
 
Long,short story saw diamond hajui kuimba.

Leta msanii unaemkubali anajua kuimba bongo na EA mwnye tuzo,hit,fan base, streams na kufanya show majukwaa makubwa Zaid ya mondi...

Ukiweza hapo kweli mondi hajui kuimba.
Mr Nice na diamond wako sawa mkuu usiwe na hype
 
Wakazi ni miongoni mwa wasanii wasio na vipaji kabisa kuwahi kutokea katika nchii hii ila kutokana na exposure aliyo nayo kuanzia kwenye familia hivyo amejikuta anasikilizwa akiongea jambo. Diamond kafanya jambo ambalo limewashinda wasanii wengi duniani. Jambo lenyewe ni kufanya biashara ya muziki. Diamond kachanganya ujasiriamali na kipaji chake ndo leo hii tunamuona ni msanii milionea ambaye automatically wasanii wengi walio nyuma kimaendeleo lazima watamletea zengwe.

P Diddy, Snoop dogg, Dr Dre na Master P hawajawahi kuwa wasanii walioshika namba moja ila tunavyoongea ni miongoni mwa wasanii matajiri zaidi duniani baada ya kujiongeza kwenye biashara ya muziki na nyinginezo. Hata hapo Congo kuna wasanii wanajua kuimba kuliko Koffi Olomide ila kutokana na akili nyingi za kibiashara yule mzee hadi leo anakimbiza kuliko hao wenye vipaji.
 
Back
Top Bottom