Wakazi wa Ashkelon na Sderot ndani ya Israel wasema Hamas hawawezekani

Wakazi wa Ashkelon na Sderot ndani ya Israel wasema Hamas hawawezekani

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
1702048401333.png
Sauti za mamia ya maroketi kutoka Gaza kila siku na miripuko angani ya Iron dome zinazojaribu kuyaharibu angani zimewakera sana wakazi wa miji ya Ashkelon na Sderot ambayo iko jirani na Gaza.

Hali hizo ambazo zinaendelea baada jeshi la Israel kuingia Gaza na baada ya kurejelewa kwa vita zimewafanya wakazi hao kusema wanaamini Hamas hawawezi kushindwa kwa njia ya vita na wakaitaka serikali ya Benjamin Netanyahu itiliane saini na wapiganaji wa Hamas ili amani ipatikane na wao warudi majumbani mwao.

Kwa sasa wakazi wa miji hiyo wanaokaribia laki moja wamesambazwa kwenye mahoteli zaidi ya 100 kwenye miji mbali mbali ya nchi hiyo maeneo ya katikati.

Wakazi hao wamesema wanatamani warudi makwao ili watoto wao walale vizuri na kuogolea kwenye mabwawa ya nyumba hizo lakini kwa sasa hawawezi kurudi hata wakipewa fursa ya kufanya hivyo kwa hofu ya kudondokewa na maroketi au mabaki yaliyoripuliwa angani.

In Israeli border town, rockets an audible reminder Hamas is unbeaten

 
View attachment 2836808Sauti za mamia ya maroketi kutoka Gaza kila siku na miripuko angani ya Iron dome zinazojaribu kuyaharibu angani zimewakera sana wakazi wa miji ya Ashkelon na Sderot ambayo iko jirani na Gaza.

Hali hizo ambazo zinaendelea baada jeshi la Israel kuingia Gaza na baada ya kurejelewa kwa vita zimewafanya wakazi hao kusema wanaamini Hamas hawawezi kushindwa kwa njia ya vita na wakaitaka serikali ya Benjamin Netanyahu itiliane saini na wapiganaji wa Hamas ili amani ipatikane na wao warudi majumbani mwao.

Kwa sasa wakazi wa miji hiyo wanaokaribia laki moja wamesambazwa kwenye mahoteli zaidi ya 100 kwenye miji mbali mbali ya nchi hiyo maeneo ya katikati.

Wakazi hao wamesema wanatamani warudi makwao ili watoto wao walale vizuri na kuogolea kwenye mabwawa ya nyumba hizo lakini kwa sasa hawawezi kurudi hata wakipewa fursa ya kufanya hivyo kwa hofu ya kudondokewa na maroketi au mabaki yaliyoripuliwa angani.

In Israeli border town, rockets an audible reminder Hamas is unbeaten

Wanapojibiwa msisahau kuwa walikuwa wanapiga ndan ya Israel
 
Mkuu ninachojiuliza kwanini hawa watu wanaua na kutesa na kutweza utu wa wapalestina ilhali wao hawana la kufanya?
Yaani wananchi wa israel kusema tu HAMAS hawawezekani sioni ni jambo la kufurahia wakati mamia wanateseka!

Mkuu huoni kwamba mizani haipo sawa yaani makazi yanaharibiwa, miundombinu, raia wasio na hatia wanakufa halafu hakuna response yoyote kwa upande wa pili?

Ifike mahala wakubaliane hii vita kuisha
Wanaoumia ni watu wasiohusika kabisa.
 
Israeli haiko tayari kufanya mapatano ambayo yataifanya ipoteze maeneo yake! Hiki ndicho kinachofanya isiiwe na choice nyingine zaidi ya kupigana mpaka kieleweke!
 
View attachment 2836808Sauti za mamia ya maroketi kutoka Gaza kila siku na miripuko angani ya Iron dome zinazojaribu kuyaharibu angani zimewakera sana wakazi wa miji ya Ashkelon na Sderot ambayo iko jirani na Gaza.

Hali hizo ambazo zinaendelea baada jeshi la Israel kuingia Gaza na baada ya kurejelewa kwa vita zimewafanya wakazi hao kusema wanaamini Hamas hawawezi kushindwa kwa njia ya vita na wakaitaka serikali ya Benjamin Netanyahu itiliane saini na wapiganaji wa Hamas ili amani ipatikane na wao warudi majumbani mwao.

Kwa sasa wakazi wa miji hiyo wanaokaribia laki moja wamesambazwa kwenye mahoteli zaidi ya 100 kwenye miji mbali mbali ya nchi hiyo maeneo ya katikati.

Wakazi hao wamesema wanatamani warudi makwao ili watoto wao walale vizuri na kuogolea kwenye mabwawa ya nyumba hizo lakini kwa sasa hawawezi kurudi hata wakipewa fursa ya kufanya hivyo kwa hofu ya kudondokewa na maroketi au mabaki yaliyoripuliwa angani.

In Israeli border town, rockets an audible reminder Hamas is unbeaten

Wazayuni watiwe kiberiti
 
Mkuu ninachojiuliza kwanini hawa watu wanaua na kutesa na kutweza utu wa wapalestina ilhali wao hawana la kufanya?
Yaani wananchi wa israel kusema tu HAMAS hawawezekani sioni ni jambo la kufurahia wakati mamia wanateseka!

Mkuu huoni kwamba mizani haipo sawa yaani makazi yanaharibiwa, miundombinu, raia wasio na hatia wanakufa halafu hakuna response yoyote kwa upande wa pili?

Ifike mahala wakubaliane hii vita kuisha
Wanaoumia ni watu wasiohusika kabisa.
Solution imetolewa palestina apewe taifa lake muisraeli hataki sasa hapo unafanyaje?
 
Israeli haiko tayari kufanya mapatano ambayo yataifanya ipoteze maeneo yake! Hiki ndicho kinachofanya isiiwe na choice nyingine zaidi ya kupigana mpaka kieleweke!
Two states solution
Mara hii mpaka israhell wateme bungo mbwa hawa
 
View attachment 2836808Sauti za mamia ya maroketi kutoka Gaza kila siku na miripuko angani ya Iron dome zinazojaribu kuyaharibu angani zimewakera sana wakazi wa miji ya Ashkelon na Sderot ambayo iko jirani na Gaza.

Hali hizo ambazo zinaendelea baada jeshi la Israel kuingia Gaza na baada ya kurejelewa kwa vita zimewafanya wakazi hao kusema wanaamini Hamas hawawezi kushindwa kwa njia ya vita na wakaitaka serikali ya Benjamin Netanyahu itiliane saini na wapiganaji wa Hamas ili amani ipatikane na wao warudi majumbani mwao.

Kwa sasa wakazi wa miji hiyo wanaokaribia laki moja wamesambazwa kwenye mahoteli zaidi ya 100 kwenye miji mbali mbali ya nchi hiyo maeneo ya katikati.

Wakazi hao wamesema wanatamani warudi makwao ili watoto wao walale vizuri na kuogolea kwenye mabwawa ya nyumba hizo lakini kwa sasa hawawezi kurudi hata wakipewa fursa ya kufanya hivyo kwa hofu ya kudondokewa na maroketi au mabaki yaliyoripuliwa angani.

In Israeli border town, rockets an audible reminder Hamas is unbeaten

Unatuonyesha moshi wa makombora yaliotunguliwa?? mji uko salama Israel sio Tanzania yako hii
 
BREAKING | Israeli media: 40 injured Israeli soldiers were transferred from the Gaza Strip to Soroka Hospital in southern Palestine in the past 24 hours alone.
 
BREAKING | Israeli media: 40 injured Israeli soldiers were transferred from the Gaza Strip to Soroka Hospital in southern Palestine in the past 24 hours alone.
Hii ni baada ya miezi 2 ya vita.
Mwanzoni mwa vita hakukua na maafa kwa IDF.
 
BREAKING | Israeli media: 40 injured Israeli soldiers were transferred from the Gaza Strip to Soroka Hospital in southern Palestine in the past 24 hours alone.
Hapa ukweli nikwamba walojeruhiwa [emoji817]+ na waliokufa ni 50+
Israhell hawajawahi kutoa takwimu sawa hata siku moja
Yaani wao wakipigwa wanapunguza idadi wakipiga wenzao wanaongeza idadi
Idf hii ndio iliopigana na nchi saba sijui tisa kwa siku sita tuuu
Au kuna idf mbili!!!??
 
Hapa ukweli nikwamba walojeruhiwa [emoji817]+ na waliokufa ni 50+
Israhell hawajawahi kutoa takwimu sawa hata siku moja
Yaani wao wakipigwa wanapunguza idadi wakipiga wenzao wanaongeza idadi
Idf hii ndio iliopigana na nchi saba sijui tisa kwa siku sita tuuu
Au kuna idf mbili!!!??
Hahaha hizo story za zamani wakati media zote za kwao sasa hivi watu wanaona kila kitu angalia hapa hawataki mediq zingine zichukue habari.

View: https://x.com/qudsnen/status/1733374135290442182?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Th
Mkuu ninachojiuliza kwanini hawa watu wanaua na kutesa na kutweza utu wa wapalestina ilhali wao hawana la kufanya?
Yaani wananchi wa israel kusema tu HAMAS hawawezekani sioni ni jambo la kufurahia wakati mamia wanateseka!

Mkuu huoni kwamba mizani haipo sawa yaani makazi yanaharibiwa, miundombinu, raia wasio na hatia wanakufa halafu hakuna response yoyote kwa upande wa pili?

Ifike mahala wakubaliane hii vita kuisha
Wanaoumia ni watu wasiohusika kabisa.
Is war of existence no way for Palestine
 
Th

Is war of existence no way for Palestine
I’m not catch up if this is a statment or a question!

Back to the topic, sioni mantiki ya kwanini HAMAS wanashindwa kulinda raia wake wakiacha wanakufa, wanatezwa hili swala linaumiza.

why the same scenario haitokei kwa israel? Kwanini israel inalinda raia wake? Kwanini wao raia si kipaumbele?

Nimeona nyuzi nyingi watu wengi hii vita wamechukua pande kwa dini, mtu anafurahia kusikia raia wa israel wakisema HAMAS hawawezekani at the same time mamia ya watu palestine wakiwa kwenye mateso!

nilikataaga maswala ya kidini sababu kama hizi utaishi kwa kuumia tu, swezi furahia kuona palestine raia wanakufa kwa sababu israel wamefanya hivyo? Swezi furahia kuona HAMAS wakifanya attack sababu nipo upande fulani wa kiimani.

Tazama mijadala mingi ya vita hii utaona imepewa sura ya UDINI

seriously mtu anaongea uzuri kwamba muislamu akifa anaenda kula raha peponi ila mazayuni na wakristo motoni na kwenye usaha!

Ifike mahala itoshe kusema hizi dini walituweza, una justify mtu wa imani na ideology tofauti na yako kufa sababu tu unaamini ataenda sehemu ya ovyo na wewe utaenda sehemu salama.

Hii vita inapaswa kuisha kwa kuanza kuondoa mentality negative kwa watu.
 
Back
Top Bottom