Wakazi wa Dar, ulishawahi kuitwa na kuingia kwenye mfumo wa huyu muuza juice pale Karume?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760

Unatembea zako ghafla unaitwa,


Zinaanza stori "Vipi, bwana habar za siku nyingi, bado unaish pale pale au"... Mda huo huelewi chochote kombe linajazwa juice basi inadhani ni ukarimu

Mnaendelea na story unajua pengine labda mliishi eneo moja huku ukizidi kuvuta picha umkumbuke.

Mwisho wa siku anakwambia "Ahsante kwa kunichangia, hiyo buku tu"

Pia Soma - Jeshi la polisi limebariki huu wizi Kariakoo?
 
View attachment 3063170

vipi, bwana habar za siku nyingi, bado unaish pale pale au....hebu pooza koo (unapewa juice)..
Dah oya mimi nikajuaga inanikutaga mimi tu, amenifanyia mara mbili mara ya mwisho nilikua na jamaa yangu juice mbaya kinyama sijui maji ya mtaroni alafu buku glasi, jamaa anajifanya kama anakufahamu mliishaonana huku anakupa juice unywe yupo na toroli kajaza jaba la juice
 
Mtakuja kulishwa sumu..yaani unaanzaje kunywa/kula kwa stranger?
 
Siishi Dar ila hizo juice zake nilikataa kunywa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…