Wakazi wa eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro wawasili Handeni, Tanga

Wakazi wa eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro wawasili Handeni, Tanga

Joined
Jun 4, 2022
Posts
68
Reaction score
184

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Mhe. Dkt Pindi Chana akiwakaribisha wananchi waliohama kwa Hiari kupisha shughuli za uhifadhi katika Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.

Leo Juni 16, 2022 Kaya takribani 20 zimewasili katika kijiji cha Msomera kilichopo Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga eneo lililotengwa na Serikali.

=====

MAWAZIRI, Innocent Bashungwa (Tamisemi), Balozi Pindi Chana (Maliasili na Utalii na Utalii), Jumaa Aweso (Maji), na Naibu Waziri Ridhiwani Kikwete wamejumuika kupokea kaya 20 kati ya 290 zilizowasili Msomera, Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga baada ya kuamua kuondoka kwa hiyari katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha.

Kaya hizo zimewasili kwa kusafirishwa na Serikali ikiwa ni awamu ya kwanza na kuanza makazi mapya katika eneo la Msomera ili kupisha shughuli za uhifadhi katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.

Waziri Bashungwa amesema, tayari Serikali imeweka mazingira mazuri kwa ajili yao ambapo Serikali ilileta Sh milioni 400 kujenga shule mpya za msingi na sekondari na bweni moja katika Kata ya Misima ndani ya Kijiji cha Msomera ambazo zimekamilika ili wanafunzi wasitembee mwendo mrefu kupata masomo ya elimu ya msingi na sekondari.

Serikali imetoa Sh milioni 500 kuanza ujenzi wa kituo cha afya Msomera ambao unaendelea na Sh milioni 50 kwa ajili ya kupanua na kuboresha huduma za afya katika zahanati ya Kijiji cha Msomera katika kata ya Misima Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga kinachotoa huduma kwa wananchi wasiopungua 10,000.
IMG_20220617_024530_559.jpg
IMG_20220617_024533_641.jpg
IMG_20220617_024536_283.jpg
IMG_20220617_024539_133.jpg
IMG_20220617_024541_641.jpg
IMG_20220617_024544_700.jpg
IMG_20220617_024547_224.jpg
20220617_030451.jpg
20220617_030522.jpg
20220617_030541.jpg
20220617_030619.jpg
20220617_030511.jpg
20220617_030509.jpg
 
Mungu anawaona. Watu wanaofanya maamuzi ya kuonea na kuumiza wengine huwa naona wakistaafu huwa wanaparalyse mwili upande mmoja wanacheza rege hilo kwanza miaka kadhaa kabla ya kufa na kulala mavumbini huku mashangingi waliyoyapenda na kuyatumia kunyanyasia wengine wameyaacha duniani

Maasai ndio mgambo wa asili wa kulinda wanyamapori hadi hao wanaowafurusha leo kukuta hao wanyama! tena wanaowafukuza Maasai mikoa yao haikutunza wala kulinda hata paka!@

Ila labda uhifadhi una faida zaidi kuliko Maasai kwa akili za serikali ndo maana wakamuondoa Vasco da Gama nchini kupisha kichapo cha Maasai
 
Kweli mama Samia ni mpango wa Mungu, maana kila wamchukiao wanavyojitahidi kuzusha kwa nguvu kubwa sana ndivyo wanavyopotea kiurahisi sana.

chuki na uzushi mkubwa kupitiliza wa Kmb eti yeye ni mwarabu wa Oman vimemalizwa kwa tabasamu tu la mama bila hata kutia neno lolote, sana sana na clip tu ya the late jpm iliongea na kutoa 'umbuko/aibu' kuu kwa wenye nia ovu hao
 
View attachment 2263322
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Mhe. Dkt Pindi Chana akiwakaribisha wananchi waliohama kwa Hiari kupisha shughuli za uhifadhi katika Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.

Leo Juni 16, 2022 Kaya takribani 20 zimewasili katika kijiji cha Msomera kilichopo Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga eneo lililotengwa na Serikali.

=====

MAWAZIRI, Innocent Bashungwa (Tamisemi), Balozi Pindi Chana (Maliasili na Utalii na Utalii), Jumaa Aweso (Maji), na Naibu Waziri Ridhiwani Kikwete wamejumuika kupokea kaya 20 kati ya 290 zilizowasili Msomera, Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga baada ya kuamua kuondoka kwa hiyari katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha.

Kaya hizo zimewasili kwa kusafirishwa na Serikali ikiwa ni awamu ya kwanza na kuanza makazi mapya katika eneo la Msomera ili kupisha shughuli za uhifadhi katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.

Waziri Bashungwa amesema, tayari Serikali imeweka mazingira mazuri kwa ajili yao ambapo Serikali ilileta Sh milioni 400 kujenga shule mpya za msingi na sekondari na bweni moja katika Kata ya Misima ndani ya Kijiji cha Msomera ambazo zimekamilika ili wanafunzi wasitembee mwendo mrefu kupata masomo ya elimu ya msingi na sekondari.

Serikali imetoa Sh milioni 500 kuanza ujenzi wa kituo cha afya Msomera ambao unaendelea na Sh milioni 50 kwa ajili ya kupanua na kuboresha huduma za afya katika zahanati ya Kijiji cha Msomera katika kata ya Misima Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga kinachotoa huduma kwa wananchi wasiopungua 10,000.
View attachment 2263328View attachment 2263329View attachment 2263330View attachment 2263331View attachment 2263332View attachment 2263333View attachment 2263334View attachment 2263335View attachment 2263336View attachment 2263337View attachment 2263338View attachment 2263339View attachment 2263340
Mkuu Taifa Digital Forum , kwanza asante sana kwa taarifa hii kuhusu Ngorongoro Wakazi wa eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro wawasili Handeni, Tanga

Pili kwa ruhusa yako, naomba kulitumia bandiko lako hili kama mbolea, kwenda kurutubishia bandiko langu fulani, maana kuona ni kuamini, mkisikia maendeleo ya kweli, ni maendeleo ya watu, sasa haya ndio maendeleo ya kweli ya watu na sio tuu maendeleo ya vitu.
P
 
View attachment 2263322
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Mhe. Dkt Pindi Chana akiwakaribisha wananchi waliohama kwa Hiari kupisha shughuli za uhifadhi katika Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.

Leo Juni 16, 2022 Kaya takribani 20 zimewasili katika kijiji cha Msomera kilichopo Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga eneo lililotengwa na Serikali.

=====

MAWAZIRI, Innocent Bashungwa (Tamisemi), Balozi Pindi Chana (Maliasili na Utalii na Utalii), Jumaa Aweso (Maji), na Naibu Waziri Ridhiwani Kikwete wamejumuika kupokea kaya 20 kati ya 290 zilizowasili Msomera, Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga baada ya kuamua kuondoka kwa hiyari katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha.

Kaya hizo zimewasili kwa kusafirishwa na Serikali ikiwa ni awamu ya kwanza na kuanza makazi mapya katika eneo la Msomera ili kupisha shughuli za uhifadhi katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.

Waziri Bashungwa amesema, tayari Serikali imeweka mazingira mazuri kwa ajili yao ambapo Serikali ilileta Sh milioni 400 kujenga shule mpya za msingi na sekondari na bweni moja katika Kata ya Misima ndani ya Kijiji cha Msomera ambazo zimekamilika ili wanafunzi wasitembee mwendo mrefu kupata masomo ya elimu ya msingi na sekondari.

Serikali imetoa Sh milioni 500 kuanza ujenzi wa kituo cha afya Msomera ambao unaendelea na Sh milioni 50 kwa ajili ya kupanua na kuboresha huduma za afya katika zahanati ya Kijiji cha Msomera katika kata ya Misima Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga kinachotoa huduma kwa wananchi wasiopungua 10,000.
View attachment 2263328View attachment 2263329View attachment 2263330View attachment 2263331View attachment 2263332View attachment 2263333View attachment 2263334View attachment 2263335View attachment 2263336View attachment 2263337View attachment 2263338View attachment 2263339View attachment 2263340
Nawashauri wamasai mliobaki huko ..... changamkieni hii fursa ipo siku mtaikumbuka.Zinakuja siku za kutolewa kwa mbata na rungu nyingi na utajua unakokwenda mwenyewe na manundu kama ya buku ten
 
Wamasai wamesalimu amri. Usifanye mchezo na nguvu ya dola.
 
Nawashauri wamasai mliobaki huko ..... changamkieni hii fursa ipo siku mtaikumbuka.Zinakuja siku za kutolewa kwa mbata na rungu nyingi na utajua unakokwenda mwenyewe na manundu kama ya buku ten
Umesema sahihi. Unakataaje fursa ya kupewa nyumba bora, huduma bora, ardhi kubwa na ya kutosha kwa shughuli za ufugaji, na fidia juu. Wazee wetu walihamishwa wakati wa operation vijijini bila hata senti bila nyumba bora.
 
View attachment 2263322
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Mhe. Dkt Pindi Chana akiwakaribisha wananchi waliohama kwa Hiari kupisha shughuli za uhifadhi katika Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.

Leo Juni 16, 2022 Kaya takribani 20 zimewasili katika kijiji cha Msomera kilichopo Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga eneo lililotengwa na Serikali.

=====

MAWAZIRI, Innocent Bashungwa (Tamisemi), Balozi Pindi Chana (Maliasili na Utalii na Utalii), Jumaa Aweso (Maji), na Naibu Waziri Ridhiwani Kikwete wamejumuika kupokea kaya 20 kati ya 290 zilizowasili Msomera, Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga baada ya kuamua kuondoka kwa hiyari katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha.

Kaya hizo zimewasili kwa kusafirishwa na Serikali ikiwa ni awamu ya kwanza na kuanza makazi mapya katika eneo la Msomera ili kupisha shughuli za uhifadhi katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.

Waziri Bashungwa amesema, tayari Serikali imeweka mazingira mazuri kwa ajili yao ambapo Serikali ilileta Sh milioni 400 kujenga shule mpya za msingi na sekondari na bweni moja katika Kata ya Misima ndani ya Kijiji cha Msomera ambazo zimekamilika ili wanafunzi wasitembee mwendo mrefu kupata masomo ya elimu ya msingi na sekondari.

Serikali imetoa Sh milioni 500 kuanza ujenzi wa kituo cha afya Msomera ambao unaendelea na Sh milioni 50 kwa ajili ya kupanua na kuboresha huduma za afya katika zahanati ya Kijiji cha Msomera katika kata ya Misima Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga kinachotoa huduma kwa wananchi wasiopungua 10,000.
View attachment 2263328View attachment 2263329View attachment 2263330View attachment 2263331View attachment 2263332View attachment 2263333View attachment 2263334View attachment 2263335View attachment 2263336View attachment 2263337View attachment 2263338View attachment 2263339View attachment 2263340
safi sana wamaasai niwapongeze kwa maamuzi yenu kwa maslahi mapana ya taifa lenu,wapuzeni wanasisa uchwara na wanaharakati ambao wako kwa maslahi yao binafsi pia naiomba serikali yetu iwasafirishie mifugo yenu salama na maisha yaendelee.
 
Wakazi wa ngorongoro wamepanda coaster na wametosha !
Coaster au macoaster? Ina maana hizo coasters zote huzioni.. na malori je? Inasikitisha sana kuona baadhi ya vijana wakitumia harakati za siasa uchwara, na majitaka katika swala linalohusu taifa. Naipongeza serikali yetu kwa kuwapiga spana wakenya na vibaraka wao waliokuwa wanatuma ardhi yetu kwa manufaa yao.
 
Mungu anawaona. Watu wanaofanya maamuzi ya kuonea na kuumiza wengine huwa naona wakistaafu huwa wanaparalyse mwili upande mmoja wanacheza rege hilo kwanza miaka kadhaa kabla ya kufa na kulala mavumbini huku mashangingi waliyoyapenda na kuyatumia kunyanyasia wengine wameyaacha duniani

Maasai ndio mgambo wa asili wa kulinda wanyamapori hadi hao wanaowafurusha leo kukuta hao wanyama! tena wanaowafukuza Maasai mikoa yao haikutunza wala kulinda hata paka!@

Ila labda uhifadhi una faida zaidi kuliko Maasai kwa akili za serikali ndo maana wakamuondoa Vasco da Gama nchini kupisha kichapo cha Maasai
Manyang'au mnaumia sana, baada ya kugundua kuwa sasa hivi mtakosa sehem ya kwenda kulisha mifugo yenu na kulima mazao yenu. Si mlizoea kujichanganya katika kundi la wamasai wa Tanzania mkijifanya na nyie watanzania, sasa mambo yamebadilika, hakuna tena ardhi itayofanywa shamba la bibi hapa Tanzania. Tunaanza na Arusha baadae tutaelekea ngara huko mkoani Kagera kuwafurusha mamluki wote waliojipenyeza nchini kwetu kutokea nchi jirani.
 
Mana miaka mingapi mnadai na mpaka sasa mmefanikisha nini..zaidi ya projo kuwahadaa wananchi wenu huku mkilamba asali ya Tanganyika

#MaendeleoHayanaChama
Algeria ilipigania uhuru wake miaka 140 mpaka wakaupata. Usihesabu miaka, angalia harakati.
 
Back
Top Bottom