Wakazi wa eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro wawasili Handeni, Tanga

Wakazi wa eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro wawasili Handeni, Tanga

Wamasai wamesalimu amri. Usifanye mchezo na nguvu ya dola.
Hakuna mtu anaependa kuishi maisha ya tabu. Hata ingekuwa ww usingekataa kwenda kuishi katika nyumba nzuri namna hii. Wale wanaokataa kuhama wengi wao ni wamasai wenye asili ya Kenya. Wanajua wakienda kuishi mbali na mpaka wa nchi yao, itakuwa rahisi kuwagundua. Na pia ile style ya kuvusha mifugo yao kutoka Kenya kuja Tanzania kufata majani itakuwa imekufa kifo cha mende.
 
Ni kwa nini wapokelewe na mawaziri wengi kiasi hicho hili jambo ni natural kweli?
 
Ni kwa nini wapokelewe na mawaziri wengi kiasi hicho hili jambo ni natural kweli?
Kwa kiuchumi wa mkoa,hili ni jambo kubwa.Uchumi wa Kata,Tarafa,Wilaya,Mkoa,unaongezeka,wafugaji,wakulima,wafanyabiashara wanaongezeka.Wananchi wa mkoa wa Tanga,wamepata bahati.
 
Tunawapongeza wamasai kwa uzalendo waliouonyesha na huo ndio utanzania ukarimu, upendo na usikivu bado waendelee kutowasikiliza wenye nia mbaya na Tanzania na hifadhi ya ngorongoro.
 
kwa kipigo hiki lazima ukubali tu maana hakuna namna
 

Attachments

  • E9943846-018D-4C43-9AC3-69F4D52C6145.jpeg
    E9943846-018D-4C43-9AC3-69F4D52C6145.jpeg
    71.5 KB · Views: 4
Mifugo nayo imewasili? Naona maccm nayo yameshajichomeka
 
Kweli mama Samia ni mpango wa Mungu, maana kila wamchukiao wanavyojitahidi kuzusha kwa nguvu kubwa sana ndivyo wanavyopotea kiurahisi sana.

chuki na uzushi mkubwa kupitiliza wa Kmb eti yeye ni mwarabu wa Oman vimemalizwa kwa tabasamu tu la mama bila hata kutia neno lolote, sana sana na clip tu ya the late jpm iliongea na kutoa 'umbuko/aibu' kuu kwa wenye nia ovu hao
mwisho wa chuki ni aibu.
chuki chuki za kijinga hazina maana ktk maisha haya ya dunia.
chuki, unafiki na uzandiki kutaka kumkwamisha Mama ndio kinacho wasumbia baadhi ya wachawi.
 
Mtu anatolewa kwenye kwenye nyumba ya udongo anapewa nyumba nzuri ya kisasa alafu unasema anaonewa?? kweli chizi wewe, rudi kwenu Kenya
Mungu anawaona. Watu wanaofanya maamuzi ya kuonea na kuumiza wengine huwa naona wakistaafu huwa wanaparalyse mwili upande mmoja wanacheza rege hilo kwanza miaka kadhaa kabla ya kufa na kulala mavumbini huku mashangingi waliyoyapenda na kuyatumia kunyanyasia wengine wameyaacha duniani

Maasai ndio mgambo wa asili wa kulinda wanyamapori hadi hao wanaowafurusha leo kukuta hao wanyama! tena wanaowafukuza Maasai mikoa yao haikutunza wala kulinda hata paka!@

Ila labda uhifadhi una faida zaidi kuliko Maasai kwa akili za serikali ndo maana wakamuondoa Vasco da Gama nchini kupisha kichapo cha Maasai
 
Mbana hawafanani na wamaasai wa Ngorongoro.
 
mwisho wa chuki ni aibu.
chuki chuki za kijinga hazina maana ktk maisha haya ya dunia.
chuki, unafiki na uzandiki kutaka kumkwamisha Mama ndio kinacho wasumbia baadhi ya wachawi.
Aisee ni kweli kabisa!
 
Serikali ya awamu 6 ni Serikali inayo tumia akili zaidi sio ubabe wala nguvu, inaheshimu utawala wa sheria na Haki za binaadamu.
 
Muda si mrefu wamasai wataanza kuwa waganga wa kienyeji kupiga ramli na tunguli na kuacha kuuza dawa za asili....

Mara paap Mmasai kaanguka na ungo akielekea Zanzibar....
 
Back
Top Bottom