N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Migodi ya wachimbaji wadogo wa dhahabu Itumbi Chunya Mbeya ni mingi zaidi ya wachimbaji wadogo na kati 5000 tupo eneo hili, ila tuna changamoto kubwa ya kukosekana kwa barabara ya lami.
Tafadhali serikali mtuwekee lami huku ili biashara yetu ya madini iwe rahisi. Tunazalisha sana madini huku ila kukosa lami kunatukosesha fursa nyingi na kukwaza maendeleo ya sekta hii.
Pia tunaomba mawasiliano ya simu huku yako duni sana hatupati mitandao pendwa hapa Itumbi hasa VODACOM AIRTEL NA TIGO...Halotel yupo kwa mbali lakini kwa mashaka.......hapa pamoja na familia zetu tupo zaidi ya watu 20,000 kutopata mawasiliano ya uhakika sio sawa.
Tafadhali serikali mtuwekee lami huku ili biashara yetu ya madini iwe rahisi. Tunazalisha sana madini huku ila kukosa lami kunatukosesha fursa nyingi na kukwaza maendeleo ya sekta hii.
Pia tunaomba mawasiliano ya simu huku yako duni sana hatupati mitandao pendwa hapa Itumbi hasa VODACOM AIRTEL NA TIGO...Halotel yupo kwa mbali lakini kwa mashaka.......hapa pamoja na familia zetu tupo zaidi ya watu 20,000 kutopata mawasiliano ya uhakika sio sawa.