kombelo la mfalme daudi
Member
- Apr 1, 2023
- 12
- 9
Mheshimiwa Rais mama yetu mpendwa. Wakazi wa Kipunguni Dar salaam ambao tuliteseka Zaid ya miaka 20 mwaka huu tumefanyiwa tathimini ya majengo na ardhi. Tunasubiri malipo.
Lakini tunaona siasa zimeanza maana mpaka Sasa bado hatujajua lini tutalipwa. Ingawa mmbunge wetu Segerea Bona Kimori akiendelea kutupigania.
Lakini SERIKARI haitaki kusema inatulipa lini. Tunateseka ktk Nchi yetu. Tunaomba msaada wako. Hapo useme kitu watakusikia asante
Lakini tunaona siasa zimeanza maana mpaka Sasa bado hatujajua lini tutalipwa. Ingawa mmbunge wetu Segerea Bona Kimori akiendelea kutupigania.
Lakini SERIKARI haitaki kusema inatulipa lini. Tunateseka ktk Nchi yetu. Tunaomba msaada wako. Hapo useme kitu watakusikia asante