Wakazi wa Madale wapatwa na taharuki baada ya kuvamiwa na Nyati wa Porini

Wakazi wa Madale wapatwa na taharuki baada ya kuvamiwa na Nyati wa Porini

Wakazi wa Madale wa jijini Dar-es-salaam wakumbwa na taharuki na wngine kukimbia makazi yao baada ya kuvamiwa na nyati ambaye hajulikani alipotoka.

Nyati huyo amejeruhi watu na baadhi ya mifugo...Kikosi kazi cha Ant-robbery cha mabwepande wamefika haraka na kumuua nyati huyo.

Kiongozi wa kikosi amesema nyati huyo ni jike hivyo kuna uwezekano wa kuwa na nyati dume maeneo hayo ya madale.

View attachment 1546056
Huyo nyati alikuwa anawalazimisha watu watoe rushwa?
 
Back
Top Bottom