Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
- Thread starter
- #161
Kabisa atakuwa ni serval.Inaweza kuwa alikuwa serval cat.....wahuni humuuza kama chui......just incase chui hakuonekana.........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa atakuwa ni serval.Inaweza kuwa alikuwa serval cat.....wahuni humuuza kama chui......just incase chui hakuonekana.........
Huyo nyati alikuwa anawalazimisha watu watoe rushwa?Wakazi wa Madale wa jijini Dar-es-salaam wakumbwa na taharuki na wngine kukimbia makazi yao baada ya kuvamiwa na nyati ambaye hajulikani alipotoka.
Nyati huyo amejeruhi watu na baadhi ya mifugo...Kikosi kazi cha Ant-robbery cha mabwepande wamefika haraka na kumuua nyati huyo.
Kiongozi wa kikosi amesema nyati huyo ni jike hivyo kuna uwezekano wa kuwa na nyati dume maeneo hayo ya madale.
View attachment 1546056