Wakazi wa Madale wapatwa na taharuki baada ya kuvamiwa na Nyati wa Porini

Wakazi wa Madale wapatwa na taharuki baada ya kuvamiwa na Nyati wa Porini

huo ni uonevu hasa kwa familia ya huyo nyati

mbona simba wa madale hawamwogopi?
 
Nilivyoona tu kuna Mnyama Pori kaonekana nikajua ufumbuzi pekee walionao Watu wetu ni kumuua.

Hivi hawa Maofisa wa Wanyama Pori huwa hawana kabisa mafunzo ya kukamata Wanyama walioingia kwenye makazi ya Watu?. yaani kuua iwe ni hatua ya mwisho?.
Waliouwa sio watu wa wanyamapori ndg. Ni wale jamaa wenye defender wanaozunguka mitaani kisaka vibaka na majambazi
 
Yote yanawezekana. Ila hayo maeneo kuna mapori sana.wala si jambo la kushangaza kuona wanyama pori..
Mbaya asije kutokea simba au chui itakuwa habari nyingine

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
alitokea kicheche watu wakasema ni tiger[emoji197][emoji197][emoji38][emoji38][emoji38]

wakataka kuhama mkoa kabisa.
 
Yote yanawezekana. Ila hayo maeneo kuna mapori sana.wala si jambo la kushangaza kuona wanyama pori..
Mbaya asije kutokea simba au chui itakuwa habari nyingine

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Kabisa ni hatari sana,inabidi waziri wa ardhi na makazi atoe tamko watu waondoa mapori DSM ,atoe tamko la mwezi kama hawajavyeka na kuendeleza wanyang'anywe.
 
Alafu nilichogundua bado kuna watu wengi wanatatizo la kutambua aina za wanyama pori,huyu mama baada ya kudondokea pembeni kanyanyuka anasema amepigwa push na ng'ombe,
Kweli ni issue hiyo,huwa aangalii channel za wanyama nini? NYATI anajulikana kabisa kichwa/sura na mapembe yalivyokaa tofauti kabisa na Ng'ombe original.
 
Hayo mambo raia tumeshalalamika sana lakini wapi.
Mtu mmoja ana miliki heka 300 na kuendelea..
Ngoja pale msitu wa pande siku waamue kuuondoa uone wanyama watakao toka pale tutakimbiana
Kabisa ni hatari sana,inabidi waziri wa ardhi na makazi atoe tamko watu waondoa mapori DSM ,atoe tamko la mwezi kama hawajavyeka na kuendeleza wanyang'anywe.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Hayo mambo raia tumeshalalamika sana lakini wapi.
Mtu mmoja ana miliki heka 300 na kuendelea..
Ngoja pale msitu wa pande siku waamue kuuondoa uone wanyama watakao toka pale tutakimbiana

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Inatisha kweli inabidi lile pori basi walizungushie fensi kama walivyofanya milerani kama limetoa hadi NYATI kuna possibility ya kuwa na wanyama wengine wakali.
 
Alafu nilichogundua bado kuna watu wengi wanatatizo la kutambua aina za wanyama pori,huyu mama baada ya kudondokea pembeni kanyanyuka anasema amepigwa push na ng'ombe,
[emoji3] [emoji3] [emoji3] eti ng'ombe
 
Sasa kapigwa risasi kwa kosa lipi? Kwanin isingetumika njia nzr kumrudisha au angepigwa risasi asizi then wahusika waje kufanya namna ya kumrudisha anakostail..
Wewe unamjua vizuri nyati au unamsikia tuu. Kwa sisi tuliozaliwa kwenye maneno ya karibu na hifadhi za taifa tunaujua mziki wa nyati. Ana hasira mpaka machozi yanamtoka.
 
Tatizo ni kutokiwepo kwa kikosi cha wanyamapori. Hao anti robbery akilli zao zipo kukaba kaba tu ndo wamefikiria kumuua nyati na sio kumkamata na kumkabidhi kwa kikosi cha wanyamapori
Hata hao maliasili hawana tofauti, kuna boko aliwahi kutoroka hifadhini maeneo ya Morogoro kilichomkuta ni kupigwa risasi, tukio la pili ni nyani waliwahi kumwokota mtoto aliyekuwa katupwa jalalani, hawa nyani wakawa wanamlea, ila baadae ndio baadae ikagundilika ni binadamu, katika zoezi la kuwanyang'anya huyo mtoto nyani walilianzisha, kilichoamua matokeo ni nyani kupigwa risasi. Kwa matukio hayo ni wazi hawa askari hawana tofauti.
 
Inatokeaga wanaua mnyama kama huyo ni hatari kumrudisha adi porini alikotoka na hayuko katika kundi, ivi unajua mziki wa Buffalo kweli?
Huwa wanapigwa sindano za kuwatuliza (trangulizers) na ujeuri wote unakata, kwani wanatibiwa vipi?
 
wewe mtaalam wa mtandaoni, nyati katinga kwenye makazi ya watu na ameshasababisha hasara na madhara kadhaa kwa mifugo, askari wa wanayamapori wana kambi gani dsm hapa!!!! si wanaishi porini kwenye wanyama huko??

igetokea ameua mtu, ungekuwa wakwanza kuuliza polisi wanaowahi mikutano ya tundu lissu walikuwa wapi mpaka anaua watu!!!!
Ndugu yangu watu kila kitu siasa. Nyati sio mnyama wa mzaha... hana urafiki kabisa. Kule Ngorongoro kesi za nyati kujeruhi masai ni nyingi sana... bora Simba kuliko Nyati. Wasingemuwahi angeleta madhara makubwa ikiwamo vifo.
 
Back
Top Bottom