Wamekosa woteEeh kwa hiyo walivyochoma ndiyo wamepata faida?
Hamjajifunza kutokana na zao la korosho nyinyi CCM ni kizazi cha nyoka.🙊🙊🙊
Wamekosa wote
Hamjajifunza kutokana na zao la korosho nyinyi CCM ni kizazi cha nyoka.
Jambo la msingi ni kukaa mezani na kukubaliana nini kufanyika. Huu ubabe ndiyo umesababisha tumebaki masikini licha ya ardhi tuliyonayo.na mwakani watachoma tena.
Hiyo issue yawezekana kuna yaliyojificha humo.Wamekosa wote
Wewe kila sehemu ni CCMCCM haikuwahi kumsaidia mnyonge.
Hahaha