Wakazi wa Magamba Songwe wachoma mazao yao ya ufuta mashambani mwao kupinga agizo la Mkuu wa Wilaya ya kutaka wauze kwa mfumo wa stakabadhi ghalani

Wakazi wa Magamba Songwe wachoma mazao yao ya ufuta mashambani mwao kupinga agizo la Mkuu wa Wilaya ya kutaka wauze kwa mfumo wa stakabadhi ghalani

Hakuna msukuma atakueleza choroko ni zao la biashara hayupo au haufahamu kama zinaitwa Bhunduru huko usukumani
Naona Kama unahamisha magoli
Wasukuma almasi walikua wanachezea gololi itakua hizo choroko?
Nachotaka uelewe ni kwamba,zao kwenu linaweza kuonekana halina thamani,lakini nchi za watu wanalitaka kwa udi na uvumba
 
Yale yale ya korosho serikal inakosea kabisa haipaswi kuingilia uuzwaji wa mazao wakati haijachangia hata mbolea hii haikubarki. Mtu hawezi lima shamba lake kwa hela zake halafu mje tu kumpangia kwenye mauzo mnajuae ni kiasi gani ametaabika na kugharamika?
Uhuru kwa
Mkulima


Ova.
 
Muhimu ni elimu ya kutosha tu
Warehouse receipts ndio njia Bora kuliko zote inayomuhakikishia mkulima kuwa na fedha mpaka off season
Tatizo ni madalali na wafanya biashara wanawaharibu akili wakulima kwa kuwaletea pesa kiduchu mazao yakiwa bado hata kupevuka
Mfumo mzuri siyo maneno na kwenye makaratasi bali vitendo. Kama mtu halipwi pesa yake kwa wakati unafikiri atautaka huo mfumo wakati dalali anamlipa hapohapo.
 
Wakazi wa Magamba Songwe wachoma mazao yao ya ufuta mashambani mwao kupinga agizo la mkuu wa wilaya ya kutaka wauze kwa mfumo wa stakabadhi ghalani ambao wanasema hauna faida kwao

SOURCE : channel 10 taarifa ya habari
Bila shaka Hapo walipochoma ndio watakua wamepata faida .
Kwako
Mwalim kashasha , nauliza .

Hizi ni akili au matope ?
 
Mfumo mzuri siyo maneno na kwenye makaratasi bali vitendo. Kama mtu halipwi pesa yake kwa wakati unafikiri atautaka huo mfumo wakati dalali anamlipa hapohapo.
Ushawahi kutumia wherehouse receipt au unausikia?
 
wasiishie hapo wakachome na ya huyo bwege anayejiita mkuu wa wilaya heshima itarudi
 
Back
Top Bottom