Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ibariki SongweWakazi wa Magamba Songwe wachoma mazao yao ya ufuta mashambani mwao kupinga agizo la mkuu wa wilaya ya kutaka wauze kwa mfumo wa stakabadhi ghalani ambao wanasema hauna faida kwao
SOURCE : channel 10 taarifa ya habari
There must be a dark story behind the barsHiyo issue yawezekana kuna yaliyojificha humo.
Tatiga mgaka[emoji23][emoji23]Vita n vita muraaa
Sijui lini tutapata chama mbadalaCCM haikuwahi kumsaidia mnyonge.
Bora tukose wote hiyo
Ova
Ko hyo hadithi inatokana na kaka zako au!!?
Yaani jamaa kila sehemu utakayomkuta anailaumu CCM.Hahaha
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23]Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Tueleze ,tatizo lake ni nini!?Wamefanya vyema! Stakabadhi ghalani isikie tu.
Teh teh...Kuna jamaa walimkamata na nyavu ziwani wakajisahau wakamweka karibu na nyavu zake eti ni kidhibiti na hapo ilikua wamemuomba rushwa wamekosa walifika sehemu jamaa akazitosa nyavu. Wakaanza umetupa ushahidi akawageuka kawaambia mimi mmenipa lift huo ushahidi mimi siujui wakamtosa ziwani wakajua atakufa akapiga mbizi kaendelea na mishe nyingine “ Bora nyote mkose hawa jamaa huo mfumo wanamkopa mkulima yaani na wao ni madalari tu
Au Mbaazi...Hamjajifunza kutokana na zao la korosho nyinyi CCM ni kizazi cha nyoka.
Sasa si ndiyo ukweli huo?? Au adanganye??