Wakazi wa Nairobi wanatumia malimao kujikinga na Corona

Wakazi wa Nairobi wanatumia malimao kujikinga na Corona

Wapumbavu wakubwa hawa wamesababisha limao sasa hivi limefikaTsh 700
Wakulima was malimau haswa pande za Eastern wamenufaika sana Wanatengeneza hela vinoma a win win to Kenyans, ama ulitaraji tuangamie mtupiku?
 
Ukitaka utajiri wa chap chap dili na limao, tangawizi na kitunguu saumu kupeleka hapo kenya. Fasta sana hata gari huja -park vizuri mzigo umeshaisha.
Hiyo ndio akili ya mwanabiashara...biashara haina Utaifa.
 
Ndiyo maana limao na ndimu zimeanza kupanda kumbe jirani kaongeza matumizi, kila raheri ila muache kidomo domo kama bakuri la chang'aa
 
Serious mkuu, demand yake ni kubwa sana. Mno yani. Hizo bidhaa zinagombaniwa hatari hapo jirani.
Na kiukweli siku izi Tz kuna minyanya mengine ukiitazama utazani imetoka israel, yaani kuna mimbegu siku izi ya ajabu sana
 
Wakulima was malimau haswa pande za Eastern wamenufaika sana Wanatengeneza hela vinoma a win win to Kenyans, ama ulitaraji tuangamie mtupiku?
Ninyi c munasubiri dawa ya mabwana zenu sisi hata hiyo chanjo ikitoka hatuna haja nayo
 
Hehehe mnachekesha, limau nimekua natumia kila siku asubuhi kabla kula chochote kwa miaka kadhaa sasa hata kabla corona haijaja. Kawaida mimi kwa mafua huwa simezi vidonge na kunywa dawa, na sio mimi tu, huku Kenya tunafahamika sana kwenye kuzingatia sana masuala ya afya.

Nimewaambia mara kadhaa sasa kwamba tukiamua kuficha corona kama nyie inafichika tu, maana hadi sasa miezi yote hii hatujafa wengi, hiki kitu kwa namna moja au nyingine hakikuja na nia ya kutugaragaza Waafrika.

Tatizo ni kwamba Kenya hatuwezi kufuata namna ya mnavyofanya mambo huko ya kiujamaa, ambapo watu milioni 60 mnashikiliwa akili na kiongozi, hata wataalam wote hawana la kusema, sisi tumefundishwa kuhoji, huku rais hawezi akaamka mara moja na kufoka foka kwamba corona imeisha na kuchimba mikwara hataki kuiskia ikitajwa, na kuifanya corona iwe kama gonjwa la aibu kwamba mtu akiumwa inabidi kuwa siri ya ndani.

Wakenya tunaweza tukamvuruga rais Uhuru hadi atamani kuihama nchi, sisi tunataka tuhabarishwe hali kama ilivyo, takwimu zitolewe, tupimwe na tuendelee kuchukua tahadhari. Hili ni tatizo la kisayansi haliwezi kutoweka kwa matamko au hasira za rais.
Hiyo tunaita unakubali kiaina hahah,
Iweje Demand kuongezeka sasa hivi?
Mnakumbuka usingizi kumekucha,
Sisi huku toka Corona imeingia ilikuwa mtu ukienda sokoni unakuja na Mzigo wa maana,
Nakumbuka wakati ule mwezi wa 3 na wa 4 sikutaka mtu atoke home kwaiyo hata sokoni nilienda mwenyewe once kwa wiki aisee, Limau moja ni kama ksh5 hivi, hapo nanunua mzigo wa kutosha na Tangawizi na asali mbichi ya kutosha,
Nakumbuka Vidonge vya Vitamin C viliadimika sana madukani, Ikawa tunakomaa na vyakula vya asili kubust kinga ya mwili, 90% ya Watz praced this dietary intake,
But it worked mzee, we are happier Nation than Ever

Huko Kenya mnasubiri wazungu wawaambie nini cha kufanya hadi leo. Hovyo kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ume make point kidogo yani nakupa 35%, kwanza ningependa kukwambia watu walio shikwa akili yani kama misikule ni nyie wa Kunyaland! Hizi takwimu ambazo zinatoka zimewasaidia nn mpaka sasa maana kama ni system ya more infected countries ambapo mpaka covid-19 imefika Kunyaland hamkupaswa kufuata mbinu hizo hizo za nje ambazo zmeprove failure lakini kwa kuwa hamfikirii mka implement atleast mgetumia mbinu tofauti tungewaona ni watu wa maana so this is what makes us despise 254s. Hold the thought, tuone October itakaaje kwa 254s.
Hehehe mnachekesha, limau nimekua natumia kila siku asubuhi kabla kula chochote kwa miaka kadhaa sasa hata kabla corona haijaja. Kawaida mimi kwa mafua huwa simezi vidonge na kunywa dawa, na sio mimi tu, huku Kenya tunafahamika sana kwenye kuzingatia sana masuala ya afya.

Nimewaambia mara kadhaa sasa kwamba tukiamua kuficha corona kama nyie inafichika tu, maana hadi sasa miezi yote hii hatujafa wengi, hiki kitu kwa namna moja au nyingine hakikuja na nia ya kutugaragaza Waafrika.

Tatizo ni kwamba Kenya hatuwezi kufuata namna ya mnavyofanya mambo huko ya kiujamaa, ambapo watu milioni 60 mnashikiliwa akili na kiongozi, hata wataalam wote hawana la kusema, sisi tumefundishwa kuhoji, huku rais hawezi akaamka mara moja na kufoka foka kwamba corona imeisha na kuchimba mikwara hataki kuiskia ikitajwa, na kuifanya corona iwe kama gonjwa la aibu kwamba mtu akiumwa inabidi kuwa siri ya ndani.

Wakenya tunaweza tukamvuruga rais Uhuru hadi atamani kuihama nchi, sisi tunataka tuhabarishwe hali kama ilivyo, takwimu zitolewe, tupimwe na tuendelee kuchukua tahadhari. Hili ni tatizo la kisayansi haliwezi kutoweka kwa matamko au hasira za rais.
 
Ndekrepha iv hawa wa kenya wana kula kweli corosho tuwapelekee maziwa ya korosho

Hiyo labda watu wa class fulani...hao wenzangu na mimi hamna kitu.. utapata hasara tu. Ukitaka kuuza korosho kenya mpaka uwe na access na supermarket zao. Uwapelekee package zako na price.
 
Back
Top Bottom