Wakazi wa Nairobi wanatumia malimao kujikinga na Corona

Wakazi wa Nairobi wanatumia malimao kujikinga na Corona

Hehehe mnachekesha, limau nimekua natumia kila siku asubuhi kabla kula chochote kwa miaka kadhaa sasa hata kabla corona haijaja. Kawaida mimi kwa mafua huwa simezi vidonge na kunywa dawa, na sio mimi tu, huku Kenya tunafahamika sana kwenye kuzingatia sana masuala ya afya.

Nimewaambia mara kadhaa sasa kwamba tukiamua kuficha corona kama nyie inafichika tu, maana hadi sasa miezi yote hii hatujafa wengi, hiki kitu kwa namna moja au nyingine hakikuja na nia ya kutugaragaza Waafrika.

Tatizo ni kwamba Kenya hatuwezi kufuata namna ya mnavyofanya mambo huko ya kiujamaa, ambapo watu milioni 60 mnashikiliwa akili na kiongozi, hata wataalam wote hawana la kusema, sisi tumefundishwa kuhoji, huku rais hawezi akaamka mara moja na kufoka foka kwamba corona imeisha na kuchimba mikwara hataki kuiskia ikitajwa, na kuifanya corona iwe kama gonjwa la aibu kwamba mtu akiumwa inabidi kuwa siri ya ndani.

Wakenya tunaweza tukamvuruga rais Uhuru hadi atamani kuihama nchi, sisi tunataka tuhabarishwe hali kama ilivyo, takwimu zitolewe, tupimwe na tuendelee kuchukua tahadhari. Hili ni tatizo la kisayansi haliwezi kutoweka kwa matamko au hasira za rais.

Sasa wasi wasi wako ni nini kama unajua hii kitu haiui waAfrika? Au ndiyo kuwasindikiza mabeberu katika mateso yao, ili waone mko pamoja.
😛 😛 😛
 
Hiyo labda watu wa class fulani...hao wenzangu na mimi hamna kitu.. utapata hasara tu. Ukitaka kuuza korosho kenya mpaka uwe na access na supermarket zao. Uwapelekee package zako na price.
Kwa iyo naamini ss korosho kenya huenda ikawa ni hanasa hahahahahah what a place
 
Nasikia mende inatibu Corona...wapelekeeni mende...tehehtehteh a joke please
Ss 1954 izo habari za nasikia sio nzuri, unajua ule gonjwa kule upo kweli yaan seriously usiwatanie
 
Hiyo tunaita unakubali kiaina hahah,
Iweje Demand kuongezeka sasa hivi?
Mnakumbuka usingizi kumekucha,
Sisi huku toka Corona imeingia ilikuwa mtu ukienda sokoni unakuja na Mzigo wa maana,
Nakumbuka wakati ule mwezi wa 3 na wa 4 sikutaka mtu atoke home kwaiyo hata sokoni nilienda mwenyewe once kwa wiki aisee, Limau moja ni kama ksh5 hivi, hapo nanunua mzigo wa kutosha na Tangawizi na asali mbichi ya kutosha,
Nakumbuka Vidonge vya Vitamin C viliadimika sana madukani, Ikawa tunakomaa na vyakula vya asili kubust kinga ya mwili, 90% ya Watz praced this dietary intake,
But it worked mzee, we are happier Nation than Ever

Huko Kenya mnasubiri wazungu wawaambie nini cha kufanya hadi leo. Hovyo kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanza kabisa kitaalam na kisayansi hamna jipya mumelifanya maana ingekua mnapima na kuonyesha takwimu hazipandi, hapo ningeelewa kuna namna fulani mumejitibu, ila nakumbuka mwisho namba zenu zilipandisha usiku mmoja mkafikisha waathirika 509, rais akaibuka akafoka kwa ukali na kuanzia hiyo siku mkazima kila jitihada, mkaifanya corona kama aibu fulani, leo hii aibuke Mtanzania yeyote akubali hadharani anaumwa corona, atakemewa hadi kuzimu, mumefukia vichwa ardhini na kuamua kutesekea kila mmoja ndani kwa ndani.

Nawaambia na narudia tena, bahati yenu ni ile kwamba corona haiui Waafrika kwa wingi, hata kwa mataifa yetu ambayo hatujajichokea kama nyie tunaotoa taarifa kila siku, idadi za waliokufa kwa corona bado ndogo sana ukilinganisha na wanavyopukutika Ulaya, maana kwamba hata sisi tungeamua kuficha ingefichika tu, ni vile sisi na nyie tuna tofauti kubwa sana kimtazamo na kimaisha, kwenu huko imetosha rais kukemea hata janga la taifa kama corona na kila mtu akakunja mkia na kunyamaza kwa ndani, nakumbuka hata kwenye tetemeko la ardhi aliwafokea wahanga na kuwaambia hatowalipa kitu maana si yeye aliyeleta hilo janga, mkaufyata nyote, huo ndio mfumo wa kiujamaa, herd mentality.

Vifo vya corona bado vichache Afrika, na wanasiasa wanaumiza akili wakijaribu kujua nini sababu, hamna cha malimau na sijui pumba zipi hizo za kujifukiza, nakumbuka sijui alikua mbunge gani kwenu alikufa kwa corona, hotelini chumbani kwake kulikutwa vifaa vya kufukiza. Kuna kingine kinafanya Afrika tumepona kwa hili janga, imesemekana mataifa ambayo huwa na chanjo ya homa ya njano yanasalimika.
Mwenyewe hapa kuna kipindi niliumwa siku tatu, nikajua corona ndio imetia kambi, ila siku ya tatu nikaamka freshi na kudunda mtaani, na kawaida huwa nadungwa hiyo chanjo nikisafiri.

Hapa Kenya japo inatangazwa sana waathirika wapya, ila wanaopona ni wengi tu lakini inasubiriwa hadi wapimwe mara tatu ndio watangazwe kwamba wamepona na kuachiwa nje.
 
Kwanza kabisa kitaalam na kisayansi hamna jipya mumelifanya maana ingekua mnapima na kuonyesha takwimu hazipandi, hapo ningeelewa kuna namna fulani mumejitibu, ila nakumbuka mwisho namba zenu zilipandisha usiku mmoja mkafikisha waathirika 509, rais akaibuka akafoka kwa ukali na kuanzia hiyo siku mkazima kila jitihada, mkaifanya corona kama aibu fulani, leo hii aibuke Mtanzania yeyote akubali hadharani anaumwa corona, atakemewa hadi kuzimu, mumefukia vichwa ardhini na kuamua kutesekea kila mmoja ndani kwa ndani.

Nawaambia na narudia tena, bahati yenu ni ile kwamba corona haiui Waafrika kwa wingi, hata kwa mataifa yetu ambayo hatujajichokea kama nyie tunaotoa taarifa kila siku, idadi za waliokufa kwa corona bado ndogo sana ukilinganisha na wanavyopukutika Ulaya, maana kwamba hata sisi tungeamua kuficha ingefichika tu, ni vile sisi na nyie tuna tofauti kubwa sana kimtazamo na kimaisha, kwenu huko imetosha rais kukemea hata janga la taifa kama corona na kila mtu akakunja mkia na kunyamaza kwa ndani, nakumbuka hata kwenye tetemeko la ardhi aliwafokea wahanga na kuwaambia hatowalipa kitu maana si yeye aliyeleta hilo janga, mkaufyata nyote, huo ndio mfumo wa kiujamaa, herd mentality.

Vifo vya corona bado vichache Afrika, na wanasiasa wanaumiza akili wakijaribu kujua nini sababu, hamna cha malimau na sijui pumba zipi hizo za kujifukia, nakumbuka sijui alikua mbunge gani kwenu alikufa kwa corona, hotelini chumbani kwake kulikutwa vifaa vya kufukiza. Kuna kingine kinafanya Afrika tumepona kwa hili janga, imesemekana mataifa ambayo huwa na chanjo ya homa ya njano yanasalimika.
Mwenyewe hapa kuna kipindi nilimuwa siku tatu, nikajua corona ndio imetia kambi, ila siku ya tatu nikaamka freshi na kudunda mtaani, na kawaida huwa nadungwa hiyo chanjo nikisafiri.

Hebu mfungue mashule kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu maana ugonjwa hauna effect Afrika kama unavyosema.
 
Kwanza kabisa kitaalam na kisayansi hamna jipya mumelifanya maana ingekua mnapima na kuonyesha takwimu hazipandi, hapo ningeelewa kuna namna fulani mumejitibu, ila nakumbuka mwisho namba zenu zilipandisha usiku mmoja mkafikisha waathirika 509, rais akaibuka akafoka kwa ukali na kuanzia hiyo siku mkazima kila jitihada, mkaifanya corona kama aibu fulani, leo hii aibuke Mtanzania yeyote akubali hadharani anaumwa corona, atakemewa hadi kuzimu, mumefukia vichwa ardhini na kuamua kutesekea kila mmoja ndani kwa ndani.

Nawaambia na narudia tena, bahati yenu ni ile kwamba corona haiui Waafrika kwa wingi, hata kwa mataifa yetu ambayo hatujajichokea kama nyie tunaotoa taarifa kila siku, idadi za waliokufa kwa corona bado ndogo sana ukilinganisha na wanavyopukutika Ulaya, maana kwamba hata sisi tungeamua kuficha ingefichika tu, ni vile sisi na nyie tuna tofauti kubwa sana kimtazamo na kimaisha, kwenu huko imetosha rais kukemea hata janga la taifa kama corona na kila mtu akakunja mkia na kunyamaza kwa ndani, nakumbuka hata kwenye tetemeko la ardhi aliwafokea wahanga na kuwaambia hatowalipa kitu maana si yeye aliyeleta hilo janga, mkaufyata nyote, huo ndio mfumo wa kiujamaa, herd mentality.

Vifo vya corona bado vichache Afrika, na wanasiasa wanaumiza akili wakijaribu kujua nini sababu, hamna cha malimau na sijui pumba zipi hizo za kujifukiza, nakumbuka sijui alikua mbunge gani kwenu alikufa kwa corona, hotelini chumbani kwake kulikutwa vifaa vya kufukiza. Kuna kingine kinafanya Afrika tumepona kwa hili janga, imesemekana mataifa ambayo huwa na chanjo ya homa ya njano yanasalimika.
Mwenyewe hapa kuna kipindi niliumwa siku tatu, nikajua corona ndio imetia kambi, ila siku ya tatu nikaamka freshi na kudunda mtaani, na kawaida huwa nadungwa hiyo chanjo nikisafiri.

Hapa Kenya japo inatangazwa sana waathirika wapya, ila wanaopona ni wengi tu lakini inasubiriwa hadi wapimwe mara tatu ndio watangazwe kwamba wamepona na kuachiwa nje.
Wewe MK254 afadhali unyamaze tu huna jipya...wewe ngojea ku-spin habari..kwetu TZ watu kadhaa walijitangaza kuwa na Corona akiwemo RC wa Kilimanjaro...Leo unasema Corona haiui waafrika wengi wakati siku chache zilizopita ulikuwa unasema watanzania wanakufa wengi huku ukiombea tuendelee kufa...Sasa sisi TZ ni a blessed nation ...we have strong leadership with a vision and original ideas while you have in Kenya administrators and not leaders...your administrators just imitate what wazungu are doing...your administrators don't have original ideas...hivi vipi KQ huko kwenu...nasikia tenda ya kupeleka maua huko Europe wamepewa Ethiopian airline..duh..
 
Wewe MK254 afadhali unyamaze tu huna jipya...wewe ngojea ku-spin habari..kwetu TZ watu kadhaa walijitangaza kuwa na Corona akiwemo RC wa Kilimanjaro...Leo unasema Corona haiui waafrika wengi wakati siku chache zilizopita ulikuwa unasema watanzania wanakufa wengi huku ukiombea tuendelee kufa...Sasa sisi TZ ni a blessed nation ...we have strong leadership with a vision and original ideas while you have in Kenya administrators and not leaders...your administrators just imitate what wazungu are doing...your administrators don't have original ideas...hivi vipi KQ huko kwenu...nasikia tenda ya kupeleka maua huko Europe wamepewa Ethiopian airline..duh..

Hiyo kujitangaza ilikua mwanzo mwanzo kabla corona haijafokewa na rais wenu, nakumbuka wengi hata wasanii akina Piere, Mwana FA wote walikua wanajitokeza, ila ile siku ilipandisha ghafla na kufikia 509, kisha rais akawa akapndisha mori akawa mkali mkaufyata nyote, leo hii atokee Mtanzania hata mmoja hivi aseme anaumwa corona, atanyanyapaliwa hadi ajifie, mnatia huruma sana nyie watu.

Yaani hili la corona limefanya nimependa sana mfumo wa nchi yetu tulivyo, nimejikuta nachukia ujamaa sana aliyeubuni hakua na nia njema kwa binadamu, yaani watu mnashikiliwa hata kwenye janga la dunia.
 
Hao jamaa wamesababisha Hadi huku bongo limap zimepanda bei
 
Kenya wana maisha magumu sana. Yaani limao moja ni tsh 430 hadi 640 wakati sisi fungu moja lenye limao zaidi ya tano zilizoshiba ni ksh 47 tu.

Aisee, fursa hiyo, tuwapelekeee wajitibu na corona
Limao zimepanda moja linauzwa 500 Hadi 800 Dsm
 
Kwanza kabisa kitaalam na kisayansi hamna jipya mumelifanya maana ingekua mnapima na kuonyesha takwimu hazipandi, hapo ningeelewa kuna namna fulani mumejitibu, ila nakumbuka mwisho namba zenu zilipandisha usiku mmoja mkafikisha waathirika 509, rais akaibuka akafoka kwa ukali na kuanzia hiyo siku mkazima kila jitihada, mkaifanya corona kama aibu fulani, leo hii aibuke Mtanzania yeyote akubali hadharani anaumwa corona, atakemewa hadi kuzimu, mumefukia vichwa ardhini na kuamua kutesekea kila mmoja ndani kwa ndani.

Nawaambia na narudia tena, bahati yenu ni ile kwamba corona haiui Waafrika kwa wingi, hata kwa mataifa yetu ambayo hatujajichokea kama nyie tunaotoa taarifa kila siku, idadi za waliokufa kwa corona bado ndogo sana ukilinganisha na wanavyopukutika Ulaya, maana kwamba hata sisi tungeamua kuficha ingefichika tu, ni vile sisi na nyie tuna tofauti kubwa sana kimtazamo na kimaisha, kwenu huko imetosha rais kukemea hata janga la taifa kama corona na kila mtu akakunja mkia na kunyamaza kwa ndani, nakumbuka hata kwenye tetemeko la ardhi aliwafokea wahanga na kuwaambia hatowalipa kitu maana si yeye aliyeleta hilo janga, mkaufyata nyote, huo ndio mfumo wa kiujamaa, herd mentality.

Vifo vya corona bado vichache Afrika, na wanasiasa wanaumiza akili wakijaribu kujua nini sababu, hamna cha malimau na sijui pumba zipi hizo za kujifukiza, nakumbuka sijui alikua mbunge gani kwenu alikufa kwa corona, hotelini chumbani kwake kulikutwa vifaa vya kufukiza. Kuna kingine kinafanya Afrika tumepona kwa hili janga, imesemekana mataifa ambayo huwa na chanjo ya homa ya njano yanasalimika.
Mwenyewe hapa kuna kipindi niliumwa siku tatu, nikajua corona ndio imetia kambi, ila siku ya tatu nikaamka freshi na kudunda mtaani, na kawaida huwa nadungwa hiyo chanjo nikisafiri.

Hapa Kenya japo inatangazwa sana waathirika wapya, ila wanaopona ni wengi tu lakini inasubiriwa hadi wapimwe mara tatu ndio watangazwe kwamba wamepona na kuachiwa nje.
Na nyinyi fungueni kila kitu na kuacha kuvaa barakoa tuone mtakufa wangapi kwa siku
 
Hiyo tunaita unakubali kiaina hahah,
Iweje Demand kuongezeka sasa hivi?
Mnakumbuka usingizi kumekucha,
Sisi huku toka Corona imeingia ilikuwa mtu ukienda sokoni unakuja na Mzigo wa maana,
Nakumbuka wakati ule mwezi wa 3 na wa 4 sikutaka mtu atoke home kwaiyo hata sokoni nilienda mwenyewe once kwa wiki aisee, Limau moja ni kama ksh5 hivi, hapo nanunua mzigo wa kutosha na Tangawizi na asali mbichi ya kutosha,
Nakumbuka Vidonge vya Vitamin C viliadimika sana madukani, Ikawa tunakomaa na vyakula vya asili kubust kinga ya mwili, 90% ya Watz praced this dietary intake,
But it worked mzee, we are happier Nation than Ever

Huko Kenya mnasubiri wazungu wawaambie nini cha kufanya hadi leo. Hovyo kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii miezi uliyotaja hiyo ilikuwa ndiyo life style ya familia nyingi bila kusahau kufukiza na Mungu akatupigania.
 
Kwanza kabisa kitaalam na kisayansi hamna jipya mumelifanya maana ingekua mnapima na kuonyesha takwimu hazipandi, hapo ningeelewa kuna namna fulani mumejitibu, ila nakumbuka mwisho namba zenu zilipandisha usiku mmoja mkafikisha waathirika 509, rais akaibuka akafoka kwa ukali na kuanzia hiyo siku mkazima kila jitihada, mkaifanya corona kama aibu fulani, leo hii aibuke Mtanzania yeyote akubali hadharani anaumwa corona, atakemewa hadi kuzimu, mumefukia vichwa ardhini na kuamua kutesekea kila mmoja ndani kwa ndani.

Nawaambia na narudia tena, bahati yenu ni ile kwamba corona haiui Waafrika kwa wingi, hata kwa mataifa yetu ambayo hatujajichokea kama nyie tunaotoa taarifa kila siku, idadi za waliokufa kwa corona bado ndogo sana ukilinganisha na wanavyopukutika Ulaya, maana kwamba hata sisi tungeamua kuficha ingefichika tu, ni vile sisi na nyie tuna tofauti kubwa sana kimtazamo na kimaisha, kwenu huko imetosha rais kukemea hata janga la taifa kama corona na kila mtu akakunja mkia na kunyamaza kwa ndani, nakumbuka hata kwenye tetemeko la ardhi aliwafokea wahanga na kuwaambia hatowalipa kitu maana si yeye aliyeleta hilo janga, mkaufyata nyote, huo ndio mfumo wa kiujamaa, herd mentality.

Vifo vya corona bado vichache Afrika, na wanasiasa wanaumiza akili wakijaribu kujua nini sababu, hamna cha malimau na sijui pumba zipi hizo za kujifukiza, nakumbuka sijui alikua mbunge gani kwenu alikufa kwa corona, hotelini chumbani kwake kulikutwa vifaa vya kufukiza. Kuna kingine kinafanya Afrika tumepona kwa hili janga, imesemekana mataifa ambayo huwa na chanjo ya homa ya njano yanasalimika.
Mwenyewe hapa kuna kipindi niliumwa siku tatu, nikajua corona ndio imetia kambi, ila siku ya tatu nikaamka freshi na kudunda mtaani, na kawaida huwa nadungwa hiyo chanjo nikisafiri.

Hapa Kenya japo inatangazwa sana waathirika wapya, ila wanaopona ni wengi tu lakini inasubiriwa hadi wapimwe mara tatu ndio watangazwe kwamba wamepona na kuachiwa nje.
[/QUO
Tanzania hakuna corona wala siyo suala la kufukia vichwa chini! Huwezi kufukia vichwa chini mbele ya vifo kama vingekuwepo!! Hakuna Mzazi angekubali kupeleka MTOTO shule kama tunaona kwenye jamii wagonjwa ni wengi na vifo vinatokea. Kumbuka huwezi kuficha vifo!!
Kuhusu Kenya nyie ni Wa 7 barani afrika Kwa kuwa na wagonjwa wengi Wa corona. Siyo Kwa sababu mnapima maana hata Rwanda na Uganda wanapima sana. POLENI. Kinachosikitisha ni kwamba mpaka Sasa hamjajua tatizo ni nini.
Niwaambie tena tatizo LA kenya ni kuidhihaki Tanzania ilipoamua kumtegemea Mungu kwenye ugonjwa wa corona! Mungu akaamua kuonyesha tofauti kati ya anayemtegemea Mungu na yule anayemdhihaki yule anayemtegemea Mungu. Kenya itaendelea kuwa na corona mpaka hapo itakapouomba msamaha Tanzania kwa kutudhihaki na itakapomwomba Mungu msamaha pia. Vinginevyo hata mwakani shule zenu hazitafunguliwa!
 
Tanzania hakuna corona wala siyo suala la kufukia vichwa chini! Huwezi kufukia vichwa chini mbele ya vifo kama vingekuwepo!! Hakuna Mzazi angekubali kupeleka MTOTO shule kama tunaona kwenye jamii wagonjwa ni wengi na vifo vinatokea. Kumbuka huwezi kuficha vifo!!
Kuhusu Kenya nyie ni Wa 7 barani afrika Kwa kuwa na wagonjwa wengi Wa corona. Siyo Kwa sababu mnapima maana hata Rwanda na Uganda wanapima sana. POLENI. Kinachosikitisha ni kwamba mpaka Sasa hamjajua tatizo ni nini.
Niwaambie tena tatizo LA kenya ni kuidhihaki Tanzania ilipoamua kumtegemea Mungu kwenye ugonjwa wa corona! Mungu akaamua kuonyesha tofauti kati ya anayemtegemea Mungu na yule anayemdhihaki yule anayemtegemea Mungu. Kenya itaendelea kuwa na corona mpaka hapo itakapouomba msamaha Tanzania kwa kutudhihaki na itakapomwomba Mungu msamaha pia. Vinginevyo hata mwakani shule zenu hazitafunguliwa!

Mbona mnakua kama machizi mnarudia kile kile kimoja, nimesema na nasema tena vifo Afrika ni vichache na vinafichika tungekua na haja ya kuvificha kama nyie, miezi yote hii ya corona hapa kwetu tumekumbwa na vifo vichache ukilinganisha na Ulaya, tungekua tumejichokea kama nyie tungevificha na vingefichika.
Hiyo Dar ina watu milioni 6, wakifa watu kumi kwa mwezi kisa corona, ni rahisi sana kuficha idadi ya namna hiyo na ukizingatia tayari mumeifanya corona imekua gonjwa la aibu, kwamba ndugu yako au mwanafamilia wako akifa kwa corona, inabidi muifiche sana maana ikitangazwa kwako kuna corona, utatengwa na kunyanyapaliwa na kusemwa Tanzania yote maana kila mmoja kwenu alishashikiliwa akili na rais, hakuna mwenye uwezo wa kufikiria.
Nakumbuka yule dada Mtanzania wa kwanza kutajwa ana corona, alitukanwa sana kwenye mitandao, nyie ni watu wa ajabu sana.
 
Huyo jamaa yupo hapa tz juzi nmekutana nae anakula mihogo ya kukaanga mitamu pale Beach fani hivi.

Kumbe ndio maana karibu kila sentensi ataje tandale!! Kumbe anajichnganya na ajiua hali ni nzuri lakn mbishi kama dagaa wa kigoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom