kuhusu hoja mi sijali sana maana hata hoja yenyewe inaweza kuwa propaganda tu ,si tushazulumiwa sana na serikali lakin tulikubali maisha yaende. serikali kama ukuta tu wamasai wakubali yaishe.na hapa inapaswa kueleweka ni "kwa maslahi ya Taifa" fedha zinazopatikana kwenye hifadhi hiyo zinakwenda kusaidia wananchi wote na ni wajibu wa serikali kuilinda ili iendelee kusaidia kizazi hadi kizazi,hatuwezi kuruhusu ubinafsi wa wachache kuharibu rasilimali hii adhimu
Mkuu umepiga kwenye kidonda ndugu.Ulishawahi kutembeza watalii au kutalii?!
Kaulize km kuna mzungu anaenda kuangalia wanyama ngorongoro bila kuomba kuwaona wamasai…
Hv hujawahi kukutana na matangazo ya kampuni za simu…wa kwanza alijitangaza kwamba yeye ni simba wa pili akajitangaza kuwa yeye ni Masai na mkuki..maana yake anauwa simba…
Tungejuaje km Masai anauwa simba km si tafiti za wazungu kuja na kukaa na wamasai nakujua maisha yao ya kila siku…maana kasuku km wewe hayo maarifa huna unajua kusubiria mikopo tuu upate mgao wako
Kwa hiyo watalii wanaotembelea mbuga kusiko na Wamasai inakuaje labda? Nyie si ndio mumewafanya wanyama?Nasubiria jibu lake ili nione saizi ya ubongo wake..
Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
Kwako wewe mkuu kutokuwa na uhakika, na tafsiri... hakuniondolei uhakika na ninacho kisema.Sina uhakika kama unaelewa maana ya neno Genocide
SeRikali imekuwa pole sana hii!!!?? Magufuli alivunja nyumba za watu kimara kama shetaniHili sio jambo la ajabu, sasa hivi kuna watu wanapisha SGR, kuna watu wanahamishwa kupisha upanuzi wa barabara, ujenzi wa sekondari, vyuo vikuu, stendi ya magufuli watu waliipisha, stendi ya nyamhongolo mwanza, ujenzi wa migodi.
Upanuzi wa viwanja vya ndege Mwanza na DSM, watu waliipisha, ujenzi wa makao makuu Dodoma, watu wamepisha na wanafidiwa.
Hata nyie ni sehemu ya Tanzania, mnahamishwa na mnafidiwa. Hapo kuna maslahi ya umma.
The Land Act.
The Village Land Act.
Land Acquision Act.
Zinasema ardhi ni Mali ya umma wa Tanzania, sio Mali ya wamasai. Mdhamini ni Rais, Umma ukihitaji ardhi, basi anayenyanganywa anafidiwa.
Umma una maslahi na utalii, unawaondoa, na unawafidia.
Wagogo wangekataa kutoa ardhi, ikulu ya chamwino ingejengwa? Mloganzila Ile hospitali ingejengwa? Bugando Hospitali ingejengwa? Hii miji mikubwa inapimwa na kupendez kwa sababu wakazi wa asili walikubali kuachia ardhi.
Kwa mujibu wa sheria sisi ni wapangaji katika ardhi, ndio maana tunalipa Kodi ya ardhi Kila mwaka. Mmiliki wa ardhi ni umma, Rais ni mdhamini. Umma umeamua kuwapa eneo jingine.
Hizi hifadhi mnazosikia maeneo mengine ya nchi, sisi pia tulihamishwa, hata Bunda na Busega, Kuna kipande kidogo sana ambacho watahamishwa ili kupisha njia ya wanyama kunywa maji ndani ya ziwa Victoria.
Haiwezekani, Ngorongoro iwe kwa ajili ya wanyama! Binadamu watoke humoR
Sababu zote tano za nini!? Sababu ni moja tu. Wamasai hamjaelimika na hamko tayari kuelimishwaWamekuwepo kwa miaka mingapi?
Sababu kuu za kuwahamisha ni zipi?
Toa sababu 5
Nonsense... upupu kwahiyo wakienda kuwaona ndio nini?? Mikumi kuna Wamasai? Serengeti kuna wamasai?Ulishawahi kutembeza watalii au kutalii?!
Kaulize km kuna mzungu anaenda kuangalia wanyama ngorongoro bila kuomba kuwaona wamasai…
Hv hujawahi kukutana na matangazo ya kampuni za simu…wa kwanza alijitangaza kwamba yeye ni simba wa pili akajitangaza kuwa yeye ni Masai na mkuki..maana yake anauwa simba…
Tungejuaje km Masai anauwa simba km si tafiti za wazungu kuja na kukaa na wamasai nakujua maisha yao ya kila siku…maana kasuku km wewe hayo maarifa huna unajua kusubiria mikopo tuu upate mgao wako
Acha kupotosha watu. Wakati mwingine muwe mnaficha ujinga wenu.Umetaja kuhamishwa kupisha miradi ya maendeleo.
Hawa hawahamishwi kupisha mradi wa maendeleo.
Bali wanafukuzwa kupisha waarabu wa Oman wakawinde na kubeba wanyama hai.
Hiyo ndio tofauti iliyopo.
Nonsense... upupu kwahiyo wakienda kuwaona ndio nini?? Mikumi kuna Wamasai? Serengeti kuna wamasai?
South Africa wana mbuga pale Klugger wana wana wamasai. Who are masai by the way??
Watatoka kilazima, hii nchi ni ya wote, hivyo pale serikali inapotaka kufanya jambo fulani utahamishwa tu.
Binadamu wanatakiwa kupisha kwa lazima mradi wa kijamii na sio wawekezaji.
Na ikiwa ni wawekezaji basi lazima pawe na mazungumzo hadi upatikane muafaka.
uma wa watanzania ndio wa miliki wa ardhi huku raisi akipewa mamlaka ya kusimamia ardhi na uma wa watanzania, kumbuka kusimamia ni tofauti na kumiliki. umma ndio unapaswa kuwa na kauli ya mwisho juu ardhi yao baada ya maridhianooHoja hii imeungwa mkono!
Serikali ya Tanzania ndiye mmiliki wa ardhi! Wengine hatuna uamuzi wa mwisho!
Na ukiamua imeamuliwa hata ziwekwe siasa za Aina gani watafanya jambo lao!
Kimara, sijui Kipawa, ilikuwa Lukobe huko Kilosa...Ihumwe...Songwe....Mvomero! Waathirika ni Sisi kwa ustawi wa jamii au hifadhi!
Watu wamejazana ujinga. Muarabu ndiye anayepambaniwa ammilikishwe!Kama Kuna mtu hajui kwa nini Ngorongoro inatakiwa Masai wahame huyo si mjinga tu ni mpumbavu kabisa.
Utalii na conservation ni vyanzo vya mapato. Kuzidi shughuli za binadamu ni kuua rasilimali hiyo. Lazima waondoke Masai sio lazma Kwa utalii na hata NCA Act imeelekeza natural activities. Waondoke haraka wanaobisha vunja miguu hivo hivo.
Kunzia 1970s wanabembelezwa wao nani.
Linda heritage at any cost