1. Njoo Dar karume chagua viatu vizuri vya wadada zungusha chuo Cha Tumaini, Mkwawa na Iringa University.
2. Njoo Dar Ilala tafuta skin jeans nzuri, blauzi na sweta za kistaduu kauze kwenye vyuo tajwa hapo au mwaga pale mashinetatu.
3. Njoo Dar tafuta machimbo ya vile vitambaa ambavyo tandika wanauza mita 2500, kata aina tofauti tofauti, kamwage mashine tatu uza (hii biashara Iringa haipo kabisa Hadi uende madukani uhindini napo ni Bei kubwa)
4. Ukishindwa kabisa tafuta mama ntilie kadhaa walio na mtaji mdogo waongeze mtaji wa elfu hamsini tu waambie muwe mnashare wewe faida Yako ni 1500 Kwa siku kwenye elfu 50
Karibu Iringa mkuu, Ulanzi mtogwa ukiwa mwingi nitumie nienzi mkoa wangu.