[MENTION]
mkomatembo[/MENTION].........kama kweli wazenji ni washika dini basi talaka zisingekuw wanatupiana kama njugu................talaka ni dalili ya m'momonyoko wa maadili ndani ya jamii.............
Nimeshangazwa na taarifa ya Kadhi Mkuu kule Zenji kuwa zaidi ya asilimia 70 ya kesi za talaka ni wake wakidai walimwe talaka tatu na waume zao baada ya kuchoshwa na vitendo vya unyanywasaji, kutelekezwa na kudhalilishwa na waume zao................katika makala hii ya habari leo isomekayo kama.............Utoaji talaka wakithiri Zanzibar inathibitisha ya kuwa ndoa zimeparanganyika sana kule visiwani kama huku bara kutokana na waume kushindwa kubeba majukumu yao........................hatujui kwa kiasi gani na hao wake wameshindwa kubeba majukumu yao hususani la utii kwa waumme zao hata kusababisha kujikuta wanapata mateso makubwa kwa kisa "wameolewa"....................
Wanaume wa zanzibar wengi wao wavivu sana..ndio maana wanataka hata kijitenga ili waje watawaliwe tena wawe wanapata kila kitu bure...wanawake ndio wanajishughulisha mara kwa mara....
Sasa mwanaume hutimizi majukumu yako bado unaleta kisauti...bora mtu ajiombee talaka yake..ni haki yao wacha waitumie.
Ndoa ni chuo pia kule....
Kuna mtu alikubali kuwa avatar yake ni picha yake! Wengine avatar zao zinalingana na mambo mengi yao!
Hivyo aliyekwambia kuwa wanaume wa zanzibar ni wavivu nani? Hivyo ulishawahi kusikia serikali ikipeleka mahindi ya msaada kule? Wanapata wapi uwezo wa kimaisha na inakuwaje waliokuwa si wavivu kila siku wanaomba msaada wa serikali?
Pengine hujuwi nini tofauti ya talaka ya kawaida na ile inayodaiwa kwa kadhi. Talaka ya kawaida ni talaka ambayo kutalikiana kunamalizika kwa makubaliano nyumbani hivyo mara nyingi kunakuwa hakuna tatizo la kupeana au kudaiana talaka tatu kwani inawezekana mkaamuwa kurejeana.
Sasa talaka ya kwa kadhi mara nyingi hudaiwa na mwanamke baada ya kushindwa kuipata kwa makubaliano kutoka kwa mume. Ili kuepuka usumbuifu baada ya kuona uhusiano ulivyo, mwanamke mara nyingi hudai talaka tatu ili azuiye kabisa uwezekano wa mwanamme kudai kumrejea.
Kwa mantiki hii wanawake wengi katika ndoa walikwisha olewa mara kadhaa(yaani mitumba) na watoto hawana malezi ya dhati(elimu & mlo) kutoka kwa baba na mama waliowazaa
Mkuu unanichekesha sana unataka kuniambia ndoa za Wakirsto hazina matatizo? Matatizo ya ndoa kama hayajakufika wewe usiwasemehe wenzako...mbona wana ndoa wengi tu wadada wa Kikiristo watu wanaanguka nao tu kama kawaida na bado wapo kwenye ndoa zao suala la talaka lipo kiimani zaidi.
Kwa mujibu wa dini ya kiislam talaka ni jambo linalomuudhi sana Mwenyezi Mungu japo ameliruhusu..ila wengine hawalizingatii hilo..ila kwa upande mwingine ndoa inaposindikana kabisa talaka is the last resolution..