Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
[MENTION]
mkomatembo[/MENTION].........kama kweli wazenji ni washika dini basi talaka zisingekuw wanatupiana kama njugu................talaka ni dalili ya m'momonyoko wa maadili ndani ya jamii.............
Mkuu unanichekesha sana unataka kuniambia ndoa za Wakirsto hazina matatizo? Matatizo ya ndoa kama hayajakufika wewe usiwasemehe wenzako...mbona wana ndoa wengi tu wadada wa Kikiristo watu wanaanguka nao tu kama kawaida na bado wapo kwenye ndoa zao suala la talaka lipo kiimani zaidi.