Wake mlioolewa: Kama unaishi na mdogo wako wa kike hapo kwa mumeo kaa ukijua mna-share

Unajua haya maisha ni mchanganyiko wa mambo mengi sana. Mwanaume yeyote anataka kuwa dominant kwenye sex sasa asipo ku dominate wewe atatafuta kabinti kadogo dogo ili aki dominate.

Hili sometime ni kama ugonjwa wa akili ila pia ni kama asili hivi. Sasa kushindwa kuji control ndio kunaleta balaa hilo la kulalal na mdogo wa mke, mtoto wake, mfanyakazi za ndani, secretary wake, mabinti wadogo au hata mashoga. Yaani kifupi atatafuta mtu yoyote atakayekuwa mdhaifu kwake ajione anamtawala kingono.

Ndio maana jamii nayo inasema oa mtu uliyemzidi umri bado ni mule mule tu kwhiyo ili ni tatizo na asili pia.
 
We unadhani mpaka mtu kaamua kutoka nje ya ndoa anakuwa ajajiandaa kuachika.Maana kwa MTU mwenye upendo na mwenzi huwezi kuwaza kuchepuka kabisa kwa mtazamo wangu
Hapa unaandika hivi lakini unakuta ndani mna siku 2 hamuongei,kwanin asitafute sehemu ya kuipoza? Kama shemeji yupo na wanaongea ndio atamsaidia dadake.

Tena usithubutu kumnunia mumeo huku ukijua upo na mdogo wako hapo,atakusaidia mzigo afu badae utajilaumu
 
Ipo siku utakumbuka huu uzi
 
Hii nayosemea hapa sio ishu ya siku 1 tu...yan umetembelewa na siku hiyo ukafanya,ni safari kidogo. Yani ww jamaa sijui ni mgeni wa mitandao au hata magazeti husomi. Soma kisa hicho cha BBC kwanza huenda ukafunguka akili
 
Sijui kwa nini mnapenda kum potray mwanaume kuwa ni kiumbe 'dhaifu' kisicho na maamuzi when it comes to sex??...yes, sex urge can be controlled, ndio maana hawapandi mbuzi huko barabarani, mchana kweupe....?!...Yaani ushindwe kukaa na ndugu kisa unahofia mumeo atatembea nae? jamani...kama uko kwenye ndoa ya hivi..pole sana...unaweza kufa siku si zako kwa kihoro duuh
 
Nakubali,.hii nina ushahidi wa watu wa karibu kabisaa
 
Ww una kaa na wadogo (ke) zako wangapi?
 
Hakuna kama mkeo akitaka kugongwa na mdogo wako hata kama yuko kwa wazaza wako atafanya hivo ila sio kwamba lazima mdogo wako lazima afanye hivo kwa hiyo wewe huna kaka? hujawahi kwenda kwake kama kaka hayupo yuko busy na wewe unaona sawa tuu kumgonga shem kisa kaka hayupo?? au wewe hujawahi kumkaribisha kwako mdogo wako yeyote kwahiyo unataka kusema wamengona mkeo?? suala ni kwamba huo ni usheatni amabao hauhitaji excuse yoyote na mtu amayefanya hivo kaamua
Hii nayosemea hapa sio ishu ya siku 1 tu...yan umetembelewa na siku hiyo ukafanya,ni safari kidogo. Yani ww jamaa sijui ni mgeni wa mitandao au hata magazeti husomi. Soma kisa hicho cha BBC kwanza huenda ukafunguka akili
mkuu si ukubali kwamba ni kosa kwanii utake kuhalalisha uharamu mzee..its wrong
 
This is the point umemaliza kabisa mkuu

Usipoelewa hapa mleta mada utakuwa una lako jambo sio bure
 
Mkuu Samcezar umetiririka sana na mfano ulio hai kabisa

Lakini nadhani sisi tukiwa wanadamu ambao tumepewa utashi wa kufikiria na kuchambua mambo kwa umakini,ifike mahali tusitake kuuhalalisha kosa kwa kosa,sidhani kama ni jambo la hekima na linalomfaa mtu yeyote yule anayejitambua kutoka na msichana anayeweza kumzaa kwa jina tu la kumkomoa mke aliyeficha siri ya kuwa binti sio wake,ni sawa na leo na ajitokeze mwanamke mwingine tu na yeye aamue kutoka na kakijana kaliko na umri sawa na kijana wa kumzaa in the name of mume alidanganya kuwa ana mtoto wa nje nikaamua kukomesha au vyovyote vile,tufike mahali tukubali kosa ni kosa,kosa halipunguzwi kwa kosa wala kosa halifuti kosa

Kwenye case kama hizo ulizoandika hapo juu mke kafanya kosa la kuzaa nje na kuweka siri,mume kumtafuna binti aliyezaliwa nje hakufuti kosa la kwamba amefanya uchafu na binti aliyezaliwa na mkewe,ni kosa zito hilo mkuu na wala kosa la mke haliwezi kufuta kosa la huyo mume au kulipuguzia uzito bado mbele ya jamii mume aliyetenda hivyo ataonekana wa ajabu tu,tena aliyekosa busara na utu juu tena mkatili

Kisha yote kwa yote kwa mtu yeyote ambaye ameamua kuingia kwenye ndoa akiwa serious na akajua maana na majukumu yanayohusiana na suala zima la ndoa atajitahidi kwa namna yoyote ile kuhakikisha anaepusha au kuepuka mazingira au hali zinazoweza kumfanya avunje au asaliti kiapo chake cha ndoa

Yote yanawezekana kwa sababu tumepewa uhuru wa kuchagua hakuna mtu aliye na haki ya kumchagulia mwenzie au kumfanyia maamuzi,inabakia utashi wa mtu mmoja mmoja na vile ulivyo imara katika kusimamia unachokiamini na kutokubali kuyumbishwa.
 
[emoji848]
Your browser is not able to display this video.
 
Fresh tu, tunamgeuza mlupo. Tunapiga kwa zamu, nawaambia na masela kama vipi waje kupiga tu kiroho safi, mke si kaamua kugawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…