ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Inategemea mleta maji amekaaje!?Yaani mwanaume mtu akikupikia au kukufulia unasimamisha? Unapata nyege kisa mtu kakupa maji ya kunywa? Acheni tamaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea mleta maji amekaaje!?Yaani mwanaume mtu akikupikia au kukufulia unasimamisha? Unapata nyege kisa mtu kakupa maji ya kunywa? Acheni tamaa.
Hakuna cha madhara wala nini kosa sio la mke wako kama uko hivo basi ulioa huku huja komaaa kiakili maana hizo ni tabia za kivulana ila sio za mwanaume anayejielewa.Kama imetokea umemfanya mdogo wa mke wako hilo ni kosa lako wewe kama wewe...
Yaani mwanaume mtu akikupikia au kukufulia unasimamisha? Unapata nyege kisa mtu kakupa maji ya kunywa? Acheni tamaa.
Tatizo si kupika.Yaani mwanaume mtu akikupikia au kukufulia unasimamisha? Unapata nyege kisa mtu kakupa maji ya kunywa? Acheni tamaa.
Huyo mwache aongee kirahisi hayajamkuta. Muda mwingi hata kama sio mitego wana makazi mengi mno agu unakuta mke kaz zake anamwachia mpaka mdogo wake afanye,lazma mume apige woteTatizo si kupika.
Fikiria umerudi saa 4 usiku shem mdogo ndio anakuletea chakula mke amelala tu. Kumbuka ana macho ya kutokea usingizini na nguo zake
Fikiri anakupokea unapotoka kazini saa hiyo na kukupatia pooole shem na kazi kwa kukuhurumia. Mke amelala tu
Fikiri ndio napiga pasi nguo lkn kibaya zaidi unaruhusu aje bedroom ili afue mashuka na anachukua, we uko sittingroom mme amejipuzisha na shem huyu anjitingisha tu vzr. Mke unanitakaje?
Anainama kudeki chumbani mme amelala. Acheni utani
"Sijaribiagwi" by jembe voice
HahahahhahaMkuu huu uzi nimeleta kutokana na kisa cha kweli kabisa, ipo hivi.
Kuna mzee alioa wakaishi vizuri walikua vizuri kiuchumi kosa la mke wake alibeba sana ndugu zake hususa ni wa kike.
Wadogo zake wa kike walifanya pale nyumbani kama kwao,walioolewa na kuachika wanakuna kukaa kwa dada yao.
Wakati huo kama unavyojua changamoto za ndoa mikwaruzo ya hapa na pale Mzee akawa anatafuna mmoja kisiri siku nyumba kubwa kukiwaka [emoji91]. Aliekuwa anatafunwa akaolewa akabak ambayo kazalia hapo kwa dadake.
Dada yake akaanza kuumwa mpaka kushindwa kufanya kazi wakati huo mdogo mtu anaishi hapo kama nyumbani,dada yake akafa. Nini kiliendelea mzee akachukua jumla na kutia ndani full,sa angefanyaje?
Heb kama wewe ni mwanaume jiweke kwenye nafasi hiyo. Je utamfukuza huyo shemeji yako kisa dadake kafa? Au ataendelea kupiga kaz kama wakati dadake akiwepo?
Hata kama ingekuwa ni mimi nisingeweza kuwa na sauti ya kumfukuza badala yake nareplace tu mchezo unaendelea. Au nasema uongo ndugu zangu?
Kumtafuna mdogo wa mkeo ni rahisi kuliko kumeza mate. Kuna visa vingi sana vilivyowatokea watu.
Mara nyingi sana huwa tunazungumza na mke wangu changamoto za ndoa ili kujilinda mapema afu badae tukaanza kulaumiana.
Kumtafuna mdogo wa mkeo ni rahisi kuliko kumeza mate. Kuna visa vingi sana vilivyowatokea watu.
Huo ndio utaratibu tuliojiwekea,hata kama atakuja ukute kuna chumba chake,sio sebuleni. Asiwe mtu wa kushinda nyumbani muda mwingi.Hiyo ni kweli kabisa! Na siyo upande wa wake zetu tu,hata wewe ukileta mdogo wako wa kiume kukaa hapo ujue mna-share! Yaani kadri inavyowezekana ni kutoruhusu jamaa hao kuja kukaa bila sababu.
Kama n kuwasaidia ni vizuri kuwasaidia wakiwa nyumbani huko huko vijijini.
NDOA NI YA WAWILI TU!
Kosa apike chakula kitamu kushinda cha mama mwenye nyumbaYaani mwanaume mtu akikupikia au kukufulia unasimamisha? Unapata nyege kisa mtu kakupa maji ya kunywa? Acheni tamaa.
Yaani mwanaume mtu akikupikia au kukufulia unasimamisha? Unapata nyege kisa mtu kakupa maji ya kunywa? Acheni tamaa.
tiririka mkuuNakubali,.hii nina ushahidi wa watu wa karibu kabisaa