Tusaidie mzee... huo utafiti ulifanywa lini, na nani, na wapi, na unahusiana vipi na walimu wa jimbo la Zambi?
nchi inawanyonyaji wa kila aina hii !! khaaa
kumkopesha mwalimu kwa riba ya asilimia 200 ni kumnyanyasa hasa
shame on them
Na hao walimu wanaokopeshwa kwa riba ya 200 haziwatoshi.hata wao shame on them
mama Anna Mkapa Ni Safi.. Na Mzindaka Atajitokeza Na Kutaka Serikali Iseme Kitu Ili Mke Wa Rais Asidhalilishwe.
jamani hili swala ajibu mzindakaya mwanafamilia wa mr clean!!!!!
mama mkapa mbona ameiba vidogo jamani hao wa epa mbona hamsemi na yeye si binadamu na anatamani mbona mawaziri wengi tu wameiba na wengine wanaua vijana wetu pale magomeni na sinza kwa pesa nyingi tu haramu na kuna nyumba zinajulikana zinatengenneza mizigo kusafirisha nje!!!!wangapi hawawajui wale vijana pale airport wanaosindikiza wauza unga mpaka mlangoni na kuwapokea mpaka kwenye gari!!!!hizi story nimeahakikishiwa na mmoja wa mdogo wangu yuko usalama alikuwa pale wamempeleka moja ya mashirika ya umma ....
mwacheni alichoona kuchukua nae achekue jamani/!!!!!salimu bado uko dar ????????
Kwakweli kama si kinga ya Bunge nadhani Mheshimiwa na kaka yangu God Zambi angeliingia matatani, maana utafiti unaonyesha wazi kuwa si kweli kuwa waalimu hawa wanakopeshwa 1million halafu wanalipa 3million.
Waliompa haya malalamiko wamempotosha kaka Zambi aidha kwa makusudi au na yeye ameamua kusaka pa kutokea ktk siasa za sasa.
Kuna habari kuwa hiyo taasisi itazijibu tuhuma hizo na kwa hakika kama si bunge Zambi kaka yangu angejikuta yuko mahakamani maana language aliyoitumia jana kwa sisi tuliomsikiliza haikuwa na huruma hata kidogo kwa watuhumiwa na ni imani yangu malipizi yake ktk mahakama yangelifanana na kukosekana kwa huruma dhidi ya Zambi.
Otherwise tusubiri tuone na wao watasemaje maana hili linazungumzika kiurahisi na hapo ndipo mwanya utapatikana.
Tusaidie mzee... huo utafiti ulifanywa lini, na nani, na wapi, na unahusiana vipi na walimu wa jimbo la Zambi?
Best business to do in the world! Jamani kwani hao walimu wanalazimishwa kukopa? Anyway; many companies (financial houses) will opt for such business! 1 million for 3 million; the best business!
wataalamu wa makampuni hebu tupeni uhalali wa hii kampuni je haikusajiliwa siku ya sikukuu? na inalipa kodi? kinanani major shareholders? kuna harufu ya fitna hapa.HTML:BayPort Financial Services.
» Posted by Elizabeth Nelson in Category: Africa, Deals, Investment Funds at 12:03 am
Investment AB Kinnevik, a Stockholm-based international investment firm, announced that it has invested USD 14 million in the African microfinance institution (MFI) Bayport Financial Services. The financing is provided as a combination of debt and equity.........
........According to a Kinnevik press release, the financing of Bayport is the second major investment in the area of New Ventures for Kinnevik this year. In May, the firm invested in Gateway TV, a company which offers satellite-based pay-TV services in Sub-Saharan Africa. It is expected that the service will be available in 8 countries by the end of 2007. In total, Kinnevik has invested USD 124 million (SEK 800 million) in New Ventures, and the market value of new ventures at the end of second quarter 2007 was approximately USD 150 million (SEK 969 million).
Bayport, founded in 2002, currently has 1,000 employees and 61 branches in Zambia, Tanzania, South Africa, Ghana and Uganda. Bayport serves 150,000 clients, the majority of whom are employed but are unable to access conventional sources of credit. About 20 percent of the MFIs clients are civil servants who live in rural villages. Bayport deploys teams that travel to villages to disperse loans to people who would otherwise be unable to access financial services.
Bayport clients use the loans for a variety of purposes. Thirty to 40 percent take out loans to pay for education. Twenty percent borrow to fund home improvements. The rest of the loans serve various functions, including funding small businesses and consolidating more expensive debt.
Bayports loans range in size from just USD 20 up to USD 1,500. The average loan issued is USD 250no small amount considering that a teacher in Zambia earns just USD 200 per month. Annual interest is between 70 and 90 percent. The MFIs repayment terms range from one to 36 months, and repayment rates are high (96.5 percent in Zambia).
Nilishangaa pia jamaa yangu alichukua mkopo CRDB akaambiwa riba ni 15%, so akachukua 12mil kwa five yrs, ila alipo kuja piga mahesabu alijikuta analipa over 17 mil. ambayo ni 47% na si 15%, yaani kuna hesabu fulani zinapigwa hapo, huenda hata huyo mama wanachukua kwa riba ya 60% wakija changanua labda kwa miaka 3-5 wanajikuta wanalipa hiyo 200%
Amabacho sielewi, hivi BOT I mean mfumo wa banki nchini hauwezi kuwa regulated kiasi kwamba riba zikashuka kama nchi za wenzetu?
Kauli ya Zambi, itaibuka kesho kwenye magazeti kwa kuwa wanayoyasema bungeni yanakuwa na kinga.
..nani aliwashikia bunduki hao Waalimu ili wakakope kwa Mama Mkapa?
..nilitegemea hiyo benki inayotoza riba 200% ingekufa mara moja kwa kukosa wateja.
Sio kweli yanayosemwa bungeni yanakuwa na kinga. Kuna qualifications.
Ndio maana Waziri Marmo alimtisha Slaa kwamba anavunja sheria kutoa siri za Serikali za Meremeta.
Ndio maana kila siku Wabunge wanamuuiliza Sitta, ninalindwa nikisema hili na lile...kana kwamba Sitta ni jaji au wakili wao.
For the record.